Udini sasa mpaka kwenye Mapenzi

Udini sasa mpaka kwenye Mapenzi

Me naona tangu zamani nilikuwa sitaki kbs mahusiano na demu wa kiislamu na ukweli ni kwamba tangu nizaliwe mpk sasa mwk wa 35 cjawahi ku-do na muislamu na ctothubutu. Nakumbuka wkt nipo chuo kuna mademu wa2 wa kiislamu walijilengesha lkn ckujaribu. Moja alivua hadi nguo gheto kwangu me nikachomoa.
Outcome ya ngono uwa ni mimba sasa me nizae na muislam si itakuwa kichekesho?
Kila mtu ana misimamo yake na huyo demu yupo sawa tu kummwaga jamaa.
 
Serikali haihusiani na Imani zenu
Kwani mkiwatafuta wanakataa? labda linapokaribia suala la kuoana
Wanasema Mwanamke hana DINI km mkipendana Mkuu wa Wilaya au Katibu Tawala wake atawapeni Cheti ambacho ndicho hichohicho kitolewacho na Padri au Sheikh
Mimi ni Mkristo lakini nimeoa Muislam na nyumba zangu ndogo zote ni Waislamu Kennedy na Jambo 1 Serikali haihusiki na kusali kwenu au kuoa nyie ni Wakristu tafuteni Waislamu watawapenda tu na mtaamua km mbadili DINI muwe Waislamu Serikali haitahusika. Bado Waislamu wapo na hata Wapagani hizi tafrani za DINI mbili zisitukwaze kwani kuna Budha nk na hakuna aliyerudi toka waliko wafu wakatuelezea kuwa huko wanasali

Tuko pamoja mkuu
 
Last edited by a moderator:
Ni kutokujua kwa vijana wengi kwamba wanaweza kuwa wapenzi bila kujali dini zao, ukweli ni kwamba kama mwislam anamwita mkristo kafiri, basi si vema watu hao kuwa wapenzi. kadharika na mafundisho ya kikristo yanasema NURU NA GIZA HAVICHANGAMANI, basi hao wanaodai kupendana ama kuoana huku wana hizo tofauti za dini, wanaasi mafundisho ya dini zao na kufuata tamaa za miili yao
 
Jamani tunakoelekea sasa ni kubaya..
Jamaa angu muislam alikuwa na girlfriend wake mkristo mapenzi yao yalidumu kwa mwaka mmoja na nusu hiv lakin hiv karibuni ndo wakaparaganyika kwa sababu yule msichana alimwambia boy wake kuwa hawezi kuwa na yeye kwakuwa ni muislam wakati muda wote alikuwa anajua kuwa boy wake ni muislam..
Jamaa anadai siku moja wakaticwako pamoja walikuwa wanaangalia tv wakaona lile tukio la Zanzibar la kujeruhiwa kwa padri na kuchomwa moto makanisa basi yule msichana akaanza kuponda kuwa waislam ni wakatili..jamaa akamwambia sio hivyo..hayo yamepandikizwa kidiasa tu..mdada hakuelewa jamaa naye akamuuliza je na yule shekhe aliye mwagiwa tindikali kanwagiwa na wakristu.?hivyo likitokea jambo usigeneralize.
Sasa leo na mimi yamenikuta kuna dada nachat nae kwa takriban miezi miwil sasa ila leo ameniuliza dini yangu nkamwambia kuwa mimi baba angu ni muislam na mama angu ni mkristu akasema mbona jina lako ni la kiislam..akasema yaan yeye hapendi kabisa urafiki na waislam kwa kuwa ni wakorofi..nkamuuliza ukorofi wa waislam umeanza lini akasema mifano ile ile ya zanzibar..nikamuuliza mbona miaka yote haikuwa ikionekana hivyo..?hakujibu..
My Take JK na CCM wanatupeleka kubaya..ndoa za watu ziyavunjika kwa sababu ya udini..tusubiri tuone tuendako..

Yaani watu wawili ndio ume-generalise?? What about wakitokea watu 20 wakaeleza kinyume na ulichosema hapo? utasema nini? fanyeni utafiti wa kutosha. Acheni kukurupuka. Na nyie mliotoa "like" nina hakika mmemaliza form four 2012. Kwa hiyo sishangai.

 
Back
Top Bottom