Udini ni state of mind. Tatizo Tanzania tumekuwa kwenye state of denial!

Udini utaisha pale kila dini itakapoamua kwa dhati kabisa kuheshimu dini zingine.Mahubiri yote ya kashfa kuachwa na wanaotaka kuhubiri dini na kutangaza dini zao basi wazitangaze kwa namna ya kuheshimu dini zenye imani tofauti.

Mfano Ukimwambia Mkristu YESU siyo Mungu umemkosea maana imani yake inadai na inataka aamini hivyo kuw aYesu ni mungu.Na vili vile kwa Musilamu kumwambia MOHAMED S.W siyo Mtume unakosea maana imani yake inamtaka aamini hivyo.Tofauti hizi zisilete utengamano.Kila mtu aamini anachoamini na kiheshimiwe na wadini nyingine.

Na hata kwa yule anayeabudu Ng'ombe.Kinachotakiwa ni kumuelimisha ni kwanini dini yako unaiona ni bora na siyo kutukanana na kudharauliana.Hakuna mtu aliyemuona Mungu na anayejua anafanyaje kazi ,kama binadamu tunatakiwa kuamini yupo kulingana na Imani zetu.

Tukiweza hayo basi tutaondoa udini.
 
Udini utaisha pale kila dini itakapoamua kwa dhati kabisa kuheshimu dini zingine.Mahubiri yote ya kashfa kuachwa na wanaotaka kuhubiri dini na kutangaza dini zao basi wazitangaze kwa namna ya kuheshimu dini zenye imani tofauti.Mfano Ukimwambia Mkristu YESU siyo Mungu umemkosea maana imani yake inadai na inataka aamini hivyo kuw aYesu ni mungu.Na vili vile kwa Musilamu kumwambia MOHAMED S.W siyo Mtume unakosea maana imani yake inamtaka aamini hivyo.Tofauti hizi zisilete utengamano.Kila mtu aamini anachoamini na kiheshimiwe na wadini nyingine.
Na hata kwa yule anayeabudu Ng'ombe.Kinachotakiwa ni kumuelimisha ni kwanini dini yako unaiona ni bora na siyo kutukanana na kudharauliana.Hakuna mtu aliyemuona Mungu na anayejua anafanyaje kazi ,kama binadamu tunatakiwa kuamini yupo kulingana na Imani zetu.
Tukiweza hayo basi tutaondoa udini.
Ni moja kati ya wazo chanya, I support, ndiyo maana tunahitaji mjadala wa pamoja kuhusu udini na ikiwezekana kuwe na kipengele kinachohusu haya mambo kwenye hiyo katiba mpya.
 
Mh Zitto leo amesema mengi ya msingi katika live interview lakini ila moja ya mambo ambayo yamenigusa ni msimamo wake juu ya udini na ushauri wake kwa viongozi wa TZ kwa ujumla.

Hili ndilo swali aliloulizwa:

’’Ikiwa ndani ya uwezo wako i.e tuchukulie umepata urais; ni njia gani ambayo unaweza kutumia kufuta na kumaliza Udini ambao unaanza kujidhihirisha kwenye siasa za Tanzania?’’



Naamini Prof Lipumba anaweza kushirikiana na viongozi kama hawa (Zitto) kufanikisha ile ajenda ambayo aliianzisha hivi karibuni.
Binafsi namuunga mkono zitto katika hili.

LET US SAVE TANZANIANS FROM MASSACRE!

Chanzo ni kwenye LIVE INTERVIEW ya JF - Mahojiano ya moja kwa moja na Mhe. Zitto Zuberi Kabwe katika JamiiForums

Lipumba yupi? Yule aliyekuwa amekwenda kunadiwa kwenye msikiti wa Idrisa na sasa CD zake zipo mtaani?
 
tatizo la watu kama hao ni kua mpaka sasa hivi hawaoni kosa walilofanya...its amazing baadhi ya akili za watanzania zilivyo
amazing indeed! ila kinachonishangaza kwa hawa wenzetu, huwa wanaweza kuchinjana hata wenyewe kwa wenyewe e.g. koplo said kule zanzibar, ila wakristo you can never hear of such incident no matter what!! kwa kweli bila ku-act kwa kumlilia MUNGU, hii dhambi ya udini itatutafuna vilivyo!
 
amazing indeed! ila kinachonishangaza kwa hawa wenzetu, huwa wanaweza kuchinjana hata wenyewe kwa wenyewe e.g. koplo said kule zanzibar, ila wakristo you can never hear of such incident no matter what!! kwa kweli bila ku-act kwa kumlilia MUNGU, hii dhambi ya udini itatutafuna vilivyo!

Hapa tatizo huenda ikawa ni definition yako ya ukristo na coverage. Congo, Rwanda, Burundi, Africa ya Kusini, Hondurus, Uganda kwa Koni na nyingine ukitaka tutakutajia ni nchi ambazo zina wakristo wengi na ndizo zinazoongoza kwa mauaji. Au unazungumzia wakristo wa masaki?

Never say never, inawezekana ndio ulikuwa mwisho wako wa kufikiri.
 
Back
Top Bottom