Udini ni state of mind. Tatizo Tanzania tumekuwa kwenye state of denial!

Tusipingane na ukweli, hii ishu ya udini italipeleka hili taifa pabaya.
 
Hii issue ipo ila ukiangalia mitaani tunavyoishi huwezi kugundua maana kuna kitu kimejificha nacho si kingine bali ni mgawanyo wa madaraka baina ya hizi dini though kwa sie Mabudha hatuna shida (hapa ni uroho wa madaraka kwa misingi ya dini tu kwani mbona katika maisha ya kwaida mitaani kwetu hii issue ni ngumu kui-verify kama kweli kuna una udini)

That is very true.

MUASIS WA CDM, Mzee MTEI, ilipoundwa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya alisema yafuatayo kwenye gazeti la Tanzania daima. Pitia hii:
Mzee Mtei yuko sahihi kuhusu Tume ya Katiba?

Jee huyu mzee naye ni mdini kwa kua alitaka uwiano wa idadi ya wajumbe katika tume ya katiba mpya kwa mujibu wa dini zao? ALBEDO kama unaweza kujibu hili tafadhali karibu.

Kama hakuna udini, kwa nini Mtei asingekaa kimya?
 
zitto sio mkweli. anatwambia tz kuna udini maaskofu wangapi wamewekwa ndani? labda atambie CCM ithamini maisha ya waislam kama wanavyofanya kwa wakiristo

utakuwa hujamuelewa rejea tena,hajakataa Udini hakuna amekubali na kwa maono yake ametoa ushauri
 
Yaani Katika yooote umemegua la Udini halafu Ukalibold Kidini. Tanzania Kuna Magaidi Wachache tu ambao Serikali ya Dr. Shein ina deal nao Vizuri huku Bara Kova akila nao sahani Moja. Acha kuendekeza Ugaidi Bana
Mkuu Albedo kuna member Fulani wadini sana nawasubiri wakiingia tu na Mimi naingia Nafikiri unawajua
 
Last edited by a moderator:
Udini umepandikizwa na chama tawala

nikweli ndo maana nyerere alikasirika sana malima alipokua waziri wa elimu wakati huo alipoanzisha namba badala ya majina.kwa tanzania hii suali la dini ikitulia ukabila unatokea.
 
Udini umepandikizwa na chama tawala

nikweli ndo maana nyerere alikasirika sana malima alipokua waziri wa elimu wakati huo alipoanzisha namba badala ya majina.kwa tanzania hii suali la dini ikitulia ukabila unatokea.hapo sasa
 
Zitto anisamehe kwa matusi na kebehi zangu za zamani, ZITTO KUANZIA LEO NIMEKUKUBALI.
 
Last edited by a moderator:
zitto sio mkweli. anatwambia tz kuna udini maaskofu wangapi wamewekwa ndani? labda atambie CCM ithamini maisha ya waislam kama wanavyofanya kwa wakiristo

Mkuu, labda ungetaja na makosa waliofanya maskofu then serikali haikuchukua hatua, labda nikukumbushe, hivi lile sakata la DECI, maaskofu hawakuwekwa ndani kweli? au unataka wakawachukue tu hata kama hawana makosa? Hayo ndio mawazo ya kidini yenyewe ambayo hayatakiwi!
 
nikweli ndo maana nyerere alikasirika sana malima alipokua waziri wa elimu wakati huo alipoanzisha namba badala ya majina.kwa tanzania hii suali la dini ikitulia ukabila unatokea.hapo sasa

Hua mnatunga tu, twambie Malima lini alikua waziri wa elimu na pia mfumo wa namba ulianza lini, mambo yenu ya kwenye vijiwe vya kahawa muwe mnayaacha huko huko, uongo ukirudiwa mara nyingi mwisho huonekana kua kweli.

hua kuna malalamiko kwamba Waislam wanaonewa na baraza la mitihani la taifa kwa kufelishwa, je, mara baada ya mfumo wa namba kuanza, kulikua na improvement yeyote?
 
zitto sio mkweli. anatwambia tz kuna udini maaskofu wangapi wamewekwa ndani? labda atambie CCM ithamini maisha ya waislam kama wanavyofanya kwa wakiristo

Ndugu yangu we ni mmoja ya hao wadini hapa tz,hivi unaweza kutuambia hao maaskofu ulitaka wapelekwe jela kwa kosa lipi?au umejisikia tu kuandika kwa kua we ni mdini? Fafanua mkuu!
 
Issue siyo zitto peke yake, bali naye amekuwa affected na mfumo
 
Subset ya kuunganisha jamii kama ya Kitanzania ni UTU wa Jamii hiyo. Kwani Utu sio faction ya Udini, ukabila, itikadi, jinsia , rangi nk. Ni kweli Watanzania wameweza kuishi kwa kuzingatia UTU wao tu kwa takribani mika 50 sasa. Hili sio jambo la majaribio kwani lemeshawezekana.

Kinachotokea sasa au ambacho hakiepukiki ni Lazima jamii ya Kitanzania iwe TESTED ON WHAT IT STAND FOR AND/OR BELIEVE DEEP IN ITS MIND!!
 
Sidhani kama habit ikiwa intertwined with belief na mambo mengine yanayoshikilia udini kwa mtu yanaweza fanya udini kuwa state of mind.State of mind inahusu sana hisia za kifikra na kuweza kuswich automatically, au kuwa influence na substances.
[h=2][/h]
 
That is very true.

MUASIS WA CDM, Mzee MTEI, ilipoundwa tume ya kukusanya maoni ya katiba mpya alisema yafuatayo kwenye gazeti la Tanzania daima. Pitia hii:
Mzee Mtei yuko sahihi kuhusu Tume ya Katiba?

Jee huyu mzee naye ni mdini kwa kua alitaka uwiano wa idadi ya wajumbe katika tume ya katiba mpya kwa mujibu wa dini zao? ALBEDO kama unaweza kujibu hili tafadhali karibu.

Kama hakuna udini, kwa nini Mtei asingekaa kimya?
Mzee Ndesamburo alimuuliza Hamad Rashid hichi chama chenu cha CUF kimekaa kidini nayeye pia ni mdini na kama chama ni cha kidini Tendwa si angekifuta lakini leo sema Chadema ni cha kikristo huku jf matusi yote yatatua kwako
 
Tatizo kubwa lilopo Tanzania, kuna kundi fulani la watu wanafikiria wanahodhi akili za watanzania wote. Wanataka wakisema wao wengine wasikilize. No, hizi zama sio zile atleast kuna JF tunaweza kuwasilisha hoja zetu. Anayesema hakuna udini bila kujua, hana makosa na ndio maana watu wengi wenye busara wanataka hii 'hypothesis' iwe teseted. Mashaka ninayopata ni pale watu wanapozuia hii 'hypothesis ya udini' kuwa teseted. Wanaficha nini? Ikiwa kiongozi na mzee mwenye busara kama Mzee MTEI anasema kuna udini katika uteuzi wa tume ya katiba kwa kutokuwa na uwiano sawa kati ya waislam na wakristo, huyu mzee ameanzia mbali sio hapo tu. Pengine alifikiria pia na mgawanyo wa nafasi mbalimbali serikali. Tuzungumze kama taifa ili tukifika muafaka, tuweke kwenye katiba mpya yale ambayo yatazuia udini na athari zake kuenea. Mbona hakuna hata mmoja kati yenu mwenye uthubutu wa kusema kwamba mzee alikosea au yuko sahihi. Quietness implies consent?!
 
Mzee Ndesamburo alimuuliza Hamad Rashid hichi chama chenu cha CUF kimekaa kidini nayeye pia ni mdini na kama chama ni cha kidini Tendwa si angekifuta lakini leo sema Chadema ni cha kikristo huku jf matusi yote yatatua kwako
Sio Ndesamburo tu, hata baadhi ya wana JF katika hii thread wanasema muanzilishi wa udini ni Rais Kikwete na KAFU! Therefore, let's support national dialogue ili tujue upo, haopo na nani amesababisha na suluhisho ni nini.
 
Back
Top Bottom