Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Nafikiri huu ni wakati muafaka. Tukigundua kama upo baada ya kujadiliana, tunaweza kuamua kitu na kukiingiza kwenye katiba mpya 'anti udini law' na adhabu yake, ili kulichinjia mbali hili dudu 'UDINI'
Mkuu Wewe ni Mdini tena Inawezekana ndio wale ambao hawatakiwi CCM
"UAMSHO Bye Bye" Nnape Nnauye