Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,193
- 10,928
Katika miaka ya karibuni, hasa mwishoni mwa utawala wa raisa wa awamu ya kwanza mwalimu Julius Kambarage Nyerere,hapa Tanzania pamekuwa na msamiati unaojulikana kama UDINI.
1.Hivi hili neno kwa upana wa matumizi yake lina maana gani,na asili yake ni nini?
2.Jee inawezekana kwa watu wenye dini kama vile waislamu na wakristo kufanya jambo lolote lile bila kuingiza dini?.
3. Jee ni kweli kuingiza dini katika jambo lolote lile ni vibaya na hatari?.Au ni vyema kufanya hivyo ili dini ziendelee,kuepuka kuwa mapagani?
4.Kwa vile msamiati huu hutumika Tanzania kama kiashirio cha uovu.Ni nani hasa wanapaswa kuutumia na kuugopa?.
5.Ni nani wamekuwa wakiuutumia zaidi msamiati huu, na zipi zinaweza kuwa ndio sababu za kufanya hivyo?
1.Hivi hili neno kwa upana wa matumizi yake lina maana gani,na asili yake ni nini?
2.Jee inawezekana kwa watu wenye dini kama vile waislamu na wakristo kufanya jambo lolote lile bila kuingiza dini?.
3. Jee ni kweli kuingiza dini katika jambo lolote lile ni vibaya na hatari?.Au ni vyema kufanya hivyo ili dini ziendelee,kuepuka kuwa mapagani?
4.Kwa vile msamiati huu hutumika Tanzania kama kiashirio cha uovu.Ni nani hasa wanapaswa kuutumia na kuugopa?.
5.Ni nani wamekuwa wakiuutumia zaidi msamiati huu, na zipi zinaweza kuwa ndio sababu za kufanya hivyo?