Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Nimejaribu kutafakari ni kwanini Nyerere alimuachia nchi MWINYI na si MKAPA au SALMIN maana nikiangalia picha
naona ni watu ambao alikuwa nao karibu sana. Nadhani alimuachia Mwinyi kwa kuogopa kuwa yeye alikuwa Mtanganyika na sasa ilibidi iwe zamu ya Mzanzibari pia ilikuwa ni zamu ya muislam kwa kuwa pia na yeye alikuwa mkristo, Je kwanini akumuachia SALMIN? Nadhani SALMIN alikuwa AOU, Kwahiyo akaona ni busara kumpa MWINYI na sio SALMIN ambaye alikuwa na majukumu makubwa zaidi huko ETHIOPIA.
Je ni kwa nini alimpa/alishinikiza MKAPA apewe, Na amini hapa turufu ilikuwa ni UDINI kwa maana ya kwamba ilikuwa ni zamu ya Wakristo baada ya MWINYI kutoka na ndipo MKAPA alipo ukwaa Uraisi. Je na MKAPA aliendeleza lilelile kwa kumuachia KIKWETE? Ni kwanini akumuachia SALMIN? namiini ilikuwa ni zamu ya SALMIN kama Muislam na Mzanzibari.
Ni hayo tu ndugu zangu.
naona ni watu ambao alikuwa nao karibu sana. Nadhani alimuachia Mwinyi kwa kuogopa kuwa yeye alikuwa Mtanganyika na sasa ilibidi iwe zamu ya Mzanzibari pia ilikuwa ni zamu ya muislam kwa kuwa pia na yeye alikuwa mkristo, Je kwanini akumuachia SALMIN? Nadhani SALMIN alikuwa AOU, Kwahiyo akaona ni busara kumpa MWINYI na sio SALMIN ambaye alikuwa na majukumu makubwa zaidi huko ETHIOPIA.
Je ni kwa nini alimpa/alishinikiza MKAPA apewe, Na amini hapa turufu ilikuwa ni UDINI kwa maana ya kwamba ilikuwa ni zamu ya Wakristo baada ya MWINYI kutoka na ndipo MKAPA alipo ukwaa Uraisi. Je na MKAPA aliendeleza lilelile kwa kumuachia KIKWETE? Ni kwanini akumuachia SALMIN? namiini ilikuwa ni zamu ya SALMIN kama Muislam na Mzanzibari.
Ni hayo tu ndugu zangu.