Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.



Mkuu MJJ,
Sijasoma article yako iliyofilisika kiuchambuzi kama hii. Kama nia ilikuwa ni ku-dilute issue ya ukabila ndani ya CHADEMA kama ulivyoiita, the "Wangwe Doctrine", basi imekufanya uchemshe zaidi.

Nilipokupongeza kwa kutimiza posting 10,000 nilikushauri ujaribu kuondoa ideologies zinazokufanya uache kufikiria sawia, lakini naona inashindikana. Chambua mambo kama unaweza, la kama haiwezekani, mwachie Mushi ku-raise unqualified issues.
 

Sasa nimeamini kabisaa kuwa ccm ni "chama cha kiislam" na kina udini baada ya kuona haya majina.......lol
 

Unataka kubisha kuwa hayo majina sio ya kiislam na hivyo kuifanya ccm chama cha kidini?
 
1) Mwanakijiji naona hapa unataka kulazimishia jambo. Ningekuona analytical zaidi kama jitihada uliyofanya kucalculate hii asili hivyo ungefanya hivyo hivyo kujua asilimia ngapi ya wanachama wa CCM ni waislamu na ni asilimia ngapi ni wakristu. Ili hii proportionality principle yako iwe valid ni lazima ufanye hivyo. Nachojua kwa hesabu ya watu Tanzania waislamu wanazidi wakristu.

UFAFANUZI:

- Assume asilimia 70 ya wana CCM ni waislamu na asilimia 30 ni wakristu. Utafanya pia representation 50/50?

- Na kama asilimia 90 ni wakristu na asilimia 10 ni waislamu utafanya pia 50/50

So ili nikuamini nashauri utujulishe hili.

2) Mwanakijiji unaasume kwamba iwa CCM wanawakilisha maslahi ya dini. Hawa sio viongozi wa dini. Waislamu na wakristu si lazima wapingane kwenye sera hata kama zinahusu dini. Nakumbuka Mrema ni mkristu lakini anasaport anasupport Mahakama ya Kadhi.

3) Huwezi kujua wakristu na waislamu kwa kuangalia majina. Kuna wengine wana majina ya kiislamu lkn hawajui msikiti uko wapi, wengine majina ya kikristu lkn hawajui kanisa liko wapi. Wengine wanahudhuria matukio ya kidini km social ocassion tu na sio religious. Sasa unaweza kutuambia ni wangapi kati ya hao uliotaja ni practioners wa dini zao?
 
Unataka kubisha kuwa hayo majina sio ya kiislam na hivyo kuifanya ccm chama cha kidini?

MJJ aanalyse uchaguzi au uteuzi wao, asitujie tu na statement za ki-pr - school kwa vile eti 65% ni wa dini moja wakati huo huo, dini ziko karibu 50% - 50% kwenye population ya TZ bara na 98% dini moja in ZNZ. Alikuwa wapi kwenye analysis ya ukabila ndani ya CHADEMA ambao ni obvious?
 
CUF ni chama cha kidini ya kiislam, CCM chama cha dini ya kiislam, chadema chama cha kikabila, NCCR mageuzi cha kikristo, DP cha kikristo, UDP cha kisukuma??!! CHAUSTA cha kipentecoste??? chagueni mnataka chama gani? cha mafisadi? cha kikabila au cha kidini?
 

kwi kwi kwi,

mimi nataka chama cha kiyahudi.... lol
 
kwi kwi kwi,

mimi nataka chama cha kiyahudi.... lol

na budhha na bohora wataunda vyao, si ulisikia maaskofu wanataka representation bungeni? Mashihidi wa yehova na SDA nao hawatakubali! na wahadzabe nao watataka mwakilishi. Hivi kuna mbunge anayewakilisha watoto? maana hili ni kundi maalum na liko underrepresented, wanangu mpo???
 
 
Sasa nimeamini kabisaa kuwa ccm ni "chama cha kiislam" na kina udini baada ya kuona haya majina.......lol

Mkuu Mgaya,
Nakumbuka sana ulivyokitetea CHADEMA na ukabila wao. Kwa hiyo leo sioni ajabu mnapojaribu kugeuza mjadala ambao bado uko ndani ya CHADEMA ukichemka juu ya ukabila, mkitaka kuonyesha ummaa kuwa hata CCM nao wana u-dini. The TZ people are more inteligent than that. Chambua jinsi huo udini ulivyoingia CCM, ili tufananishe na ukabila wa CHADEMA.
 

Kwa hiyo unakubali kuwa ccm ni chama cha kidini wakati huo huo ukisema kuwa chadema ni chama cha kikabila?
 

Duh!Hapa hata mimi nimekubali!
Hawa wajamaa kweli mandumila kuwili!
 
Ile coalition itakayofungua kesi ya EPA...Huu ndio wakati muafaka wa kusema kitu ili wananchi waachane na hii mijadala ya udini na UKABILA!
TUNATAKA UHURU KWANZA!
Kwani kweli nimeshaona hapa hakuna cha chama tena!
Ni coalition ile iliyotangaza kuwa itafungua kesi ya EPA
Hao watatupa DIRECTION!
 
Mimi sipendelei kushabikia suala la udini, lakini sioni kwamba uwingi wa waislamu na uchache wa wakristo ndani ya kamati kuu ina result into udini. It should be noted that major decisons miaka yote ilikuwa inachukuliwa na NYERERE na sifikirii yeye alikwa mwislamu pamoja na uvaaji wake wa kofia.

Mimi sioni umuhimu wa suala la udini litatupeleka mbali au inawezekana inatumika so as to SHIFT OUR FOCUS on more important issues that we have in hand.

Suala la Dini lipelekwe kwenye mazungumzo ya dini. naombeni mufahamu perosnally i do not suport CCM - i only support development of our beleived country
 
Ndio hii aliyoandika hivi? Huku ndio unakokuita ku-criticize CHADEMA?

kama yafuatayo hapa chini wewe huoni kama ni kucriticize basi wewe una lako jambo:

 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…