Nimependa sana comment kuwa "shida ni dhamira". Unajua tutofautishe vitu viwili, competence and lengo. Kuna mtu atakuwa competent enough kuongoza na hata kuishikilia nchi; but swali linakuja, dhamira / lengo lake kuu ni nini..?? Kukandamiza wengine..?? Kuifanya dini yake kuwa dini ya kitaifa...?? Haya ndio maswali tunayopaswa kujiuliza.
Je, kelele za Kadhi na OIC zilikuwa zinalenga nini..?? Si kwamba ni ishara mojawapo ya ubinafsi na malengo yanayotaka kuipeleka nchi yetu kwenye full udini..?? Watu wengi wakakimbilia na kufananisha Baraza la Maaskofu na Kadhi, hii ni comment ya kijinga na inaonyesha uwezo mdogo wa kufikiri. Baraza la Maaskofu haliko chini ya katiba hivyo hata kadhi inaweza kuwepo bila kuingilia misingi ya katiba na taratibu za serikali. Ikiwa inataka kuingizwa kwenye katiba au katika sheria za nchi then hapo ni udini uliopitiliza. Swala la OIC na ubalozi wa Tanzania Rome, nalo ni swala ambalo niliona ni upungufu wa fikra na mawazo. Ubalozi wa Tanzania Rome ni sawa na Ubalozi wa Iran hapa Tanzania. Ukijuinga na jumuiya yoyote ujue kuwa unapaswa ku-comply na principle za jumuiya hiyo. Kwa wale waliosoma na kuelewa somo la Uraia/Civics mtakumbuka Principles za UN, EAC, SADC na Common Wealth. Hizi jumuiya zina masharti yake, mtu anayefananisha jumuiya na ubalozi, huyu analengo la kuwapotosha watanzania. Tusipende kuiga wengine wanafanya nini; mwezio akila nyama ya mtu, si na wewe ule nyama ya mtu kwa sababu yeye ni Mmarekani, Mkenya au Mganda. Kila nchi ina watu wenye different personalities and perceptions.
Kwa hayo machache ya OIC na Kadhi tutaona kuwa dini ya kiislamu inalenga kutawala nchi kwa misingi ya kidini and NOT COMPETENCE & KATIBA. Wakati wa Nyerere na Mkapa sidhani kama uliwahi kusikia milengo ya kidini hata kama wakristo walikuwa wengi..!!..?? Ikulu ilikuwa inaheshimika si kama ilivyo sasa ambapo ni sitting room ya mashekhe na watabiri.
Binafsi sina tatizo na mfuasi wa dini yoyote kuongoza, tatizo langu ni malengo, nini dhamira yake / yao...??[/QUOT