MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,092
Kama Chama Cha Muham-mad bado kinaongoza nchi, tusubiri kihama mkuu.
CC Muhamad
Kama Chama Cha Muham-mad bado kinaongoza nchi, tusubiri kihama mkuu.
unaandika kama Mwafrika halafu unajipa thanks kama Maxsimba. kweli wewe mawazo una MAWAZO. kiboko yako Mtanzania anajua hadi ulivyokwenda Marekani kwa mgongo wa kuimba kwaya.ha ha ha ... na hii umeitoa madrassa ipi ... mogadishu au kismayu?
unaandika kama Mwafrika halafu unajipa thanks kama Maxsimba. kweli wewe mawazo una MAWAZO. kiboko yako Mtanzania anajua hadi ulivyokwenda Marekani kwa mgongo wa kuimba kwaya.
usibishane naye huyo huyo ni mtu mmoja.mtumie PM Mtanzania akueleze kuwa Mwafrika,Maxsimba ni nani? kuna thread ilikuwepo hapa ilibidi Mwafrika akimbie na kuifuta.
Bado uko Detroit unaimba kwaya?Hapa inaonekana umesha lewa juisi ya pili pili.
Sasa turudi kwenye mada, na swali liloulizwa hapo nyuma.
Ni lini Zenji watapata RAIS MKRISTO?
unaandika kama Mwafrika halafu unajipa thanks kama Maxsimba. kweli wewe mawazo una MAWAZO. kiboko yako Mtanzania anajua hadi ulivyokwenda Marekani kwa mgongo wa kuimba kwaya.
Bado uko Detroit unaimba kwaya?
Bado uko Detroit unaimba kwaya?
Achaneni na huyu mfuasi wa muhamad. Yeye yuko hapa kujifanya anamfahamu kila aliye hapa ni nani na anakaa wapi. Anachemka. Nadhani kweli ni ile elimu ya kuandika toka kulia kwenda kushoto ndio aliyonayo huyu.ukiuliza swali kuwa kwa nini Tanzania shule za madrassa zinafanya vibaya watu wanakuja na visingizio vingi --- ohh nyerere, ohh mkapa, ohh makafiri wanatuonea.
Sasa wewe ndiye unathibitisha kinachosababisha madrassa zinachemsha... uswahili na udaku mbele kwa mbele.
Achaneni na huyu mfuasi wa muhamad. Yeye yuko hapa kujifanya anamfahamu kila aliye hapa ni nani na anakaa wapi. Anachemka. Nadhani kweli ni ile elimu ya kuandika toka kulia kwenda kushoto ndio aliyonayo huyu.
Waislam bana, kaazi kwer kwer,
Kwanza fahamu kuwa mimi si MWAFRIKA. Pili fahamu kuwa CCM ni Chama Cha Muham-mad. Arobaini yenu imewadia.
Inonekana MWAFRIKA anawanyima usingizi nyie wafuasi wa Allah Kiumbe.
Mwisho, huna jipya wewe zaidi ya kuonyesha jazba ilioambatana na povu baada ya kunyweshwa juisi ya pili pili.
Kama Chama Cha Muham-mad bado kinaongoza nchi, tusubiri kihama mkuu.
Duu Hii Kali, Nilikua sijagundua hili!!
Hivi kumbe ndio maana hata rangi za hiki chama ni zilezile kama za Hezbolah?
Na ajenda zake ni za ajabuajabu kama kujiunga na OIC, Kuvunja Uhusiano na Israeli au kutaka kuanzisha Mahakama ya Kadhi.... Siku moja utasikia wakipendekeza kuanzishwa Sharia ili kupambana na ufisadi.
Inaelekea wewe unachuki binafsi na CCM na pia na waislam. Sidhani kama ugomvi huo utakupa tija yoyote zaidi ya kupoteza muda. Vita yako ni sawa na jamaa zako wa kilokole wa Kenya wanao jaribu kufufua maiti.
Kama Chama Cha Muham-mad bado kinaongoza nchi, tusubiri kihama mkuu.