Chuma uliyo yaandika sasa ndiyo ya ma thinkers na si ubwege ? Kaka dwell kwenye hoja wacha kulia lia hapa .Unapingana na udini na urafiki wa JK na teuzi zake ama unataka kusemaje ?
What is the connection of my writing na uzushi wako wewe ambao unaniita mimi mzushi ?
Hoja imewekwa inakosolewa mie nimechukua niliyo yaona na wewe si kuniita bwege bali uje uonyeshe mawazo yako endelevu kaka .Nangoja kuona hoja na si vioja .
Lunyungu ntaendelea kukuita bwege kwakua huwezi pambanua Hoja Makini na Dhaifu ni ipi...!!!
Huna dalili za kutosha za kuonesha JK ni mdini..., ila JK amekuwa mdini pale tu anapochagua mwislam....Bahati mbaya hao baadhi ya waislam wenyewe wanaoteuliwa kt teuzi hizo hata kuswali hawaswali...!!
JK kamchagua Jaji mpya Catherine Opiyo, lkn Hadi sasa hujaona watu kuweka News bulletin au watu kutaka wasifu wake au kujua Opiyo kachaguliwa kwa Dini yake au Uswahiba wake...au labda Lunyungu na Genge lako utupe data za Huyu Opiyo kateuliwa kwa Dini yake au uswahiba wake na JK au Mama Salma?
Alipochaguliwa Jundu, hata kabla waandishi wa magazeti hawajaweka au ku-updates news zao, usiku tu news iliwekwa hapa. kwa uzoefu hapa JF, ndugu zetu wakristo mpo so sensitive pindi tu teuzi kubwa akipewa Mwislam. na kwa utaratibu huu twendeni tu lile taifa mnalotaka kulijenga litakuwa na costs za taifa hilo kila mmoja wetu atalibeba.