Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

Status
Not open for further replies.
Kuhani, kanda2,

..nadhani ndugu zetu Waislamu wanadanganywa kwamba tatizo hili la imbalance linashughulikiwa wakati si kweli. mwananchi yeyote yule mwenye nia njema na taifa hili lazima aseme.

..appointment ya Jaji Muislamu mwenye umri wa miaka 59[60 years is the official retirement age] inasaidia vipi kuondoa imbalance kati ya Waislamu na Wakristo?

..au Raisi anapowapatia majengo ya serikali yawe Chuo Kikuu cha Kiislamu!! tunawa-encourage kufungua chuo kikuu wakati shule za sekondari za Jumuiya za Kiislamu, haswa Bakwata, zinafanya vibaya. sasa hiki chuo kikuu cha kiislamu kitatoa wapi wanafunzi?

..au tunapomchangia Sheikh Mkuu Simba mamilioni ya fedha kufungua shule ya kukuza vipaji vya michezo?!! hivi kweli hizi ni zama za kufundisha wacheza mpira?

..kwa mtizamo wangu hii imbalance inatakiwa kushughulikiwa kwa kutumia bottom-up approach. tuishinikize serikali iboreshe elimu haswa ktk maeneo yaliyoachwa nyuma. jumuiya za Kiislamu nazo zinapaswa kuchakarika zaidi kuinua elimu ktk targeted areas ambazo zina waumini wengi wa Kiislamu.
 
hili sio swala la kujadili kwasababu ukweli uko wazi. jamaa ni mdini mzuri sana na agenda yake kubwa ni kuwawweka watu wake zaidi wakristo. sasa, ataweza? kwasababu wasomi walio wengi ni wakristo; angejaribu kuaddress tatizo kwa kuwapendelea waende shule, ili wawe wasomi wengi hapo ndo ingekuwa kusolve matatizo. hata hivyo asingeweza kwasababu shule zinazomilikiwa na wakristo ni nyingi mno, na nyingine zinasomesha wakristo bure. hasa hizo za seminari nk. kuna wafadhili wengi wa ujerumani na marekani mfano hapa kilimanjaro na maeneo mengine wanawapiga tafu sana wakristo. waislam wana shule chache na vyuo vichache wakati wao ni wengi. kwasababu wengi wao hawajasoma, maisha yao walio wengi ni ya kiswahili, ya kupata na kutumia yaani mfuko kwa mdomo, hakuna ziada ya kuwapeleka watoto shule au kufanya maendeleo mengine. pia waislam wanakuwa na watoto wengi mno kwa wake wengi kiasi kwamba wanashindwa kuwasomesha au kuwapa mahitaji ya kielimu, hivyo siku zote watabaki nyuma pamoja na kwamba ndio wengi kiidadi. kama udini huo unaendelea, wanajilisha upepo, hawatafika popote, wangefanya hivyo kuwa uzazi wa mpango, ili tupunguze watoto wao wapiga debe magomeni na buguruni, tupunguze wauza samaki wa kizaramo na wavuta bangi. wale wapiga debe walio wengi wangekuwa wameenda shule. kalaga baho.
 
Ikiwa CCM wana udini au hawana udini dawa ni kuondoka ili tugange yajayo ,hawa jamaa wote waliomo humo kama ni waislamu au wakiristo na wenginetele wote wafunge virago wataenda kupangana huko wakiwa wapinzani na sio kwenye Utawala wa nchi ,inakuwajekuwaje sasa wananchi wapige kura kumtaja jambazi au muuwaji na wengine naona hawakuongeza wahujumu Uchumi ,kama inavyoonyesha nchi imewashinda maana kama kurudisha mambo kwa wananchi basi hata Serikali inahitaji kurudishwa ili wananchi waamue ni nani wampe serikali kwa kupitia kura.

CCM msitudanganye na kutubabaisha mmeona wapi katika dunia hii ,wacha dunia hii ya leo hata hiyo zamani na tawala zote zilizopita kuwa wananchi wapige kura kumtaja mwizi au muuaji? Wapi mmeona,hebu tupeni mfano tu mtwambie njia hii ilitumika wakati wa utawala fulani ,kama ni kuandika Historia basi Mkuu wetu Kikwete atakuwa ameshaandika baada ya yule DC......Kwa kweli inasikitisha sana sana na ni aibu kuwa na serikali iliyofilisika kimawazo ,yaani hawajakaa vizuri kumezuka wengine wanataka kuisaidia serikali kwa nguvu za giza ...salaaaleh na wengine wanataka kusaidia timu za mpira kwa uchawi ,yaani mkiangalia kwa vizuri mtaona CCM imekwisha haina tena mawazo wala haifikirii mbali ,wamekwama vibaya sana ,ndio faida ya kudhulumu matokeo ya uchaguzi.
 
JAMANI NISAIDIENI CCM NI CHAMA CHA KIDINI?


MWNYEKITI WAKE NI MWISLAMU PAMOJA NA KATIBU WAKE


MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU


MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU


MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU


Tuseme ndani ya chama hiki wakristo hawana uwezo hapa pana ajenda ya siri
 
JAMANI NISAIDIENI CCM NI CHAMA CHA KIDINI?


MWNYEKITI WAKE NI MWISLAMU PAMOJA NA KATIBU WAKE


MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU


MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU


MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU


Tuseme ndani ya chama hiki wakristo hawana uwezo hapa pana ajenda ya siri

mwenyekiti wa ccm atakayefuatia baada ya jk mwaka ..atapata kazi nzito pale atakapotaka kurudisha balance distribution of top slots...maana waliopo sasa watampiga vita....kwa kweli hali hii haipendezi!
 
mwenyekiti wa ccm atakayefuatia baada ya jk mwaka ..atapata kazi nzito pale atakapotaka kurudisha balance distribution of top slots...maana waliopo sasa watampiga vita....kwa kweli hali hii haipendezi!
im-watching-you-focker.jpg


Give me a break!

Kwa mtu mwenye nafasi yako sikutegemea kuwa una mentality hizi

mbona hakuna anayelalamika kuhusus udini CHADEMA?

au mbona hakuna anayesema kitu kuhusu CHADEMA as chama cha watu wa chagga?
 
Last edited:
JAMANI NISAIDIENI CCM NI CHAMA CHA KIDINI?


MWNYEKITI WAKE NI MWISLAMU PAMOJA NA KATIBU WAKE


MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU


MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU


MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU


Tuseme ndani ya chama hiki wakristo hawana uwezo hapa pana ajenda ya siri

Mkuu,
Hayo mambo ya CCM ni wana-CCM wenyewe, kama wao hawasemi iweje uwasemee? Na endapo wewe ni mwanachama wa CCM basi unajua wapi kwa kuyapeleka malalamiko yako.
Mimi sioni tatizo katika hoja yako kwani hapo awali ilikuwa hivi na mambo yalikuwa kama kawaida.
In short CCM si msikiti tukaanza kutafuta Imam au si kanisa tukatafuta Mchungaji.

Kukusaidia zaidi, Mh Sofia Simba si mwislam kama unavyodai

Hata hivyo hapo awali ilikuwa hivi:

MWNYEKITI WAKE NI Benjamin PAMOJA NA KATIBU WAKE Phillip

Makamu Mwenyekiti Bara: John

MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU Anna


MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU Emmanuel


MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU Abihud
 
Inaelekea Josm ni mdini na ni wale wachache wanaochukia wenzao kwa ajili ya itikadi zao za dini,Ungekuwa na akili timamu, na ungekuwa sio mdini basi ungeanza kufikiria structure ya CCM kuanzia 1961 hadi leo hii, na mengi au kila kitu waliofanyiwa Waislamu na CCM, Nna pia waliofanyiwa Wakristo na CCM, then after great analysis ndio ungekuja hapa na huo upotofu wako.
 
Kukusaidia zaidi, Mh Sofia Simba si mwislam kama unavyodai

Hata hivyo hapo awali ilikuwa hivi:

MWNYEKITI WAKE NI Benjamin PAMOJA NA KATIBU WAKE Phillip

Makamu Mwenyekiti Bara: John

MWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE TANZANIA NI MWISLAMU Anna


MWENYEKITI WA UMOJA WA VIJANA NI MWISLAMU Emmanuel


MWENYEKITI WA JUMHIA YA WAZAZI CCM NI MWISLAMU Abihud

Huyu Anna Abdallah siyo mwisilamu, ni mkiristo tena jina lake Anna-Magrgareth Abdallah

Kumbe utaona listi yote ni watu wa dini moja, na mtoa hoja hapo juu atatuambia nini kuhusu hili?
 
im-watching-you-focker.jpg


Give me a break!

Kwa mtu mwenye nafasi yako sikutegemea kuwa una mentality hizi

mbona hakuna anayelalamika kuhusus udini CHADEMA?

au mbona hakuna anayesema kitu kuhusu CHADEMA as chama cha watu wa chagga?


vipi kaka ..nimegusa jipu????

mbona sioni ubaya wa comment zangu....kwani hujui kuwa ccm ni chama tawala....????...identity yangu kuwa mimi chadema una hakika?? MIMI NI MTANZANIA kwanza!!...mbona sijafikiria kuwa wewe CUF.....
 
Huyu Anna Abdallah siyo mwisilamu, jina lake Anna-Magrgareth Abdallah

Kumbe utaona listi yote ni watu wa dini moja, na mtoa hoja hapo juu atatuambia nini kuhusu hili?

Mkuu,
List nimejaribu kumwachia mtoa mada mpangilio wake katika hali halisi huku nikibandika majina kwa wale viongozi waliopita.
Kwa ufupi nilikuwa ninataka kumfahamisha mtoa mada kuwa maswala ya dini hayana nafasi katika CCM na huko nyuma mambo yalikuwa kama hivi:
Mwenyekiti: Benjamini
Makamu Bara: John
Katibu Mkuu: Phillip
M/Kiti UWT: Anna
M/kiti Vijana: Emmanuel
M/kiti Wazazi: Abihudi

Hao wote niliowataja hapo juu walishika nafasi hizo kwa ridhaa ya wanachama wa CCM ambao leo hii wamewapa ridhaa hiyo viongozi waliokuwepo sasa madarakani.
 
nadhani ni coincidence tu inatokea mara moja moja.hivi vitu haviangalii dini ya mtu kama kigezo.ukisikia sheikh mkuu anakuwa polcarp pengo au askofu mkuu anaikuwa bwana golgosi tunayemjua then unaweza ukapata shaka.lakini kwenye nyadhifa za kiserikali kwa nchi kama tanzania naamini in most cases ni coincidence.ingekuwa saudi arabia au japan au vatikan hapo chacha waweza hisi hivyo
 
Mwenyekiti wa CCM anachaguliwa na wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM ambamo wamo waislam na wakristo. Tuwalaumu hao wakristo kwa 'kulundika" waislam na kuifanya CCM kuwa ni ya Kidini

Wenyeviti wa jumuiya za vyama, Vijana, wazazi na wanawake wanachaguliwa na wajumbe wa jumuiya husika ambamo wamo waislam na wakristo tuwalaumu wakristo wa jumuiya hizo kwa "kulundika" waislam.

NB: SOFIA LAZARO SIMBA ni MRISTO MKATOLIKI mzaliwa wa misheni kota Ilala

Philemon Mikael ni mdini anafahamika vizuri
 
Mbona umesahau katibu mkuu wa UMOJA WA WANAWAKE aliyeteuliwa hivi karibun HASNAT MWILIMA mwislam

MEYA WA JIJI- ADAM KIMBISA NI MWISLAM

MSAIDIZI MEYA-AHMED MWILIMA NI MWISLAM
 
Give me a break!

Kwa mtu mwenye nafasi yako sikutegemea kuwa una mentality hizi

mbona hakuna anayelalamika kuhusus udini CHADEMA?

au mbona hakuna anayesema kitu kuhusu CHADEMA as chama cha watu wa chagga?

Hahaaaaa.. mkuki kwa nguruwe...
Kwa CCM kusema CUF ni chama cha kidini sawa kabisaaaaa
Kwa CCM kusema CHADEMA ni chama cha kikabila sawa kabisaaaaaa

Lakini CCM wakianikwa mwe!
Hayo ni mambo ya wana CCM hatupaswi kuwaingilia!
 
CCM huwa ni opportunistic; sasa hivi ni cha KIISLAM yes; then kitaondoa wote; katiba zao na miongozo yao inampa mtu kuamua bila kufuata protocol kadha wa kadha ambazo nia ni yake ni kuleta balance; CCM hawana mwelekeo
 
Last edited:
Philemon Mikael ni mdini anafahamika vizuri


panya akitaka jina hujipitisha pitisha!!!

panya huyoo !! panya huyoo !! tutasema kwa nguvu...na yeye atafurahi...


.....MWAKA 2005...cuf walipigiwa kelele sana ....!!!.. OOH CUF WADINI ,,..CUF WADINI...Kumbe wapi bwana siasa ..tu ...

Wasomi jiulizeni kwa nini CUF inaonekana kupungua nguvu????

i AM OUT!!
 
panya akitaka jina hujipitisha pitisha!!!

panya huyoo !! panya huyoo !! tutasema kwa nguvu...na yeye atafurahi...


.....MWAKA 2005...cuf walipigiwa kelele sana ....!!!.. OOH CUF WADINI ,,..CUF WADINI...Kumbe wapi bwana siasa ..tu ...

Wasomi jiulizeni kwa nini CUF inaonekana kupungua nguvu????

i AM OUT!!

Right on! so give a dog bad name and hang him! kwa hilo mmenoa...
 
Ni chaguo la mungu, pia isitoshe huyu Rais alipata asilimia 80% katika uchaguzi kwa mana hiyo hata wakristo wamemkubali kuliongoza taifa hili .
 
Ni chaguo la mungu, pia isitoshe huyu Rais alipata asilimia 80% katika uchaguzi kwa mana hiyo hata wakristo wamemkubali kuliongoza taifa hili .

Off point. Kinachozungumziwa hapa si uchaguzi wa rais bali udini wa sisimafisadi. Uko wapi wewe mkuu? bado umelala?
Sisi M. ni wanachama wangapi na rais amechaguliwa na wana sisi m pekee?
Rudi kwenye mada mkuu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom