chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,871
Magufuli kairejesha Tanzania nyumba kimawazo na fikra,.. Ung'ang'anizi wa kutaka CCM itawale milele na Uroho wa Madaraka ndio sera za Magufuli..
Kuwafunga au kuwa piga risasi wanaomkosoa
Sheria za kuwabana Watanzania wasitoe maoni yao kwenye mitandao hizi ni moja tu katika mifano ya UDIKTETA wa kuzuia uhuru wa kujieleza
Kuwafunga au kuwa piga risasi wanaomkosoa
Sheria za kuwabana Watanzania wasitoe maoni yao kwenye mitandao hizi ni moja tu katika mifano ya UDIKTETA wa kuzuia uhuru wa kujieleza