luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,023
- 21,268
Sio rahisi mijizi impende magufuli. Sema kadili uwezavyo ila yule mtu huwezi mchafua kwa maneno mabaya.
Asante mungu kutuletea chuma kilichonyoosha majizi yote.
Ila magufuli kawanyoosha mpaka hamchoki kumsema?
Mungu wabariki "wale watu walee" wanaomchukia magufuli nao uzao wao utoe rais tuone nae atanya yapi?
Tunataka vitendo sio maneno.
Asante mungu kutuletea chuma kilichonyoosha majizi yote.
Ila magufuli kawanyoosha mpaka hamchoki kumsema?
Mungu wabariki "wale watu walee" wanaomchukia magufuli nao uzao wao utoe rais tuone nae atanya yapi?
Tunataka vitendo sio maneno.