chipolopolo 2
JF-Expert Member
- Nov 10, 2014
- 3,292
- 1,841
Huyu mambo anayofanya hata siyaelewi, juzi mwandosya amesema kila mkoa wanatakiwa wadhamini 30 tu, sasa hayo maelfu ni mbwembwe tu, ili kutisha watu kuwa si mnaona jinsi ninavyokubarika? ole wenu mnikate!! Ila hadi sasa Steringi ameshauawa, hayo ni mateke ya mwisho dying horse!!! likikupata tu, na sasa baada ya jana jaji kuchukua fomu hali ya kambi ni tete sana,
Kumbe kuna jaji nachukua form nilikuwa village ndo naingia jf ss hivi