Hivi na zile T shirt za rangi ya cream ..zimeandikwa Lowasa Team Man......wivu ni kitu kibaya kweli,mbona hiyo form sio ya lowasa?kwanini mnatafuta threat isiyo na mashiko?nadhani kitu kitakacho kukusaidia sasa hivi ni kwenda kujiandikisha,na come october utafanya maamuzi magumu na sahihi,vyama na wagombea watakuwa wengi,tuachie lowasa wetu
Hii ni Iringa sijui Lowasa kafika lini Iringa lakini form zinatembezwa nyumba kwa nyumba ili aonekane ana wadhamini wengi.
Kweli White house kuna siri imejificha mpaka watu wako tayari kufanya chochote ilimradi tu wakanyage huko.
Wengi wako seroius nae wanasubiria akichukua nchi wawe madc ndio stori zao nyingi.......istoshe kma arusha wafuasi wke matajiri walitoa 300m naskia dar wametoa karibia 1bn karamagi pekee 100m
Kwani hairuhusiwi kuandaliwa wadhamini na timu yako kabla haujafika eneo husika? Mimi naona kama wameshapatikana mapema, hiyo itarahisisha kwani akifika atawashukuru na kuondoka, otherwise uniambie kwamba utaratibu unasema lazima afike kwanza ndipo aanze kuandikisha wadhamini!Hii ni Iringa sijui Lowasa kafika lini Iringa lakini form zinatembezwa nyumba kwa nyumba ili aonekane ana wadhamini wengi.
Unaona mambo hayo mkuu? Huyu hafai kabisa hata kupigiwa kura. Jina lake likatwe mapema kabisaaaaaaaaa, vinginevyo tutalia akiwa rais maana nchi itakuwa chini ya Chenge, Rostam na Karamagi. Jamaa wana usongo wa kuwakomesha watu fulani ambao wako kinyume na matendo yao maovu juu ya Watanzania.
Hivi na zile T shirt za rangi ya cream ..zimeandikwa Lowasa Team Man......
Fedha za kuzichapisha mnazipataga wapi?...Halafu ''Ikulu is not a Hospital''...
Kwa wenzetu hyo ingekua typical disqualified lakini kwa magamba trust me ni ndoto ya mchana
au ndio anakitangaza chama chake kipya atakachojiunga nacho hivi karibuni ?Ameshakamilisha mda ila anatembelea mikoa yote 31 ili kuwatia jambajamba cc kua anakubalika mana leo yuko tanga ni mkoa wa 21
Hii ni Iringa sijui Lowasa kafika lini Iringa lakini form zinatembezwa nyumba kwa nyumba ili aonekane ana wadhamini wengi.
Kweli White house kuna siri imejificha mpaka watu wako tayari kufanya chochote ilimradi tu wakanyage huko.
Mwisho wake unafahamika hatapata mda wa kudanganya watu tena pesa alizoiba zinatosha.
Mkuu acha hizo habari mkuu...Allah ana mipango na wezi na mathalim....
Angalia kwenye umri hapo!Almost wote ni 20's years! Acha vijana wavune 'mapesa' ndiyo safari yao ya Matumaini!
Lowasa ni mpango wa Allah
Juzi niliweka Uzi hapa kwamba wafuasi WA Lowassa walikamatwa kwenye vituo vya BVR Katika jimbo la Moshi vijijini wakiwa na fomu za udhamini,kadi mpya za uanachama wa CCM, daftari la orodha ya wanachama WA CCM na kitabu cha risiti ya ada ya uanachama. Cha kushangaza Uzi ule uliondolewa! Wafuasi hao wa Lowassa walikuwa wakiwapatia watu waliokuwa kwenye vituo vya BVR kadi na risiti bila kulipa pesa na kuandika tarehe za nyuma ili kuonyesha kwamba ni wanachama wa siku nyingi! Baadaye wafuasi hao walitimuliwa na mawakala wa CHADEMA pamoja na Red Brigade waliokuwepo maeneo ya tukio. Lowassa leo yupo manispaa ya Moshi na kutwa nzima ya Jana na leo asubuhi magari manne ya matangazo walikuwa yakipita mitaa mbalimbali ya mji na majimbo ya Moshi vijijini, Hai na Vunjo yakitangaza ujio wake. Watu wanashangaa huu ni mkutano wa hadhara au kampeni? Iweje watu waliokudhamini tena ambao unawajua na namba zao za simu unazijua uwaite kwa magari ya matangazo ukipiga makelele mitaani?
Hao watakuwa vijana wa vyuo vikuu vya Iringa; RUCCO, Mkwawa na Tumaini. waache walichune buzi.Angalia kwenye umri hapo!Almost wote ni 20's years! Acha vijana wavune 'mapesa' ndiyo safari yao ya Matumaini!
61 pct ya wapiga kura watakuwa vijana.... Safari hii mnalo ila kaa ukijua oktoba Lowassa anaingia Ikulu haijalishi kwa mlango gani....