mcubic
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 10,310
- 6,546
by mcubic
Yeye alikuwa wa kwanza kutangaza nia.......hadi leo hii bado anasaka tu wadhamini....6 mwenzie kamaliza zamaaaaani alivyopata 450 tu basi..........
Mkuu mcubic sio tu alikuwa wa kwanza kuanza kusaka wadhamini pia ANATUMIA CHOPA, wenzake wanaotumia magari wamemaliza yeye bado TUU!
wonders!
Mpaka sasa ameshatembelea kusaka wadhamini mikoa 20!!! Wakati inayohitajika ni 15 tu.......eti wadhamini wengine atawaweka kama kmbkmb monduli.
Last edited by a moderator: