Udhamini wa Lowassa unatia shaka

Udhamini wa Lowassa unatia shaka

Mapambano Yetu

Mbona naona kama aliyekutuma hujamuelewa vizuri rudi kwanza urudi October hapa.
 
Last edited by a moderator:
by mcubic
Yeye alikuwa wa kwanza kutangaza nia.......hadi leo hii bado anasaka tu wadhamini....6 mwenzie kamaliza zamaaaaani alivyopata 450 tu basi..........


Mkuu mcubic sio tu alikuwa wa kwanza kuanza kusaka wadhamini pia ANATUMIA CHOPA, wenzake wanaotumia magari wamemaliza yeye bado TUU!

wonders!
 
Last edited by a moderator:
Hivi hizo form anazitafuta mwenyewe Lowasa? Sio form za CCM?
 
Kama yye fisadi mbona mahakamani Hapelekwi,hii scandal inashindwa kustand as reality,instead propaganda za wap,nzan wake..na ndy mana anaendelea kukata misitu minene na atafika barabara ya ramii
 
Lowasa ni mtu mzima hovyo! libabu lile badala hata liwe na kabusara kadogo anacheza rafu za wazi na maigizo yasiyotoa ujumbe wowote maana kila anachokifanya kipo wazi. Sahv ameajiri vijana mikoa yote na kuwanunulia magari yana lebo "friends of Lowasa" nitaishangaa CCM itakapompitisha jambazi km hili. sababu zinazompelekaga makanisani na misikitini si kwamba ana moyo wa utoaji, ni kujaribu kuwashawishi waumini. sehemu kubwa nchi hii wanafunzi wanaka chini lini alifanya harambee kuwachangisha hao marafiki zake matajiri? mbona hana rafiki maskini? Biblia yasema ndege wafananao huruka pamoja na wanyama wanaofanana hutembea pamoja. maskini wa nchi hakuna chenu kwa lifisadi hili
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Bila shala mmeona case study ya Sumae inavyofunua picha nyuma ya pazia. Peke yake ndiye kajibainisha kukataa rushwa na ufisadi, na kwa sababu hiyo hana mipesa ya kuwawezesha wana ccm wamdhamini na ndiyo sababu anakosa wadhamini ndani ya ccm!.

Maelfu ya Lowasa yanaendana na pochi yake kuwa kubwa, na hivyo ni dhahiri wanaogombania kumdhanini Lowasa si kwamba wanamkubali au kumpenda!. Watanzania sasa wanadhiki. Wanagombania posho ya udhamini! Angelikuwa hagawi pesa, wala wasingejitokeza. Somo mlifahamu.

Ccm Hoiiiiiiiiiii!
 
Angalia kwenye umri hapo!Almost wote ni 20's years! Acha vijana wavune 'mapesa' ndiyo safari yao ya Matumaini!

Hakika age profile ya signatories na mwandishi wa majina vianaashiria kuwa kuna wanaotumwa kuandaa mafuriko kabla bwana mkubwa hajafika.
 
Lowassa ndio roho ya ccm,mnamuonea kwasb lowasa sio mswahili.
 
Mzee ana apply live&fine performing art aliyoipata Ud enzi hizo kuwatengenezea CCM mazingaombwe na comedies ...nahisi atakuwa amekuwa obsessed kiasi kwamba kila anachokifanya anahisi yuko sahihi na ndo hapo wahuni wanazidi kumpiga pesa, siku akipigwa chini inaweza kuwa ndo safari ya matumaini ya milele. Amina!
 
Kwani utaratibu (wa CCM) wa mogombea kupata wadhamini upoje? Anatakiwa afanye nini na asifanye nini? Je amekiuka huo utaratibu? Kuna upper limit ya wadhamini?

Kama hakuna guidelines inaweza kuwa kumwonea tu maana kila mtu anafanya kivyake kwa ubunifu wake.
 
Mzee mamvi we waonge tu wote usiache hata nani waonge ila hufai mwishoni.
 
Mwisho wake unafahamika hatapata mda wa kudanganya watu tena pesa alizoiba zinatosha.

Simiyu huyu mtalinywa manake mlimwachia mpaka ameota mizizi kuing'oa ndio kimbembe keshawashika watu akili na siasa za kiafrika ni mchezo mchafu mkifanya maamuzi magumu ya kumuondoa ccm hamna rangi ambayo hamtaiona kwa tuje tutoe ushuhuda hapa baada ya october,
Ccm mkimkimbia lowasa nshale mkisimama nkuki mwenye akili hashikiwi daftari letu jicho.
 
Kwani hizo ndo form za udhamini? Mbona zinanembo ya 4u? Na ratiba yake ni kwamba Iringa hafiki ninavyosikia ila wenye mtu wao watasema kama ni kweli au sio
 
Back
Top Bottom