Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
- Thread starter
- #61
Ni Aibu Karne hi kutomasana hadharani
Kwa jinsi wanavyotomasa utafurahi na roho yako.Wikihii ntasafiri na wife alafu nione askari wakiume ana mtomasa mkewangu.
Sitakubali ujinga huu kuna mambo hayapaswi kunyamaziwa.Kwa jinsi wanavyotomasa utafurahi na roho yako.
Mi naona.wanaokaguliwa kama wanafurahia vile! Angalia hiyo ya Uganda. Ambalo sijui inakuwaje mwanamke kama yuko hedhi?Wanakosea sana!!! Mwanamke anatakiwa kusachiwa na askari mwanamke
Wanaofurahia hawajitambuiMi naona.wanaokaguliwa kama wanafurahia vile! Angalia hiyo ya Uganda. Ambalo sijui inakuwaje mwanamke kama yuko hedhi?
Umeona nini wewe ndugu yangu, wakati usafiri wako hasa hasa ni mabasi ya MANING NICE (Dar- Masasi) pale mbagala njia ya kuelekea kongowe. Wanafanya ukaguzi kwani?nazungumza nilichowahi kuona na siku zote sijawai ona kitu cha namna hiyo labda kama ni miaka ya nyuma. Ebu ww weka iyo footage ya mwanamke akikaguliwa na mwanamke.
Asante ndugu naona umejipanga kubishana sikuwezi weweUmeona nini wewe ndugu yangu, wakati usafiri wako hasa hasa ni mabasi ya MANING NICE (Dar- Masasi) pale mbagala njia ya kuelekea kongowe. Wanafanya ukaguzi kwani?
Umeona nini wewe ndugu yangu, wakati usafiri wako hasa hasa ni mabasi ya MANING NICE (Dar- Masasi) pale mbagala njia ya kuelekea kongowe. Wanafanya ukaguzi kwani?
Umeona nini wewe ndugu yangu, wakati usafiri wako hasa hasa ni mabasi ya MANING NICE (Dar- Masasi) pale mbagala njia ya kuelekea kongowe. Wanafanya ukaguzi kwani?