MfalmewaKiha
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 1,191
- 1,231
We ni kicha kweli. Anyway! Nimecheka kweliKwan kama wanagusa taratibu shida nini? Mbaya kubonyeza
We ni kicha kweli. Anyway! Nimecheka kweliKwan kama wanagusa taratibu shida nini? Mbaya kubonyeza
Unajibu kitu usichokijua kabisa, post ni tofauti na hiyo picha unayosema wewe imewekwa na BAK hapa na amesema hii ni Uganda tena ilikuwa kwenye mechi ya mpira wa miguu.Hao ni askari wa usalama wa Taifa la Uganda sio Tanzania huoni hata bendera hapo kwani bega lake na huo mkanda aliovaa
Watanzania wengi hawasomi kutambua nini kimeandika ndani. Wao ni mkurupuko tu.Unajibu kitu usichokijua kabisa, post ni tofauti na hiyo picha unayosema wewe imewekwa na BAK hapa na amesema hii ni Uganda tena ilikuwa kwenye mechi ya mpira wa miguu.
Unaruhusiwa kugoma kukaguliwa na askari wa kiume kama wewe ni mwanamkeKatika hali ya kushangaza kwenye viwanja vya ndege tajwa (JNIA, Mbeya na Mwanza) ukaguzi kwa abiria wa jinsia zote unafanywa na wanaume. Wanawake wanadhalilika sana kwa kutomaswa na vijana wa kiume hapo Airport.
Tena baada ya ukaguzi, vijana hao (inasemekana) huenda kujisifia na wenzao jinsi abiria alivyojaliwa maumbile makubwa.
NB : Tafadhali uongozi TAA chukueni hatua, Kuondoka udhalilishaji huu.
Still soft FAM.. Grow hard then you will see it normal
NIMESAFIRI SANA ILA HILI SIJAWAHI KULIONA
Ati shanga na msambwandaHapo Mwanza ukaguzi wa 2 na wa mwisho kuna kibabu kina kitambi kama kibuyu ndo kinakagua hapo. FULL TABASAMU akikagua mwanamke mwenye wezere. Yaani huyo mwanamke atarudishwa kwenye mashine/ scanner eti unene umezidi, mara sijui shanga hazitakiwi ili mradi tu kila akirudi tena ampapase tena. Yaani utaratibu huu ni udhalilishaji na unatengeneza foleni pasipo na sababu.