Udhalilishaji vyuo vikuu

Udhalilishaji vyuo vikuu

Mbona hamkiachi chuo changu chenye idadi ya kubwa wanafunz dodoma ? Kila kona mnakinadi...
 
mkuu suala hili nimeshuhudia kwa dada mmoja kuomba msaada asindikizwe ofc ya lecter kwa usumbufu nimeumia sana jamaa kakomaa anamkosesha raha dent wa watu

Huyo dent ---- kweli kweli, hajui cha kufanya mpaka aogope?? Let's be serious, wadada ambao hawapendi hayo mambo hawaguswi, someni, lecturer akikusumbua KUNA VIONGOZI HUKO MLIKO, AU PCCB, POLICE, NA WAZAZI WENU
 
anachokisema huyo mtoa mada ni kweli tupu,kwa sisi tuliopitia vyuoni tunajua hayo mambo yalivyo na jinsi wanawake wanavyodhalilishwa bila kujali kama ni mke wa mtu au la,kama dr au prof akikutaka basi atafanya kila hila ikiwemo hata kukufelisha,na wengi wamejikuta wanavuliwa nguo za ndani kwa sababu hizi ingawa wapo ambao wanajilengesha ili wapewe maksi za juu but haiondoi ukweli kuwa wengi wao wanawake wanapata shida sana kwenye hivi vyuo vyetu.

Mhhhhhhh...sasa atajirengesha Mara ngapi waweza kuta semester moja mwanafunzi ana kozi 9 ili kumaliza semester sita = 54...
Je atajirengesha Mara 54??
 
Acheni kumping mleta uzi...
Wanaobeza ndo wle wle wa div five ht chuo hawajanusa.....
 
Mnaombishia mleta mada nendeni mkaone yanayofanyika kwny vyuo km CBE, IFM n.k, acha na vyuo vyenye mfumo rasmi wa kiuendeshaji km UDSM, MZUMBE na vinginevyo[/QUOTE

ni kweli mkuu hali ni mbaya,ongezea na saut,eckenford tanga
 
tunataka na dada zetu wasome kwa amani kama tulivyo wanaume mnaopinga haya tunayoyakemea ipo siku mtayaelewa kwa uzur,lecturer they must change
 
anachokisema huyo mtoa mada ni kweli tupu,kwa sisi tuliopitia vyuoni tunajua hayo mambo yalivyo na jinsi wanawake wanavyodhalilishwa bila kujali kama ni mke wa mtu au la,kama dr au prof akikutaka basi atafanya kila hila ikiwemo hata kukufelisha,na wengi wamejikuta wanavuliwa nguo za ndani kwa sababu hizi ingawa wapo ambao wanajilengesha ili wapewe maksi za juu but haiondoi ukweli kuwa wengi wao wanawake wanapata shida sana kwenye hivi vyuo vyetu.

ni kweli mkuu
 
mkuu suala hili nimeshuhudia kwa dada mmoja kuomba msaada asindikizwe ofc ya lecter kwa usumbufu nimeumia sana jamaa kakomaa anamkosesha raha dent wa watu

aende takukuru, ila madenti wengine wa kike ni shidaaah,wametulia saana
 
Katika hali isiyo ya kawaida imegundulika uwepo wa udhalilishaji mkubwa kwa wanawake wanaosoma katika vyuo mbalimbali nchini, data zinaeleza kuwa vyuo vingi vimekuwa na lecturer ambao hutumia nafasi hyo kuwataka kimapenzi wanafunzi na pindi mwanafunzi huyo akikataa basi matarajio yake katika masomo huwa yanapotea, wakati hilo likifanyika mkuu wa chuo pamoja na idara zake wanalijua hili lakini hakuna hatua zinazochukuliwa, kwa kuumizwa na suala hili nimeona nilete kwa wanajamvi ili ujumbe ufike kwa haraka wanawake wanateseka sana vyuoni mfano ni chuo kikuu kilichopo Tanga, DUCE na kile chenye idad kubwa ya wanafunzi Dodoma


Serikal kupitia vyombo husika chunguzeni haraka sana hali za wamama wetu vyuoni zinatisha

MAVAZI YAO NI BIASHARA TOSHA, SASA WATEJA WAMEPATIKANA KWANINI WALaLAMIKE? MTU ANAEVAA NGUO ZA HESHIMA ULIWAH KUMUONA ANAPIGIWA MILUZI? MAVAZI YAO NI KIVUTIO TOSHA CHA MWANAUME RIJALI. WE BINTI ANAVA SHANGA NA CHUP NJE UNADHAN MHADHIRI ------ HADI AKUACHE?TOA TAKO
 
WANAVAA NGUO ZA KUBANA, SHANGA NJE NA CHUPI, UNATEGEMEA USIULIZWE CHOCHOTE MBELE YA MWANAUME RIJALI? Jk Mwenyewe Hakuachi, Wanachofanya Ni Biashara Wasilalamike, WAKITAKA WAVAE NGUO ZA HESHIMA UONE KAMA WATATONGOZWA
 
Hili ni tatizo linalotokana na pande zote mbili...! Mwanafunzi na Mwalimu. Mwanafunzi kama unajiweza katika somo husika la mwalimu mpuuzi, ukifanya mtihani wake ukafauru lakini mwalimu akakukosesha kwa makusudi na ukiwa na uhakika kuna taratibu za kukata rufaa, hiyo rufaa ikishindikana unaenda mahakamani. Hautakuwa wa kwanza kupata degree ya mahakamani. Tatizo wanafunzi wanaoshindwa kujiamini na kuwa shughulikia walimu wapuuzi kwa kujilegeza hata pale wanapokuwa na haki. Pia vitendo vya kuvaa nguo za ajabu zinazo oonyesha baadhi ya sehemu nyeti karibu wazi na kujipeleka kwa mwalimu mpuuzi akuongezee maksi ni upuuzi mwingine. Tatizo kwa mwalimu ni mwalimu kushidwa kudhibiti upuuzi wake. Ukijijua wewe ni mpuuzi usikubali kuhusu mwanafunzi aje ofisi kwako amevaa kipuuzi, muda ambao si rafiki kwa usalama wa kudhibiti upuuzi wako, iweke ofisi yako katika mazingira yasiyo ya falagha unapotembelewa na mwanafunzi mwenye nia ya kipuuzi...! Ni hayo kwa leo.
 
Hili ni tatizo linalotokana na pande zote mbili...! Mwanafunzi na Mwalimu. Mwanafunzi kama unajiweza katika somo husika la mwalimu mpuuzi, ukifanya mtihani wake ukafauru lakini mwalimu akakukosesha kwa makusudi na ukiwa na uhakika kuna taratibu za kukata rufaa, hiyo rufaa ikishindikana unaenda mahakamani. Hautakuwa wa kwanza kupata degree ya mahakamani. Tatizo wanafunzi wanaoshindwa kujiamini na kuwa shughulikia walimu wapuuzi kwa kujilegeza hata pale wanapokuwa na haki. Pia vitendo vya kuvaa nguo za ajabu zinazo oonyesha baadhi ya sehemu nyeti karibu wazi na kujipeleka kwa mwalimu mpuuzi akuongezee maksi ni upuuzi mwingine. Tatizo kwa mwalimu ni mwalimu kushidwa kudhibiti upuuzi wake. Ukijijua wewe ni mpuuzi usikubali kuhusu mwanafunzi aje ofisi kwako amevaa kipuuzi, muda ambao si rafiki kwa usalama wa kudhibiti upuuzi wako, iweke ofisi yako katika mazingira yasiyo ya falagha unapotembelewa na mwanafunzi mwenye nia ya kipuuzi...! Ni hayo kwa leo.

Yaani umesema vizuri kabisa, hii ki2 wanafunzi nao wanachangia, mtu akiona anayumba kwenye course work kutwa kujichekesha kwa lecturer. na malecturer wengi hawachekewi, ukimchekea chekea lazima akukaze, mabinti wengi wasiojitambua wanajirahisi sana. tumepita huko tumeona. mtu anakufundisha semister moja umpe papuchi hadi semister 6 kwa kozi tofauti si tayari nati zitakuwa zimelegea. ikiwa lecturer hajamtendea haki kwanin asiende kwa dean of student????? kujiendekeza tu
 
Siku hizi mwanafunzi wa Chuo Kikuu akitembea na Mhadhiri (lecturer) anakuwa amependa mwenyewe maana kuna njia nyingi sana za kuepuka jambo hili bila kuwa katika hatihati ya kufelishwa. Mfano: anaweza akatunza meseji na kumbukumbu zingne kama ushahidi pale ambapo mhadhiri atataka kumfelisha sababu ya mapenzi.

Sio kweli kwamba kuna kulindana kati ya wahadhiri, ni kitu kisichowezekana. Mwanafunzi akidhulumiwa kijinsia anaweza kwenda kwa mkuu wa idara, mkuu wa kitivo/skuli, mkuu wa koleji, naibu mkuu wa taaluma (DVC) au Makamu mkuu wa chuo (VC) au kwa asasi za kiraia (TAMWA,TGNP). Je ngazi zote hizo zitataka kumbeba mhadhiri?

Ni vizuri ikaeleweka kwamba sio kosa mhadhiri kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi wake, ili mradi hakuna mgongano wa kimaslahi. Hakuna chuo kikuu kinachokataza mahusiano ya aina hii. Tena kuna wengine wanadhani hili ni suala la wahadhiri wa kiume kwa wanafunzi wa kike tu, lipo pia kwa wanafunzi wa kiume kwa wahadhiri wa kike.

Chanzo cha uhusiano chaweza kuwa penzi la dhati, ukaribu, kutaka kunufaika kimasomo, kifedha na kihadhi. Naamin hata aina ya wanafunzi wanaopelekwa chuo kikuu hasa kwa muhula huu wa masomo, ni sehemu ya tatizo. Wanafunzi wanaoenda chuo kikuu sasa wanaufaulu mdogo sana kiasi cha kupata shida kumudu masomo yao na hivyo kulazimika kutaka kufaulu kwa njia zisizo halali kama kutoa rushwa ya ngono na mengineyo. Enough, for now.
 
Kuna Dr mmoja aliwahi kuniambia Hawafaidi mshahara Bali in madenti tu ndo wanachofaidi
 
Nasami. Pole sana kwa kuwa dhaifu katika kila kitu kuhusiana na elimu ya juu. Sheria zote za vyuo vikuu zinampa mwanafunzi nguvu za kisheria kukata rufaa katika maamuzi yotr yanayofanywa na wahadhiri, bodi za matokeo na hata seneti. Lengo likiwa kama kweli umenyimwa alama zako kwenye majaribio na mitihani, vyombo vya rufaa vitakupatia haki yako na mhadhiri ataadhibiwa, ikithibitika amefanya makosa kwa kukusudia.
Tatizo la wewe na wenzako msiokuwa na uelewa ni kutokusoma sheria za chuo na za mitihani. Pia wewe ni katika wale wanafunzi wasiokuwa na uwezo na kujiamini, hivyo kubaki kupiga kelele na kutafuta huruma za wahadhiri, ambalo nalo ni kosa. Hapa jamii forum umeeleiezwa mengi. Na mimi nasisitiza kuwa mbinu sahihi ya kufaulu masomo ya chuoni ni kusoma kwa bidii, hasa kwa wewe ambaye ni dhaifu kichwani, soma sana tena sana, fanya majaribio yote, jibu mitihani kwa kujiamini. Hapo mhafhiri hawezi kuwa na fursa ya kukuonea, kukupendelea au kukutumia.
 
Mabinti wengi huwa wanajipeleka wachache sana ndo wenye kesi za kufuatwa na kuhusianisha na masomo
 
Hyo kawaida sana,ata wewe ungekuwa mkufunzi huwezi kuwaacha warembo,ila kibaya n kuwafukuzisha/kuwafelisha kisa penzi hyo ndo haifaii
 
Hili ni tatizo linalotokana na pande zote mbili...! Mwanafunzi na Mwalimu. Mwanafunzi kama unajiweza katika somo husika la mwalimu mpuuzi, ukifanya mtihani wake ukafauru lakini mwalimu akakukosesha kwa makusudi na ukiwa na uhakika kuna taratibu za kukata rufaa, hiyo rufaa ikishindikana unaenda mahakamani. Hautakuwa wa kwanza kupata degree ya mahakamani. Tatizo wanafunzi wanaoshindwa kujiamini na kuwa shughulikia walimu wapuuzi kwa kujilegeza hata pale wanapokuwa na haki. Pia vitendo vya kuvaa nguo za ajabu zinazo oonyesha baadhi ya sehemu nyeti karibu wazi na kujipeleka kwa mwalimu mpuuzi akuongezee maksi ni upuuzi mwingine. Tatizo kwa mwalimu ni mwalimu kushidwa kudhibiti upuuzi wake. Ukijijua wewe ni mpuuzi usikubali kuhusu mwanafunzi aje ofisi kwako amevaa kipuuzi, muda ambao si rafiki kwa usalama wa kudhibiti upuuzi wako, iweke ofisi yako katika mazingira yasiyo ya falagha unapotembelewa na mwanafunzi mwenye nia ya kipuuzi...! Ni hayo kwa leo.

sound good
 
Back
Top Bottom