Udhalilishaji vyuo vikuu

Udhalilishaji vyuo vikuu

anachokisema huyo mtoa mada ni kweli tupu,kwa sisi tuliopitia vyuoni tunajua hayo mambo yalivyo na jinsi wanawake wanavyodhalilishwa bila kujali kama ni mke wa mtu au la,kama dr au prof akikutaka basi atafanya kila hila ikiwemo hata kukufelisha,na wengi wamejikuta wanavuliwa nguo za ndani kwa sababu hizi ingawa wapo ambao wanajilengesha ili wapewe maksi za juu but haiondoi ukweli kuwa wengi wao wanawake wanapata shida sana kwenye hivi vyuo vyetu.

Nionavyo mimi: Tatizo kubwa ni baadhi ya dada zetu kupenda kijirahisisha,siyo vyuoni tu zipo sehemu nyingi kama makazini nk utakuta dada zetu baadhi wanapenda maisha ya mtelemko matokeo yake baadhi ya wanaume waliokosa maadili hutumia mwanya huo "kuwagegedua" dada zetu...kila mwanamke akiutambua utu wake habari hii isingesikika masikioni mwetu
 
kwanza wewe jinsia gani mbna povu lnakutoka ulishawahi kuliwa nn na lectural

Mkuu piga shule acha mara moja watoto wale siku hizi wametumwa kuwaharibia wakware. Si ajabu ukajikuta mtupu na mtoto whatssup ya mkeo.
 
Hivi kama unatimiza coursework, hujasup, huna carryover..... hujipitishi ovyo ofisini kwa watu, ukienda kupeleka kazi unaenda umevaa vizuri na hujichekeshi ovyoo...Huyo lecturer anaanzaje kwanza kukutaka? Haogopi?

Na wao binadamu jamani, wakiona kitonga wanaserereka...muwaachee....
 
...kama wamemlamba mkeo we sema tu wahusika wajirekebishe,sasa ukifichaficha mjadala utakuwa juu ya mapungufu ya mada yako na si mantiki ya mada...

mkuu suala hili nimeshuhudia kwa dada mmoja kuomba msaada asindikizwe ofc ya lecter kwa usumbufu nimeumia sana jamaa kakomaa anamkosesha raha dent wa watu
 
waliopita vyuon hili wanalijua ukwel wadada wanataabika sana,na jinsi ilivyonigusa ntahakikisha kwa kushirikiana na wadau walioguswa kulikemea kwa saut kubwa jambo hili,kwann hii jinsi iteseke?
 
Hivi kama unatimiza coursework, hujasup, huna carryover..... hujipitishi ovyo ofisini kwa watu, ukienda kupeleka kazi unaenda umevaa vizuri na hujichekeshi ovyoo...Huyo lecturer anaanzaje kwanza kukutaka? Haogopi?

Na wao binadamu jamani, wakiona kitonga wanaserereka...muwaachee....

hapo kweny course work ndo habar inapoanzia,tena siku hizi wanakuambia hata uwe na akili vipi matokeo yako ninayo
 
Wala hawaonewi na kudhalilishwa, ni wanafunzi kwa sababu wanafundishwa lakini ki hualisia ni watu wazima ki fikra na kimtazamo ndiyo maana wapo vyuo vikuu, na wengine wanajipeleka wenyewe ili kupata unafuu na huruma.
 
Hao lecturers nao wanalalamika wanafunzi wanawatega ile mbaya, sasa sijui tuweke malumbano ya hoja au?
 
Mapenzi ya chuo makubaliano kabisaaa, tena watu wanafanya sifa kuonekana anatembea na lecturer fulani, zaidi ya hapo watu wanaogopa supp badala yake wanagawa bureeeeee. hakuna kulazimishwa kwa warembo wengi vile recturer akae anahangaika kumbembeleza binti haipo, kule ni mapenzi huriaaaaaaa, abakwi mtu.
 
Kwan wanaosoma huko ni watoto au watu wazima??labda tuanzie hapo,maana naona mnataka kushikia dhamana mmasai....
 
Kwahiyo ww unasoma vyuo hivyo vyote au? Hata sijui mwandishi umesoma Research methodology ktk masomo yako? No statistics, no evidences; una andika andika tu!! Au demu wako katongozwa mkuu?
 
katika hali isiyo ya kawaida imegundulika uwepo wa udhalilishaji mkubwa kwa wanawake wanaosoma katika vyuo mbalimbali nchini,data zinaeleza kuwa vyuo vingi vimekuwa na lecturer ambao hutumia nafas hyo kuwataka kimapenz wanafunz na pindi mwanafunzi huyo akikataa basi matarajio yake katika masomo huwa yanapotea,wakati hilo likifanyika mkuu wa chuo pamoja na idara zake wanalijua hili lakin hakuna hatua zinazochukuliwa,kwa kuumizwa na suala hili nimeona nilete kwa wanajamvi ili ujumbe ufike kwa haraka wanawake wanateseka sana vyuon mfano ni chuo kikuu kilichopo tanga,duc,na kile chenye idad kubwa ya wanafunz dodoma


serikal kupitia vyombo husika chunguzeni haraka sana hali za wamama wetu vyuoni zinatsha

Unatunga!! Tusome tusilete mchezo! Soma uone kama mtu atakunyanyasa
 
Peleka ushahidi polisi na takukuru ili walishughulikie
 
Mnaombishia mleta mada nendeni mkaone yanayofanyika kwny vyuo km CBE, IFM n.k, acha na vyuo vyenye mfumo rasmi wa kiuendeshaji km UDSM, MZUMBE na vinginevyo
 
Back
Top Bottom