Jibu muafaka kabisa hilo mzee mwenzangu.Kesho vaa hivyo kisha nenda ofisi ya serikali
ilo shepu mpaka nimeshtuka aisey.........Haya ni mavazi ya beach ama nyumbani.. Hayarusiwi kuvaliwa kwenye shughuli za kiserikali.... Hata hili litafumbiwa macho?