Udhalilishaji... Hata hili litaachwa lipite?

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,633
697,791
Haya ni mavazi ya beach ama nyumbani.. Hayarusiwi kuvaliwa kwenye shughuli za kiserikali.... Hata hili litafumbiwa macho?
acff021cc4249b36d7e064e0b8d5d6bd.jpg
 
Huyu jamaa afanye sana cardio na plyometrics ili apunguze mwili kwa ujumla wake.
 
Aslay, kuna wimbo kataja mambo ya shape... Zoom picha funika kiunoni kwenda juu... Kuna mtu wa tofauti anaonekana
 
Back
Top Bottom