Udhalilishaji aliofanyiwa Profesa Assad kwa maelekezo ya Ndugai ni wa kuhuzunisha sana

Hahaha kuna watu walitengeneza ukuta humu, niliwaambia Prof.Assad atauvunja aende kuhojiwa. Wakakataa wakasema eti wewe humjui Prof vizuri, hatokwenda.
Sasa kaenda na kahojiwa.
Kuna msemo humu kwamba hakuna mkate mgumu kwa chai. Kila mtu analinda maslahi yake. Asingeenda Magufuli ange mfukuza, mtasema hawezi, mara katiba hairuhusu. Mangapi yamevunja katiba na maisha yanaenda?! Nyie mnasoma saana katiba, wenzenu wanatumia ILANI yao. Mnapishana kila siku.
So sad

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugaye kazidi sana na naanza kupata wasiwasi na elimu yake maana mtu mwenye elimu ya kuisotea hawezi kuwa na jeuri kama ya huyu mtu
Hekima,busara na uungwana si suala la cheo wala elimu,waliokosa wapo wengi,utawajua kwa matendo.

In God we Trust
 
Madhaifu yetu bado ni yale yale na bado yatatusumbua siku zote. Hivi Assad kwa madhila yote haya ni kwa nini asijiuzulu tu alinde heshima yake?

Kwani hata bila kuwa sijui CAG si maisha bado tu yataendelea? Kwa nini adhalilishwe na mtu ambaye hako ka cheo chake hata sio "Professional" ila ni ka kubebwa tu kisiasa na sio muda mrefu itaisha na kubaki tu kwenye vitabu vya historia.

Hii hulka ya kuogopa kujiuzulu ili kutetea kile unachokiamini ndio kinachotuondolea heshima siku zote na kutufanya tuonekane wachumia tumbo zaidi.
 
Madhaifu yetu bado ni yale yale na bado yatatusumbua siku zote. Hivi Assad kwa madhila yote haya ni kwa nini asijiuzulu tu alinde heshima yake?

Kwani hata bila kuwa sijui CAG si maisha bado tu yataendelea? Kwa nini adhalilishwe na mtu ambaye hako ka cheo chake hata sio "Professional" ila ni ka kubebwa tu kisiasa na sio muda mrefu itaisha na kubaki tu kwenye vitabu vya historia.

Hii hulka ya kuogopa kujiuzulu ili kutetea kile unachokiamini ndio kinachotuondolea heshima siku zote na kutufanya tuonekane wachumia tumbo zaidi.
Yap CAG anaweza kuachia ngazi but je itakuwa ni kwa kulinda heshima ama kwa uoga?

Akifanya hivyo, ndivyo sisi wao tutakavyo. Yetu yao yatapita pasina kuhojiwa.

Asijiuzulu km kweli ni mzalendo, asimamie haki tu.


Uovu wa macho hukimbiwa, uovu wa matendo hupiganiwa.
 
mhh watu mnajua kumchokonoa mtu balaaa kama kuna ukweli vile
Unajua Baba Mkwe wake alifiwa na Mkewe ambaye ni Mpemba! Lakini Assad hakuhudhuria mazishi yake kwa vile Baba Mkwe ni Kafiri (uliza walimu wa UDSM wanajua hili). Au hujui ni kwanini alipoita wandishi wa habari alivaa Kibaragashia
 
Unajua Baba Mkwe wake alifiwa na Mkewe ambaye ni Mpemba! Lakini Assad hakuhudhuria mazishi yake kwa vile Baba Mkwe ni Kafiri (uliza walimu wa UDSM wanajua hili). Au hujui ni kwanini alipoita wandishi wa habari alivaa Kibaragashia
kwa hivo jamaa ni mbaguzi wa dini???
 
Madhaifu yetu bado ni yale yale na bado yatatusumbua siku zote. Hivi Assad kwa madhila yote haya ni kwa nini asijiuzulu tu alinde heshima yake?

Kwani hata bila kuwa sijui CAG si maisha bado tu yataendelea? Kwa nini adhalilishwe na mtu ambaye hako ka cheo chake hata sio "Professional" ila ni ka kubebwa tu kisiasa na sio muda mrefu itaisha na kubaki tu kwenye vitabu vya historia.

Hii hulka ya kuogopa kujiuzulu ili kutetea kile unachokiamini ndio kinachotuondolea heshima siku zote na kutufanya tuonekane wachumia tumbo zaidi.
Hilo ndiyo lengo La wale wanaomwandama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unaweza wewe ukasusa kuzika mama mkwe na ukawa salama? Ati sababu za kidini
Mama mkwe sio mzee wako, ni heshima tu. Mtu mwenye mafungamano na maisha yako ni mama mzazi na baba mzazi tu. Hao wengine hawana athari yoyote kwa maisha yako. Tupa kule.
 
Jana CAG alihojiwa na Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge. Kinachosikitisha ni namna ambavyo Prof. Assad alitendewa na ungozi wa Bunge. Nina taarifa za uhakika za maelekezo ya Ndugai yeye binafsi kwa walinzi na watendaji wa Bunge ya kumdhalilisha Assad. Mfano , kwa hadhi yake Assad alitakiwa kuingia viunga vya Bunge akiwa ndani ya gari, lakini jana alishushwa nje na kuingia kwa miguu. Pili, Ndugai alielekeza Assad akaguliwe kwenye mashine za usalama akiwa amevua viatu kinyume kabisa na utaratibu wa viongozi wakuu kuingia bila kupitia mashine za ukaguzi kwa hadhi yao.



Tatu, ndugai akatoa maelekezo kuwa Assad apigwe picha za kutosha akiwa ndani ya viwanja vya Bunge ili kuendelea kuonyesha Umma kuwa yeye ni mbabe. Na la kushangaza zaidi gazeti kama Mwananchi ambalo siku za nyuma lilikuwa na weledi linatumia picha ya Assad akiwa na kandambili katika ukurasa wake wa mbele kuendeleza udhalilishaji huo.

Ndugu zangu, CAG kikatiba ni nafasi muhimu sana, yeye ndiye anayeidhinisha pesa yote toka mfuko mkuu wa Serikali ( japo katika awamu hii Rais amegoma, na amevunja katiba), udhalilishaji huu anaofanyiwa Assad una baraka za Ofisi Kuu ya Nchi kwa nia ya kumuintimidate Assad hasa katika kaguzi zinazoendelea. Ndugai kutekeleza maelekezo ya IKULU bila tafakari ni aibu kubwa.
Niliwahi shuhudia mpaka pm kavua mkanda ndio itakuwa Assad inaelekea huufahamu ulinzi unatakiwaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom