kiraia
JF-Expert Member
- Nov 20, 2007
- 1,716
- 999
Wewe ndio mpuuzi wa Mwisho, huyo unayesema waziri wa CAG ndio nani? Hao mawaziri si ndio wanatumbuliwa kila siku kutokana na report ya CAG? Acha kuandika upuuziHuwa nakelwa na wazushi na wanaoandika vitu vya uongo . Wewe ulishawahi kuingia bungeni wakati wowote ule? Ulishawahi kusikia sakata la wabunge na mawaziri kugoma wasikaguliwe na mashine bungeni na liliishaje ? CAG ni mkubwa kuliko waziri wake anayevua mkanda ,viatu, saa nk na kukaguliwa ? Koma kuandika uzushi haukusaidii chochote .
Sent using Jamii Forums mobile app