Udhalilishaji aliofanyiwa Profesa Assad kwa maelekezo ya Ndugai ni wa kuhuzunisha sana

Jana CAG alihojiwa na Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge. Kinachosikitisha ni namna ambavyo Prof. Assad alitendewa na ungozi wa Bunge. Nina taarifa za uhakika za maelekezo ya Ndugai yeye binafsi kwa walinzi na watendaji wa Bunge ya kumdhalilisha Assad. Mfano , kwa hadhi yake Assad alitakiwa kuingia viunga vya Bunge akiwa ndani ya gari, lakini jana alishushwa nje na kuingia kwa miguu. Pili, Ndugai alielekeza Assad akaguliwe kwenye mashine za usalama akiwa amevua viatu kinyume kabisa na utaratibu wa viongozi wakuu kuingia bila kupitia mashine za ukaguzi kwa hadhi yao.

Tatu, ndugai akatoa maelekezo kuwa Assad apigwe picha za kutosha akiwa ndani ya viwanja vya Bunge ili kuendelea kuonyesha Umma kuwa yeye ni mbabe. Na la kushangaza zaidi gazeti kama Mwananchi ambalo siku za nyuma lilikuwa na weledi linatumia picha ya Assad akiwa na kandambili katika ukurasa wake wa mbele kuendeleza udhalilishaji huo.

Ndugu zangu, CAG kikatiba ni nafasi muhimu sana, yeye ndiye anayeidhinisha pesa yote toka mfuko mkuu wa Serikali ( japo katika awamu hii Rais amegoma, na amevunja katiba), udhalilishaji huu anaofanyiwa Assad una baraka za Ofisi Kuu ya Nchi kwa nia ya kumuintimidate Assad hasa katika kaguzi zinazoendelea. Ndugai kutekeleza maelekezo ya IKULU bila tafakari ni aibu kubwa.
Ndugai ni mpumbavu sana
 
Jana CAG alihojiwa na Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge. Kinachosikitisha ni namna ambavyo Prof. Assad alitendewa na ungozi wa Bunge. Nina taarifa za uhakika za maelekezo ya Ndugai yeye binafsi kwa walinzi na watendaji wa Bunge ya kumdhalilisha Assad. Mfano , kwa hadhi yake Assad alitakiwa kuingia viunga vya Bunge akiwa ndani ya gari, lakini jana alishushwa nje na kuingia kwa miguu. Pili, Ndugai alielekeza Assad akaguliwe kwenye mashine za usalama akiwa amevua viatu kinyume kabisa na utaratibu wa viongozi wakuu kuingia bila kupitia mashine za ukaguzi kwa hadhi yao.

Tatu, ndugai akatoa maelekezo kuwa Assad apigwe picha za kutosha akiwa ndani ya viwanja vya Bunge ili kuendelea kuonyesha Umma kuwa yeye ni mbabe. Na la kushangaza zaidi gazeti kama Mwananchi ambalo siku za nyuma lilikuwa na weledi linatumia picha ya Assad akiwa na kandambili katika ukurasa wake wa mbele kuendeleza udhalilishaji huo.

Ndugu zangu, CAG kikatiba ni nafasi muhimu sana, yeye ndiye anayeidhinisha pesa yote toka mfuko mkuu wa Serikali ( japo katika awamu hii Rais amegoma, na amevunja katiba), udhalilishaji huu anaofanyiwa Assad una baraka za Ofisi Kuu ya Nchi kwa nia ya kumuintimidate Assad hasa katika kaguzi zinazoendelea. Ndugai kutekeleza maelekezo ya IKULU bila tafakari ni aibu kubwa.
Assad alijitakia mwenyewe, viongozi wetu waige viongozi wa Kenya kuwa na misimamo ya kiuongozi na kuachana na misimamo ya kishule ya kumuogopa headmaster.
 
Jana CAG alihojiwa na Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge. Kinachosikitisha ni namna ambavyo Prof. Assad alitendewa na ungozi wa Bunge. Nina taarifa za uhakika za maelekezo ya Ndugai yeye binafsi kwa walinzi na watendaji wa Bunge ya kumdhalilisha Assad. Mfano , kwa hadhi yake Assad alitakiwa kuingia viunga vya Bunge akiwa ndani ya gari, lakini jana alishushwa nje na kuingia kwa miguu. Pili, Ndugai alielekeza Assad akaguliwe kwenye mashine za usalama akiwa amevua viatu kinyume kabisa na utaratibu wa viongozi wakuu kuingia bila kupitia mashine za ukaguzi kwa hadhi yao.

Tatu, ndugai akatoa maelekezo kuwa Assad apigwe picha za kutosha akiwa ndani ya viwanja vya Bunge ili kuendelea kuonyesha Umma kuwa yeye ni mbabe. Na la kushangaza zaidi gazeti kama Mwananchi ambalo siku za nyuma lilikuwa na weledi linatumia picha ya Assad akiwa na kandambili katika ukurasa wake wa mbele kuendeleza udhalilishaji huo.

Ndugu zangu, CAG kikatiba ni nafasi muhimu sana, yeye ndiye anayeidhinisha pesa yote toka mfuko mkuu wa Serikali ( japo katika awamu hii Rais amegoma, na amevunja katiba), udhalilishaji huu anaofanyiwa Assad una baraka za Ofisi Kuu ya Nchi kwa nia ya kumuintimidate Assad hasa katika kaguzi zinazoendelea. Ndugai kutekeleza maelekezo ya IKULU bila tafakari ni aibu kubwa.
Mjinga kabisa..sijui hata unaelewa kazi ya CAG. eti ndiye anaidhinisha fedha yote toka mfuko wa serikali. Kwa kua una simu ya touch unagonga tu ujinga.
 
Jana CAG alihojiwa na Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge. Kinachosikitisha ni namna ambavyo Prof. Assad alitendewa na ungozi wa Bunge. Nina taarifa za uhakika za maelekezo ya Ndugai yeye binafsi kwa walinzi na watendaji wa Bunge ya kumdhalilisha Assad. Mfano , kwa hadhi yake Assad alitakiwa kuingia viunga vya Bunge akiwa ndani ya gari, lakini jana alishushwa nje na kuingia kwa miguu. Pili, Ndugai alielekeza Assad akaguliwe kwenye mashine za usalama akiwa amevua viatu kinyume kabisa na utaratibu wa viongozi wakuu kuingia bila kupitia mashine za ukaguzi kwa hadhi yao.

Tatu, ndugai akatoa maelekezo kuwa Assad apigwe picha za kutosha akiwa ndani ya viwanja vya Bunge ili kuendelea kuonyesha Umma kuwa yeye ni mbabe. Na la kushangaza zaidi gazeti kama Mwananchi ambalo siku za nyuma lilikuwa na weledi linatumia picha ya Assad akiwa na kandambili katika ukurasa wake wa mbele kuendeleza udhalilishaji huo.

Ndugu zangu, CAG kikatiba ni nafasi muhimu sana, yeye ndiye anayeidhinisha pesa yote toka mfuko mkuu wa Serikali ( japo katika awamu hii Rais amegoma, na amevunja katiba), udhalilishaji huu anaofanyiwa Assad una baraka za Ofisi Kuu ya Nchi kwa nia ya kumuintimidate Assad hasa katika kaguzi zinazoendelea. Ndugai kutekeleza maelekezo ya IKULU bila tafakari ni aibu kubwa.
Mkuu una ushahidi gani kuwa ni kwa maelekezo toka IKULU? Mkuu alishasema kuwa watu wasiseme maagizo toka juu ... Kwani Spika hana uwezo wa kujiamulia mambo yake ? Ina maana unadharau ofisi kubwa hii - yaani mhmili huru ? Mkuu angalia sana utaishia kuitwa maana kwa ufupi hapa unaelekea kulidhalilisha bunge ...
 
Jana CAG alihojiwa na Kamati ya Haki, Kinga na Madaraka ya Bunge. Kinachosikitisha ni namna ambavyo Prof. Assad alitendewa na ungozi wa Bunge. Nina taarifa za uhakika za maelekezo ya Ndugai yeye binafsi kwa walinzi na watendaji wa Bunge ya kumdhalilisha Assad. Mfano , kwa hadhi yake Assad alitakiwa kuingia viunga vya Bunge akiwa ndani ya gari, lakini jana alishushwa nje na kuingia kwa miguu. Pili, Ndugai alielekeza Assad akaguliwe kwenye mashine za usalama akiwa amevua viatu kinyume kabisa na utaratibu wa viongozi wakuu kuingia bila kupitia mashine za ukaguzi kwa hadhi yao.

Tatu, ndugai akatoa maelekezo kuwa Assad apigwe picha za kutosha akiwa ndani ya viwanja vya Bunge ili kuendelea kuonyesha Umma kuwa yeye ni mbabe. Na la kushangaza zaidi gazeti kama Mwananchi ambalo siku za nyuma lilikuwa na weledi linatumia picha ya Assad akiwa na kandambili katika ukurasa wake wa mbele kuendeleza udhalilishaji huo.

Ndugu zangu, CAG kikatiba ni nafasi muhimu sana, yeye ndiye anayeidhinisha pesa yote toka mfuko mkuu wa Serikali ( japo katika awamu hii Rais amegoma, na amevunja katiba), udhalilishaji huu anaofanyiwa Assad una baraka za Ofisi Kuu ya Nchi kwa nia ya kumuintimidate Assad hasa katika kaguzi zinazoendelea. Ndugai kutekeleza maelekezo ya IKULU bila tafakari ni aibu kubwa.

Aisee, ndivyo kilichofanyika, kwamba vua viatu, koti, mkanda kisha ingia kwenye mashine nk nk ?

Na kama gazeti la Mwananchi limetumia picha ya CAG akiwa kavaa kandambili, usililaumu gazeti....

Nina hakika nia ya gazeti ni kuutarifu umma kuwa, Prof alivuliwa viatu wakati akienda kuhojiwa na CAG na ndiyo maana na wewe umeona na kuja na mada hii....

All in all ni message tunayopewa deep down ni kuwa huyu ni mhalifu na anapaswa kuwa treated as a criminal...!!

Paschal Mayallah atupe uzoefu wake naye. Is it how it's done??
 
74 Reactions
Reply
Back
Top Bottom