Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
- Thread starter
- #61
Hapo sawa!!!
Hakunogi celebrity siku hizi!!!
Hahhaha yaan acha tu siku akirudi atatusimulia umbea tucheke mpaka tufe
Hapo sawa!!!
Hakunogi celebrity siku hizi!!!
Ndio halafu hta aibu hana mtu unkuta mwanumwe ana miaka 30 anasma hajawah kua na girl friend ndo ameanza kuvutiwa na ww kumbe ametelekza famlia yake kwakupnda kuchepuka yani hawa watachomwa hadi kope kwakuhadaa wanawakeHapo anasifia hata watu kumi au zaidi
[emoji2] [emoji2] sana tuHahhaha yaan acha tu siku akirudi atatusimulia umbea tucheke mpaka tufe
Hivyo huwa vinaenda pamoja,lakini maneno matupu tuu huwa hamtuelewi!Mna dhambi jamani,bora usifiwe na pesa upewe basi inakuwa kipoza nafsi
Yani cjui wapoje wanawaza kutembea hadi na vichaaa na pia utakuta anamsifia ili to amalze shida yake [emoji2] [emoji2]Wanaume ni wa ajabu sana.. Mida mingine wao hawaangalii uzuri sijui sifa gani ulizonazo as long as umepatikana na imeingia kalale mbele
Cc Smart911
Na wengine Ile ya kujaribu tu anakusifia sifa ambazo hata huna wee mwanamke anaingia mzima mzima huyu kanipenda unaliwaaaaaaaaaaa mchana kweupeeeeeYani cjui wapoje wanawaza kutembea hadi na vichaaa na pia utakuta anamsifia ili to amalze shida yake [emoji2] [emoji2]
Kwakwel wamejaliwa hcho kipji chkudanga ila me nkshamsoma alama zake to nampotezea wala cmjibu chochte nabkia kuchkaa tooNa wengine Ile ya kujaribu tu anakusifia sifa ambazo hata huna wee mwanamke anaingia mzima mzima huyu kanipenda unaliwaaaaaaaaaaa mchana kweupeeeee
Cc Smart911
Huu muandiko sii mgeni kwangu Jolie Jolie[emoji23]Kwakwel wamejaliwa hcho kipji chkudanga ila me nkshamsoma alama zake to nampotezea wala cmjibu chochte nabkia kuchkaa too
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Kuna mke wa mtu nimemsifia hapa ofisini kuwa ana chura nzuri sasa hivi nasubiria kupewa tunda!![emoji53][emoji53][emoji53]
Hahahahaha [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji182] [emoji182] [emoji182] [emoji182] [emoji182] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] Thanks smart wamimi
Hahaaaa. Sijakataa mbona Swahiba. Ule ni mshtuko ujue. [emoji85]Hahaha swaiba usikatae bhana, hebu nitumie basi hata senti moja ya vocha ili niprove yaliyosemwa[emoji6] [emoji125]
Duuuh ila mna roho mbay kuliko majmbazi kwann umpotezee muda mtu ukiwa huna malengo nae? Kuwen wakwel eti mtu ankwambia nkupnda kulko mama angu mzazi hlafu hyoyhyo baadae ankucha duu mungu awalaan wanaume Kwa dhambi hii haitawacha salama mbele ya munguHapo kwenye kuoa Mwanamke asiyevutia umenigusa Mimi,Mwanamke niliyeoa haingii hata 10 bora ya wanawake niliodate nao kabla sijaoa.
Lakini hata nikipewa nafasi ya kuoa tena nitamuoa huyu huyu niliyenaye.
Nakumbuka one of my ex alilia sana Mimi kuoa Mwanamke asiyemuingia hata robo yake
Hahaha nimekuelewa swaibaHahaaaa. Sijakataa mbona Swahiba. Ule ni mshtuko ujue. [emoji85]