Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,548
Wakuu nimepata udaku wa matukio mbalimbali yaliyojiri na yanayoendelea kujiri kwa wana chit chat walioko safarini Tanga,nimemtafuta TANMO ili arushe bombani hajapatikana hadi sasa, TANMO popote ulipo una kazi ya kufanya huku, baadhi ni
i. Madame B awagonganisha Arushaone na PakaJimmy
ii. Babu Dark City hoi kwa Arabela
iii.. Mungi adondosha hirizi bafuni, ilikuwa imeandikwa jina la marejesho
iv. watu8 akutwa chumbani kwa Preta saa nane usiku,adai alienda kumpigia kampeni charminglady, taarifa zamfikia measkron..
v...
i. Madame B awagonganisha Arushaone na PakaJimmy
ii. Babu Dark City hoi kwa Arabela
iii.. Mungi adondosha hirizi bafuni, ilikuwa imeandikwa jina la marejesho
iv. watu8 akutwa chumbani kwa Preta saa nane usiku,adai alienda kumpigia kampeni charminglady, taarifa zamfikia measkron..
v...
Last edited by a moderator: