ati kula makamasi ni afya.....aiseeeee
hawa ma dr wa siku hizi wamedata aiseeee....eti ukila kamasi liel zito huwa linakuwa gumu gumu hivi lina rangui ya samawati ati ni afya......linatibu maradhi ya koo..
najuta kufungua huu uzi
Nimejisahau nikaingia msikitini na mbwa
tpuuuuuu agrrh
najuta kufungua huu uzi
Nawaita wote . BAGAH ... sweetlady ... nitonye ... nicas Mtei ... Bishanga ... FirstLady1 .. Mentor ... MUSSOLIN beibe nasty .. Kabakabana .... Cantalisia.... EMT
Karibuni wote mwaweza kuwa na sawa ya Mafua
Nawaita wote . BAGAH ... sweetlady ... nitonye ... nicas Mtei ... Bishanga ... FirstLady1 .. Mentor ... MUSSOLIN beibe nasty .. Kabakabana .... Cantalisia.... EMT
Karibuni wote mwaweza kuwa na sawa ya Mafua
:A S cry::A S cry::A S cry:????????????
Kale kachumvichumvi ndio kanakuzinguaga eeeehmimi huwa nakula,mbona matamu tu?
Mh nilikuwa nakula ndio nkaingia kucheki picha hii
Imebidi kuacha dinner yangu:A S cry:
Hujambo we bibie?
Habari ya Arusha?
Miss you so much