BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
tapika ila usitoe chakula cha jana..
si bora cha jana.....
Ugali wenyewe wa mawazo halafu mtu ananitapisha... Hana nia nzuri, anataka nihesabu kenchi usiku kucha huyu
tapika ila usitoe chakula cha jana..
mimi huwa nakula,mbona matamu tu?
mie mzima tu, yaani umenirudisha humu.....
ahahaaaaa potezea faster then smile
Nawaita wote . BAGAH ... sweetlady ... nitonye ... nicas Mtei ... Bishanga ... FirstLady1 .. Mentor ... MUSSOLIN beibe nasty .. Kabakabana .... Cantalisia.... EMT
Karibuni wote mwaweza kuwa na dawa ya Mafua
Nawaita wote . BAGAH ... sweetlady ... nitonye ... nicas Mtei ... Bishanga ... FirstLady1 .. Mentor ... MUSSOLIN beibe nasty .. Kabakabana .... Cantalisia.... EMT
Karibuni wote mwaweza kuwa na dawa ya Mafua
magonjwa mengine una dawa yake hapo hapo ujui tu.....huu ni ushauri wa ma dr bingwa waliobobe.......muangalia waliekuwa waziri mkuu wa italy silvio berlusconi akitafuta kamasi kuweka afya yake safi....aaarrrgghhh...!!!!????/"""///.....puuuh........umesababisha nimetema mate kitandani sasa.....pumbaf