Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

Uchunguzi wa BOMU ARUSHA jionee mwenyewe

"Mungu awape faraja na amani wafiwa wote na waliojeruhiwa katika Milipuko hiyo ya mabomu Arusha". Kila jambo huwalinakuja kwa wakati wake na linaisha kwa wakati wake na hili litakwisha kwa wakati wake. Tuko katika kipindi ambacho napenda nikiite kipindi cha mabadiliko "REFORMATION PERIOD", wengi tutaangamia tena sana katika maeneo mengi hasa pale tabaka tawla lisipokuwa tayari kupokea mabadiliko hayo.

Inauma kuona mtu ameamka mzima asubuhi na jiono unaambiwa amekufa kirahisi hivyo kwa shambulio kwenye la bomu tena mahali ambapo ulinzi ulikuwa mkubwa namna hiyo au kapata kilema cha maisha. Kifupi mimi mpaka sasa najiona kama niko katika nchi nyingine na sio Tanzania niliyoifaha Miaka zaidi ya Umri wa Mwanangu ambaye sasa anakaribia kustaafu utumishi wa UMMA akiwa amebakiza miaka kama sita hivi.

Basi siendelei tena maana maneno yanayonijia sasa yatanigeuka, na hawachelewi kusema "uchochezi, ugombanishi" na mengine yanayofanana na hayo.

ROHO ZA MAREHEMU ZIPATE PUMZIKO LA AMANI NA LA MILELE MAHALI PEMA PEPONI AMINA
 
Walianza na chacha wangwe, ikaja tindikali igunga, ikaenda moro, ikahamia kwa waandishi akina msaki, ikaenda kwa mamake zitto kutishiwa bastola na sasa bomu arusha

Hovyoooo. Unajaribu kujifariji tu. Kuua muue nyie, msala mtudondoshee sisi. Mmeshindwa kutumia akili, mnatumia mabavu, mwisho wa siku mtashindwa tu kwa sababu ndani yenu wapo watu wema, wazalendo, wanaojali. Muda c mrefu watawageuka... "Hakuna dola la kibabe limefanikiwa kudumu duniani"
 
makamanda leteni gari makmanda tumeua watu mwenyekiti njoo tumeua watu hayo sio maneno yangu bali ni maneno ya mtu wa chadema akiongea kwenye mlipuko huo kupitia kipaza sauti akimwita mwenyekiti kwa hiyo jamani mpime na hizi kauli mkiwa mnatengeneza picha

Jaribu tena
 
Du kama kweli hayo maganda ni ya SMG basi nchi ipo mashakani maana ni Polisi pekee ndio wana hizo bunduki,kuna jambo hapa linafichwa ila ipo siku kila kitu kitakuwa wazi,tutegemee kuona mambo mabaya zaidi siku zijazo maana Serikali imeshindwa kusimamia usalama wa wananchi wake.
 
Je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.

Una akili fupi sana, SMG wanamiliki chadema??? Ukumbuke pia malecela alisema mkichagua upinzani nchi itaingia vitani au umesahau, Sumaye alisema ukitaka mambo yako yakunyokea(kukwepa kodi etc) wewe mfanyabiashara sharti ujiunge CCM. Chama hakiwezi kuua wafuasi wake wenye kukiunga mkono tena ktk hali ngumu kama ilivyo Arusha. UKWELI UTAJWE WOTE.
 
Tatizo si uchunguzi kwa sasa ni namna mh Mbowe anavyotaka wachunguze wacheze kwa namna anavyotaka kucheza yeye!!! na kwa kufanya hivyo anajaribu kukwepesha ukweli, kwanini asikae kimya na kama ana ushahidi wa video si awape wanajeshi kama polisi hawaamini? waliopoteza maisha ni ndugu zetu sote na cdm pia in chama chetu wote sina hakika kama cdm ni hatari kiasi cha serikali kufikia huko.

Kaumizwa Dr. Ulimboka, tumekaa kimya kuwaachia polissm wafanye weledi wao, wakatujia na chizi, akapigwa padri risasi ya mdomoni, zanzibar, tukawaachia polissm waje na weledi wao, mpaka leo kimya, kamwagiwa tindikali sheikh, kule zanzibar, kimya! Kauawa padri Mushi, wakaja na kikatuni chenye baraghashia!! Yamechomwa makanisa, Kimya! Kaumizwa Kibanda, Mwigulu akamtu,ia elfu hamsini mshukiwa, polissm wanamgwaya atawafanya kitu mbaya! Bomu kanisani Arusha, wanamshikilia mwendesha bodaboda aliyemleta abiria! Na hili nalo tuwaachie!!!!
 
Je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.

1.Nitahakikisha nchi namkabidhi mwana Ccm,(J.M.Kikwete)
2.liwalo na liwe(M.K.P.Pinda)
3.Chadema itakufa 2013(S.M.Wasira)
4.Mimi ndiyo nimemtumia ludovick kurekodi mkanda wa Rwakatale(M.L.M.Mchemba)
5.Tutaona, Tunakwenda Arusha,tutahakikisha ccm inashinda kwa ghalama yoyote(M.Mwampamba).
UNGEZA NA HIZI KISHA TUJADILI.
 
Je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.
nilimsikia hivyo mama yako wakati anakuzaa
 
makamanda leteni gari makmanda tumeua watu mwenyekiti njoo tumeua watu hayo sio maneno yangu bali ni maneno ya mtu wa chadema akiongea kwenye mlipuko huo kupitia kipaza sauti akimwita mwenyekiti kwa hiyo jamani mpime na hizi kauli mkiwa mnatengeneza picha
Tumeuawa

Unajua tofauti ya maneno hayo mawili.
 
Haiingi akilini, nadhani hatuna majibu ya maswali yetu... ni vyema tusubiri coz every beggining must have an end! and what you give out will come back!!, but we are in very hard and bad situation especial in Arusha.. ni lazima tuwe na akili za utulivu na uwezo wa kukaa kimya kusubiri nini kitafuata ( Always the truth will come out) GOD IS IN OUR SIDE!!!!!!!
 
Lukuvi na kauli yako unayaona hayo.

...nilisema na narudia kusema,si muda mrefu lukuvi atasema alinukuliwa vibaya na vyombo vya habari,huyu mzee anatlitumia bunge vibaya sana...
 
Rwanda hawajamtusi Rais Kikwete bali walimwambia ukweli!! Kikwete nchi yake imemshinda kiherehere chake cha nini kufuatilia mambo ya Rwanda! Dr Ulimboka aliteswa na mtu kutoka IKULU lakini gazeti la MWANAHALISI lilivyomuumbua KIKWETE na IKULU yake akaagiza lifungiwe na alivyo DHAIFU akaenda kutolea tamko la kulifungia gazeti ETHIOPIA!! What a SHAME!! Kikwete anaihujumu mwenyewe serikali yake na watanzania kwa ujumla! SIPENDI KUWA MNAFIKI lakini uwezo wa JK kwenye management ni POOR na ndiyo unaotufikisha hapa watanzania!! Kama kweli ana uchungu na watanzania wanaokufa na kuteswa kinyama na bila hatia yeye na jeshi lake kamwajibisha nani kwa hayo??

Siyo unatuletea ujinga jinga wako wa kuendekeza njaa zako!! Wangekuwa ni ndugu zako wamekufa au kujeruhiwa ungekuwa anabwabwaja hivyo!!
Pole sana Mkereketwa siku ukikumbuka shuka kutakuwa kumekucha. Nakushangaa haingii akilini mtu anayedai anayo video tayari anashindwa kuipeleka kunakohusika anakaa kubwabwaja. Kweli watu mnaoendeshwa na matukio shida sana.
 
mungu yupo na chadema hila zote zimeshindwa mufili ccm,savimbi mwigulu aende kwa shetani
 
Back
Top Bottom