Bomu enzi hizo Arusha Mbowe alisema ushahidi upo

Bomu enzi hizo Arusha Mbowe alisema ushahidi upo

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
11,572
Reaction score
16,047
Umofia kwenu wadau,

Yaani ni maajabu kwa upinzani wa Tanzania.

Enzi zile Mh. Mbowe aliwahi kusema anao ushahidi wa aliyerusha bomu pale Arusha, na tena alienda mbali zaidi kwa kusema anao ushahidi wa video. Ila huo ushahidi haukuwahi kutolewa, na watu waliumia. Sasa kwenye hili sakata la Mh. Lisu iko hivyo hivyo, anasema eti ushahidi anao. Yaani hivyo hivyo hata kwenye uchaguzi, wakishindwa wanasema ushahidi wa kuibiwa kura wanao, yaani hivyo hivyo hata kwenye wizi na ufisadi wa Mh. Lowasa waliwahi kusema wanao ushahidi.

Basi naamini hata ktk hili wanawadanganya wafuasi wao, Mh. Mbowe hana ushahidi kabisa. Tusubiri polisi ndiyo watakaotupatia majibu ya wahusika baada ya upelelezi kukamilika.

Pia nadhani wanasiasa kama Mbowe ni hatari sana kwa usalama wa taifa!

Mbowe alisema "...Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,baada ya kutembelea majeruhi katika Hospitali ya Selian, Mbowe alisema chama chake kina ushahidi wa kutosha juu ya askari huyo kurusha bomu.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,alisema wamefanikiwa kupata ushahidi wa kutosha juu ya tukio hilo baya linalochafua taswira ya nchi.

Alisema chama chake kipo tayari kuweka ushahidi huo hadharani, iwapo Serikali itaendelea kufanya siasa na kuficha ukweli.

Tunao ushahidi wa kutosha, ikiwamo wa picha za video unaoonyesha shambulio la bomu na risasi lilivyofanyika katika mkutano wangu jusi eneo la Soweto."

“Picha zinaonesha wazi aina ya silaha zilizotumika kwenye shambulio lile ni tatu, bomu la gurumeti ambalo lilitupwa na askari wa FFU aliyekuwa kwenye uniform.

“Kutokana na ushahidi huu tulikuwa tumewaeleza Polisi kama wataendelea kuficha tutaueleza umma na tutaiambia dunia, kwani aina ya silaha zilizotumika ni SMG na bastola.

“Makasha ya risasi kama ushahidi wa jambo hili zilizotumika tuliyaokota eneo la tukio na tayari tumeyarekodi na kuyakabidhi kwa askari waliokuwa wakichunguza tukio lile,” alisema Mbowe....."


Soma zaidi: JESHI LA POLISI NDIYO WALIORUSHA BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA,ASEMA MBOWE NA USHAHIDI ANAO. ~ KAHAMA FM 90.8
 
Umofia kwenu wadau,

Yaani ni maajabu kwa upinzani wa Tanzania.

Enzi zile Mh. Mbowe aliwahi kusema anao ushahidi wa aliyerusha bomu pale Arusha, na tena alienda mbali zaidi kwa kusema anao ushahidi wa video. Ila huo ushahidi haukuwahi kutolewa, na watu waliumia. Sasa kwenye hili sakata la Mh. Lisu iko hivyo hivyo, anasema eti ushahidi anao. Yaani hivyo hivyo hata kwenye uchaguzi, wakishindwa wanasema ushahidi wa kuibiwa kura wanao, yaani hivyo hivyo hata kwenye wizi na ufisadi wa Mh. Lowasa waliwahi kusema wanao ushahidi.

Basi naamini hata ktk hili wanawadanganya wafuasi wao, MBOWA hana ushahidi na polisi ndiyo wanafuatilia na ndiyo watakaotupatia majibu baada ya upelelezi.

Pia nadhani wanasiasa kama Mbowe ni hatari sana kwa usalama wa taifa!

Mbowe alisema "...Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,baada ya kutembelea majeruhi katika Hospitali ya Selian, Mbowe alisema chama chake kina ushahidi wa kutosha juu ya askari huyo kurusha bomu.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,alisema wamefanikiwa kupata ushahidi wa kutosha juu ya tukio hilo baya linalochafua taswira ya nchi.

Alisema chama chake kipo tayari kuweka ushahidi huo hadharani, iwapo Serikali itaendelea kufanya siasa na kuficha ukweli.

“Tunao ushahidi wa kutosha, ikiwamo wa picha za video unaoonyesha shambulio la bomu na risasi lilivyofanyika katika mkutano wangu jusi eneo la Soweto.

“Picha zinaonesha wazi aina ya silaha zilizotumika kwenye shambulio lile ni tatu, bomu la gurumeti ambalo lilitupwa na askari wa FFU aliyekuwa kwenye uniform.

“Kutokana na ushahidi huu tulikuwa tumewaeleza Polisi kama wataendelea kuficha tutaueleza umma na tutaiambia dunia, kwani aina ya silaha zilizotumika ni SMG na bastola.

“Makasha ya risasi kama ushahidi wa jambo hili zilizotumika tuliyaokota eneo la tukio na tayari tumeyarekodi na kuyakabidhi kwa askari waliokuwa wakichunguza tukio lile,” alisema Mbowe
....."


Soma zaidi: JESHI LA POLISI NDIYO WALIORUSHA BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA,ASEMA MBOWE NA USHAHIDI ANAO. ~ KAHAMA FM 90.8

CCM mmepanic sana baada ya sniper wenu kumis target.
 
Chadema from 1995-2015=fikra za mabadiliko Chadema from 2015=comedy
Hadi aibu maskini chadema mliuza chama.bavicha mnatumiwa ovyo
Lakini ukweli uko wazi chadema viongozi wake ndo mafisadi wenyewe wazee wastaafu.wengine ma dj wameuzia vijana madawa ya kulevya kwenye club zao.wametumia ujanja wa sheria kutetea waizi wa rasilimali..kwa magufuli mtakoma.na bado wale mlioficha hela nje mjiandae.fanyeni maigizo yote lakini keki ya taifa sasa inagawanywa.ile mitandao ya ufisadi chini ya mstaafu ilioutaka urais .imefeli.magabacholi mmefeli.wafanyabiashara magendo mmefeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umofia kwenu wadau,

Yaani ni maajabu kwa upinzani wa Tanzania.

Enzi zile Mh. Mbowe aliwahi kusema anao ushahidi wa aliyerusha bomu pale Arusha, na tena alienda mbali zaidi kwa kusema anao ushahidi wa video. Ila huo ushahidi haukuwahi kutolewa, na watu waliumia. Sasa kwenye hili sakata la Mh. Lisu iko hivyo hivyo, anasema eti ushahidi anao. Yaani hivyo hivyo hata kwenye uchaguzi, wakishindwa wanasema ushahidi wa kuibiwa kura wanao, yaani hivyo hivyo hata kwenye wizi na ufisadi wa Mh. Lowasa waliwahi kusema wanao ushahidi.

Basi naamini hata ktk hili wanawadanganya wafuasi wao, MBOWA hana ushahidi na polisi ndiyo wanafuatilia na ndiyo watakaotupatia majibu baada ya upelelezi.

Pia nadhani wanasiasa kama Mbowe ni hatari sana kwa usalama wa taifa!

Mbowe alisema "...Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,baada ya kutembelea majeruhi katika Hospitali ya Selian, Mbowe alisema chama chake kina ushahidi wa kutosha juu ya askari huyo kurusha bomu.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,alisema wamefanikiwa kupata ushahidi wa kutosha juu ya tukio hilo baya linalochafua taswira ya nchi.

Alisema chama chake kipo tayari kuweka ushahidi huo hadharani, iwapo Serikali itaendelea kufanya siasa na kuficha ukweli.

“Tunao ushahidi wa kutosha, ikiwamo wa picha za video unaoonyesha shambulio la bomu na risasi lilivyofanyika katika mkutano wangu jusi eneo la Soweto.

“Picha zinaonesha wazi aina ya silaha zilizotumika kwenye shambulio lile ni tatu, bomu la gurumeti ambalo lilitupwa na askari wa FFU aliyekuwa kwenye uniform.

“Kutokana na ushahidi huu tulikuwa tumewaeleza Polisi kama wataendelea kuficha tutaueleza umma na tutaiambia dunia, kwani aina ya silaha zilizotumika ni SMG na bastola.

“Makasha ya risasi kama ushahidi wa jambo hili zilizotumika tuliyaokota eneo la tukio na tayari tumeyarekodi na kuyakabidhi kwa askari waliokuwa wakichunguza tukio lile,” alisema Mbowe....."


Soma zaidi: JESHI LA POLISI NDIYO WALIORUSHA BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA,ASEMA MBOWE NA USHAHIDI ANAO. ~ KAHAMA FM 90.8
Yani we jamaa wewe hata sijui huwa unaweza nini wewe na hao wanaokutuma? Mana huku sio kujikomba ni zaidi ya hapo ! Kwann msiache hao polisi watwambie ukweli? Kwani shida nini mbona kila saa mnaandika kupotosha ukweli juu ya lisu?
 
Umofia kwenu wadau,

Yaani ni maajabu kwa upinzani wa Tanzania.

Enzi zile Mh. Mbowe aliwahi kusema anao ushahidi wa aliyerusha bomu pale Arusha, na tena alienda mbali zaidi kwa kusema anao ushahidi wa video. Ila huo ushahidi haukuwahi kutolewa, na watu waliumia. Sasa kwenye hili sakata la Mh. Lisu iko hivyo hivyo, anasema eti ushahidi anao. Yaani hivyo hivyo hata kwenye uchaguzi, wakishindwa wanasema ushahidi wa kuibiwa kura wanao, yaani hivyo hivyo hata kwenye wizi na ufisadi wa Mh. Lowasa waliwahi kusema wanao ushahidi.

Basi naamini hata ktk hili wanawadanganya wafuasi wao, Mh. Mbowe hana ushahidi kabisa. Tusubiri polisi ndiyo watakaotupatia majibu ya wahusika baada ya upelelezi kukamilika.

Pia nadhani wanasiasa kama Mbowe ni hatari sana kwa usalama wa taifa!

Mbowe alisema "...Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,baada ya kutembelea majeruhi katika Hospitali ya Selian, Mbowe alisema chama chake kina ushahidi wa kutosha juu ya askari huyo kurusha bomu.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,alisema wamefanikiwa kupata ushahidi wa kutosha juu ya tukio hilo baya linalochafua taswira ya nchi.

Alisema chama chake kipo tayari kuweka ushahidi huo hadharani, iwapo Serikali itaendelea kufanya siasa na kuficha ukweli.

“Tunao ushahidi wa kutosha, ikiwamo wa picha za video unaoonyesha shambulio la bomu na risasi lilivyofanyika katika mkutano wangu jusi eneo la Soweto.

“Picha zinaonesha wazi aina ya silaha zilizotumika kwenye shambulio lile ni tatu, bomu la gurumeti ambalo lilitupwa na askari wa FFU aliyekuwa kwenye uniform.

“Kutokana na ushahidi huu tulikuwa tumewaeleza Polisi kama wataendelea kuficha tutaueleza umma na tutaiambia dunia, kwani aina ya silaha zilizotumika ni SMG na bastola.

“Makasha ya risasi kama ushahidi wa jambo hili zilizotumika tuliyaokota eneo la tukio na tayari tumeyarekodi na kuyakabidhi kwa askari waliokuwa wakichunguza tukio lile,” alisema Mbowe....."


Soma zaidi: JESHI LA POLISI NDIYO WALIORUSHA BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA,ASEMA MBOWE NA USHAHIDI ANAO. ~ KAHAMA FM 90.8
Mudawote ..........Mahaba na Mbowe hayakuishi..unampenda sana 😀😀😀
 
Umofia kwenu wadau,

Yaani ni maajabu kwa upinzani wa Tanzania.

Enzi zile Mh. Mbowe aliwahi kusema anao ushahidi wa aliyerusha bomu pale Arusha, na tena alienda mbali zaidi kwa kusema anao ushahidi wa video. Ila huo ushahidi haukuwahi kutolewa, na watu waliumia. Sasa kwenye hili sakata la Mh. Lisu iko hivyo hivyo, anasema eti ushahidi anao. Yaani hivyo hivyo hata kwenye uchaguzi, wakishindwa wanasema ushahidi wa kuibiwa kura wanao, yaani hivyo hivyo hata kwenye wizi na ufisadi wa Mh. Lowasa waliwahi kusema wanao ushahidi.

Basi naamini hata ktk hili wanawadanganya wafuasi wao, Mh. Mbowe hana ushahidi kabisa. Tusubiri polisi ndiyo watakaotupatia majibu ya wahusika baada ya upelelezi kukamilika.

Pia nadhani wanasiasa kama Mbowe ni hatari sana kwa usalama wa taifa!

Mbowe alisema "...Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,baada ya kutembelea majeruhi katika Hospitali ya Selian, Mbowe alisema chama chake kina ushahidi wa kutosha juu ya askari huyo kurusha bomu.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,alisema wamefanikiwa kupata ushahidi wa kutosha juu ya tukio hilo baya linalochafua taswira ya nchi.

Alisema chama chake kipo tayari kuweka ushahidi huo hadharani, iwapo Serikali itaendelea kufanya siasa na kuficha ukweli.

“Tunao ushahidi wa kutosha, ikiwamo wa picha za video unaoonyesha shambulio la bomu na risasi lilivyofanyika katika mkutano wangu jusi eneo la Soweto.

“Picha zinaonesha wazi aina ya silaha zilizotumika kwenye shambulio lile ni tatu, bomu la gurumeti ambalo lilitupwa na askari wa FFU aliyekuwa kwenye uniform.

“Kutokana na ushahidi huu tulikuwa tumewaeleza Polisi kama wataendelea kuficha tutaueleza umma na tutaiambia dunia, kwani aina ya silaha zilizotumika ni SMG na bastola.

“Makasha ya risasi kama ushahidi wa jambo hili zilizotumika tuliyaokota eneo la tukio na tayari tumeyarekodi na kuyakabidhi kwa askari waliokuwa wakichunguza tukio lile,” alisema Mbowe....."


Soma zaidi: JESHI LA POLISI NDIYO WALIORUSHA BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA,ASEMA MBOWE NA USHAHIDI ANAO. ~ KAHAMA FM 90.8
Ule ushahidi wa video niliusubiri kwa hamu sana mpk leo manyoya aisee.
ULE USHAHIDI WA MBINGUNI NA DUNIANI ULIOSEMWA BUNGENI NYIE WENZETU MLIUPATA..??!
 
ila kpindi kile walituga chenga ya mwili sitasahau. ngoja tusubiri sisi matomaso siku zote huwa hatuna haraka
 
ila kpindi kile walituga chenga ya mwili sitasahau. ngoja tusubiri sisi matomaso siku zote huwa hatuna haraka
Mbowe na genge lake wanafahamu kabisa wanachama wao huwa hawahoji, na anayehoji adhabu ni kufukuzwa uanachama (rejea Mh. Zitto), na ndiyo maana wakaweka kifungu cha hivyo ktk katiba yao ili waeneze uongo bila kuhojiwa.
 
Umofia kwenu wadau,

Yaani ni maajabu kwa upinzani wa Tanzania.

Enzi zile Mh. Mbowe aliwahi kusema anao ushahidi wa aliyerusha bomu pale Arusha, na tena alienda mbali zaidi kwa kusema anao ushahidi wa video. Ila huo ushahidi haukuwahi kutolewa, na watu waliumia. Sasa kwenye hili sakata la Mh. Lisu iko hivyo hivyo, anasema eti ushahidi anao. Yaani hivyo hivyo hata kwenye uchaguzi, wakishindwa wanasema ushahidi wa kuibiwa kura wanao, yaani hivyo hivyo hata kwenye wizi na ufisadi wa Mh. Lowasa waliwahi kusema wanao ushahidi.

Basi naamini hata ktk hili wanawadanganya wafuasi wao, Mh. Mbowe hana ushahidi kabisa. Tusubiri polisi ndiyo watakaotupatia majibu ya wahusika baada ya upelelezi kukamilika.

Pia nadhani wanasiasa kama Mbowe ni hatari sana kwa usalama wa taifa!

Mbowe alisema "...Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa,baada ya kutembelea majeruhi katika Hospitali ya Selian, Mbowe alisema chama chake kina ushahidi wa kutosha juu ya askari huyo kurusha bomu.

Mbowe ambaye pia ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni,alisema wamefanikiwa kupata ushahidi wa kutosha juu ya tukio hilo baya linalochafua taswira ya nchi.

Alisema chama chake kipo tayari kuweka ushahidi huo hadharani, iwapo Serikali itaendelea kufanya siasa na kuficha ukweli.

Tunao ushahidi wa kutosha, ikiwamo wa picha za video unaoonyesha shambulio la bomu na risasi lilivyofanyika katika mkutano wangu jusi eneo la Soweto."

“Picha zinaonesha wazi aina ya silaha zilizotumika kwenye shambulio lile ni tatu, bomu la gurumeti ambalo lilitupwa na askari wa FFU aliyekuwa kwenye uniform.

“Kutokana na ushahidi huu tulikuwa tumewaeleza Polisi kama wataendelea kuficha tutaueleza umma na tutaiambia dunia, kwani aina ya silaha zilizotumika ni SMG na bastola.

“Makasha ya risasi kama ushahidi wa jambo hili zilizotumika tuliyaokota eneo la tukio na tayari tumeyarekodi na kuyakabidhi kwa askari waliokuwa wakichunguza tukio lile,” alisema Mbowe....."


Soma zaidi: JESHI LA POLISI NDIYO WALIORUSHA BOMU KWENYE MKUTANO WA CHADEMA ARUSHA,ASEMA MBOWE NA USHAHIDI ANAO. ~ KAHAMA FM 90.8
Tokaaa hamna kipya lumumbazii sjahangaika hata kusoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbowe na genge lake wanafahamu kabisa wanachama wao huwa hawahoji, na anayehoji adhabu ni kufukuzwa uanachama (rejea Mh. Zitto), na ndiyo maana wakaweka kifungu cha hivyo ktk katiba yao ili waeneze uongo bila kuhojiwa.
Nyie yupo anayehoji utendaji wa mwenyekiti au ndowataambiwa wanawashwawashwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom