je ni kiongozi chama kipi alisema watahakikisha nchi haitatawalika? Je ni kiongozi wa chama kipi alisema wanahakikisha arusha watashinda kwa gharama yoyote? Hiyo ni "circumstantial evidence" kuwa mauaji yote ya arusha yanapangwa na chadema ili watu waichukie serikali yao. Kumbuka kesi ya kupanga njama za mauaji iko mahakamani.
Fuatilia maeneo almost yote ambayo upinzani wameshinda ni mpaka baada ya FUJO fuatilia wewe MWENYE KUTUMIA KAILI UJUE WHY!Aisee huyu njowepo kweli MTUPU haonii na wala hajitambui. Sasa CCM katika chaguzi inashindana na vyama karibu 10, wote hawataki CCM ishinde, sasa kila Chama kina Wakala wake ndani ya chumba cha kura, sasa kama CCM wanaiba na kuwaibia wote wale 10 huku mawakala wale wakiwepo, sasa basi vyama hivyo na watu wake hawafai kupewa nchi, maana wanashindwa kumdhibiiti mtu mmoja? Tumia akili wewe NJOWEPO