kukumega
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 1,134
- 475
Tufanye mwakyembe ameshindwa kushughulikia hilo la uvamizi sasa pelekeni mahakamani.Hoja nyembamba sana hiyo kaka,Mwakyembe ndiye aliyesema report ya Nape ina mapungu ataishughulikia hiyo saga,kwa kuwa mvamizi ni mtumishi wa umma aliyeteuliwa na rais na kwa kuwa waziri mwenye dhamana na vyombo hivyo vya habari anawajibu wa kujua kadhia hiyo ni sahihi bunge kuhoji kwa kuwa ndicho chombo pekee chenye dhamana ya kuisimamia na kuishauri serikali.