UCHUNGU: Lowassa hawezi kuwa Rais tena popote duniani

Ninavojua mimi kuwa rais ni zaidi ya kupita majukwaani. Mfano, CCM wenyewe wanasema ushindi wao kwa majukwaani ni 30% tu. Mimi nakubaliana nao, rais ni taasisi nyeti, ni nafasi ambayo hatakiwi kupewa mtu kwa ushabiki. Ni lazima taasisi nyeti pia wahiridhishe kama kweli huyo mtu akipew nchi itakuwa salama.

Kwa mtu kama lowassa nina wasisi kama akipewa nchi itakuwa salama. Mzee anapoteza mda hasa, japokuwa si mbaya kujaribu bahati yake katika hii nafasi ya urais. Lowassa kamwe hawezi kuwa rais wa nchi yoyote duniani.

hilo ni wazo lako, hatujasikia Mungu naye kasemaje, maana Mungu humsimamisha amtakaye, haangalii wanadamu tunasema nini,
 
Mleta mada wewe wasema Lowasa anajisumbua siyo watanzania wote. Yawezekana na wewe unajisumbua kuanzisha topic za kumponda Lowassa.

Rais wa TZ atajulikana baada ya uchaguzi na si vinginevyo. Wenye busara humwomba Mungu uchaguzi huru na wa haki mshindi atakuwa rais wa wote.
 
Ninavojua mimi kuwa rais ni zaidi ya kupita majukwaani. Mfano, CCM wenyewe wanasema ushindi wao kwa majukwaani ni 30% tu. Mimi nakubaliana nao, rais ni taasisi nyeti, ni nafasi ambayo hatakiwi kupewa mtu kwa ushabiki. Ni lazima taasisi nyeti pia wahiridhishe kama kweli huyo mtu akipew nchi itakuwa salama.

Kwa mtu kama lowassa nina wasisi kama akipewa nchi itakuwa salama. Mzee anapoteza mda hasa, japokuwa si mbaya kujaribu bahati yake katika hii nafasi ya urais. Lowassa kamwe hawezi kuwa rais wa nchi yoyote duniani.

Wewe unazungumza kama nani..!!??
Unazungumza kwa niaba ya nani..!!??
Kwa niaba ya mumeo na wanao au..!!??
Maana sisi watanzania ndio tunaoenda kumchagua Huyo mnaemwita mgonjwa mara fisadi..
Huyo huyo ndio mzuri sana kwetu
Alaf ukumbuke akili yako sio akili ya waTanzania wote ..
Hayo ni maoni yako na ninawasi wasi hata Mume wako na wanao hawakubaliani na hayo maono yako...
Namaliza kwa kusema LOWASSA ndio raisi wa Tanzania
 
Ninavojua mimi kuwa rais ni zaidi ya kupita majukwaani. Mfano, CCM wenyewe wanasema ushindi wao kwa majukwaani ni 30% tu. Mimi nakubaliana nao, rais ni taasisi nyeti, ni nafasi ambayo hatakiwi kupewa mtu kwa ushabiki. Ni lazima taasisi nyeti pia wahiridhishe kama kweli huyo mtu akipew nchi itakuwa salama.

Kwa mtu kama lowassa nina wasisi kama akipewa nchi itakuwa salama. Mzee anapoteza mda hasa, japokuwa si mbaya kujaribu bahati yake katika hii nafasi ya urais. Lowassa kamwe hawezi kuwa rais wa nchi yoyote duniani.

We si una kura yako moja ???!. Hivi ni kwa nini Tz tuna itisha UCHAGUZI???! au is just a show?!
 
Hivi ujua nn nimeandika? Umenielewa namaanisha nini kusema 30% tu ndo hupatikana jukwaani?
Kama CCM tayari wana ushindi 70 % kabla ya majukwaa, kwa nini wanatumia gharama kubwa hivyo ikiwemo kupiga push up majukwaani, maana 70% ni ushindi mkubwa sana, wangekaa kusubiri Rais kuapishwa. Mbona hata matokeo ya utafiti hayakuanzia 70% na kuendelea au hayakuonyesha kuwa imeshuka kutoka 70 na tayari imekula hata ile 30.
 
Ni suala la Lowassa kuwa raisi, haitatokea hapa Tanzania, labda akagombee urais wa wafugaji, sio mbaya maana pia ni urais.

Mamlaka yote ni ya Mungu.ndiye anayestahili kuheshimiwa na kuabudiwa. yeye humpa amtakaye. Sifa zake zadumu milele. Daniel 4:34-37
 
Back
Top Bottom