Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa aliona mbali sana... huyu ni jiniasi
Una maana gani hasa? What is your message?Lowassa ninajua kuwa hutaki kuamini kuwa ndiyo unaiacha dunia bila ya kuwa rais tangu uzaliwe, ukweli ni kwamba si wewe tu.
Ni wengi wamekufa na hawajawahi kuwa marais na walikuwa na ndoto za kuwa maraisi kama wewe. Kwakuwa umeikosa awamu hii huwezi kugombea uraisi tena duniani iwe Tanzania au popote pale na hii ni kutokana na sababu za kiumri pamoja na afya yako.
Umejitengenezea historia kubwa sana nchini itakayodum vizazi na vizazi, japo si historia ya maana ila utakumbukwa sana, utabaki kuwa simulizi kwenye vijiwe vya kahawa.
Lowassa; muda wako umekwisha, huwezi kuwa rais tena duniani, huwezi kuja kupita barabarani kwa ving'ora, huwezi tena kufanya maamuzi magumu kwa mambo yanayohusu mustakabali wa nchi.
MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Kwa wapenda maendeleo watamkumbuka na kumhitaji lowassa kesho tu!! Na saiz hatuna wa kumlam maana hii ilikuwa nafasi yetu kufanya maamzi sahihi, lkn kwasababu uelewa wetu ni mdogo na tunaendeshwa na njaa pia ushabiki. Kubwa zaidi tumetawaliwa na ubinafsiLowassa ninajua kuwa hutaki kuamini kuwa ndiyo unaiacha dunia bila ya kuwa rais tangu uzaliwe, ukweli ni kwamba si wewe tu.
Ni wengi wamekufa na hawajawahi kuwa marais na walikuwa na ndoto za kuwa maraisi kama wewe. Kwakuwa umeikosa awamu hii huwezi kugombea uraisi tena duniani iwe Tanzania au popote pale na hii ni kutokana na sababu za kiumri pamoja na afya yako.
Umejitengenezea historia kubwa sana nchini itakayodum vizazi na vizazi, japo si historia ya maana ila utakumbukwa sana, utabaki kuwa simulizi kwenye vijiwe vya kahawa.
Lowassa; muda wako umekwisha, huwezi kuwa rais tena duniani, huwezi kuja kupita barabarani kwa ving'ora, huwezi tena kufanya maamuzi magumu kwa mambo yanayohusu mustakabali wa nchi.
MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Kwa wapenda maendeleo watamkumbuka na kumhitaji lowassa kesho tu!! Na saiz hatuna wa kumlam maana hii ilikuwa nafasi yetu kufanya maamzi sahihi, lkn kwasababu uelewa wetu ni mdogo na tunaendeshwa na njaa pia ushabiki. Kubwa zaidi tumetawaliwa na ubinafsi