UCHUNGU: Lowassa hawezi kuwa Rais tena popote duniani

Lowassa ninajua kuwa hutaki kuamini kuwa ndiyo unaiacha dunia bila ya kuwa rais tangu uzaliwe, ukweli ni kwamba si wewe tu.

Ni wengi wamekufa na hawajawahi kuwa marais na walikuwa na ndoto za kuwa maraisi kama wewe. Kwakuwa umeikosa awamu hii huwezi kugombea uraisi tena duniani iwe Tanzania au popote pale na hii ni kutokana na sababu za kiumri pamoja na afya yako.

Umejitengenezea historia kubwa sana nchini itakayodum vizazi na vizazi, japo si historia ya maana ila utakumbukwa sana, utabaki kuwa simulizi kwenye vijiwe vya kahawa.

Lowassa; muda wako umekwisha, huwezi kuwa rais tena duniani, huwezi kuja kupita barabarani kwa ving'ora, huwezi tena kufanya maamuzi magumu kwa mambo yanayohusu mustakabali wa nchi.


MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Una maana gani hasa? What is your message?
 
Lowassa ninajua kuwa hutaki kuamini kuwa ndiyo unaiacha dunia bila ya kuwa rais tangu uzaliwe, ukweli ni kwamba si wewe tu.

Ni wengi wamekufa na hawajawahi kuwa marais na walikuwa na ndoto za kuwa maraisi kama wewe. Kwakuwa umeikosa awamu hii huwezi kugombea uraisi tena duniani iwe Tanzania au popote pale na hii ni kutokana na sababu za kiumri pamoja na afya yako.

Umejitengenezea historia kubwa sana nchini itakayodum vizazi na vizazi, japo si historia ya maana ila utakumbukwa sana, utabaki kuwa simulizi kwenye vijiwe vya kahawa.

Lowassa; muda wako umekwisha, huwezi kuwa rais tena duniani, huwezi kuja kupita barabarani kwa ving'ora, huwezi tena kufanya maamuzi magumu kwa mambo yanayohusu mustakabali wa nchi.


MCHUNGUZI HURU (Associate Professor)
Kwa wapenda maendeleo watamkumbuka na kumhitaji lowassa kesho tu!! Na saiz hatuna wa kumlam maana hii ilikuwa nafasi yetu kufanya maamzi sahihi, lkn kwasababu uelewa wetu ni mdogo na tunaendeshwa na njaa pia ushabiki. Kubwa zaidi tumetawaliwa na ubinafsi
 
Sikupoteza kura yangu kwa kuipigia ukawa na mhLowasa.Moyo wangu umetulia,ninayo furaha na amani .
 
Mpaka sasa bado tume haijamaliza kutangaza matokeo, na fisiem wamemzidi Laigwanani kura laki 3,88,830 sasa cha kufanya muongee ungese ni nini:what: bado matokeo ya majimbo mengi sana tunaamini Lowassa atawagaragaza mpaka mjute, piiiiiiipooooozzz...!!!
 
hapa kazi tuuu magufuli oyyyeeeeh
 

Attachments

  • 1445950230820.jpg
    1445950230820.jpg
    17.7 KB · Views: 54
Kwa wapenda maendeleo watamkumbuka na kumhitaji lowassa kesho tu!! Na saiz hatuna wa kumlam maana hii ilikuwa nafasi yetu kufanya maamzi sahihi, lkn kwasababu uelewa wetu ni mdogo na tunaendeshwa na njaa pia ushabiki. Kubwa zaidi tumetawaliwa na ubinafsi

Kwa Lowassa uwelewa wetu mkubwa sana ila wale waliompa kura hizo 100+ wana uwelewa mdogo na mtu anaejielewa na.kumuelewa Lowassa hawezi kumpa kazi ya urais ukiacha ukanda, ukabila etc
 
11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom