Mambo ya kuwaambia wadanganyika hali halisi uchumi wa nchi yao haituhusu.
Kama uchumi umekufa au umeenda kuzimu, mtajua wenyewe.
Sisi kazi yetu ni kuwaambia kile kitu mnachotaka kusikia e.g. uchumi umepanda, tutawaletea maendeleo, maisha bora kwa kila mdanganyika,
hapa kazi tu,
kazi iendelee, baaasi.