Uchumi wa ajira na ukweli kuhusu Tanzania ya viwanda

Nov 27, 2019
35
145
Anaandika John Sm Mgejwa

Kuna kipindi nchini Kenya hasa mwaka 2009/10 kwenye mapato yaliyokuwa yanakusanywa kwa mwaka, 47.3% ya Fedha zilizokusanywa zilikuwa zinatumika kulipa mishahara ya watumishi, kiwango hiki lilikuwa juu ya kile Cha kimataifa ambacho ni 35% ya makusanyo yote. Hii ina maana kuwa 52.7% ya makusanyo yote ndo ilikwenda kwenye Maendeleo na matumizi mengine ya serikali ya Kenya.https://www.ieakenya.or.ke/downloads.php…

Katika mwaka wa fedha 2011/12 kiwango hicho kiliongezeka na kufikia 48.1% na kufikia mwaka 2012/2013 kiwango hicho kiliongezeka hadi 55% ya makusanyo yote ya mwaka huo yaani 45% zikisalia kwa ajili ya maendeleo na matumizi mengine mengine ya serikali.

Kenya ilikuwa na watumishi wa umma 700,000 kwa 2014 wakati taifa hilo lina watu zaidi ya Milioni 40. Hii Ina maana kwamba asilimia 55% ya mapato yaliyokusanywa kwa mwaka yalikuwa yanakwenda kwa watumishi ambao hawafiki hata 1% ya watu milioni 40 Kutokana na mishahara mikubwa na marupurupu ya kufa mtu😃😃. Hapo ina maana kuwa 45% ndo ilikuwa inakwenda kwenye Maendeleo ya watu wanaofikia 99.51% ukiondoa watumishi ambao ni 0.48%. Maendeleo ya watu wengi zaidi ambao siyo watumishi yanakuwa chini kwa sababu lazima tu kiasi kinachoweza kwenda katika miradi ya Maendeleo kama hospital, shule nk ni kidogo.

Suluhisho la tatizo hili ambalo kwa Tanzania nitafuatilia pia kujua hali ikoje, ni kutambua kuwa kupandisha mishahara ni kuwapa moyo watumishi kwa muda mfupi tu, baada ya hapo wataendelea na maisha ya kuhangaika tu kwa sababu inflation au mfumko wa bei bado unakuwa pale pale na watumishi watakutana nao wakiwa na mishahara mikubwa, wataitumia hiyo mishahara na kujikuta ikiisha kwa haraka sababu ya mfumko wa bei.

Nimegusia kidogo Kenya ila point yangu kuu ni kumsapoti Magufuli 😋👇👇

Ukifuatilia utakuta kwamba bidhaa huwa zinapanda bei kwa SABABU mbili ambazo ni muhimu zaidi.

1. Gharama za uzalishaji na usafirishaji

2. Mzunguko mkubwa wa pesa mitaani.

Kwa kiongozi makini katika serikali yoyote duniani, anapaswa kuwa na mikakati ya kupunguza mfumko wa bei ili thamani ya pesa za watumishi hata kama ni kiasi kidogo ziwe na thamani kubwa katika ununuaji wa bidhaa.

Unawezaje kupunguza inflation katika nchi ili kuwabeba watumishi?

Unahakikisha unakuwa na Mipango ya kupunguza gharama za uzalishaji viwandani.
Unachopaswa kukifanya ni kutambua chanzo kikuu cha kupanda kwa gharama za uzalishaji nchini.

Chanzo kikuu cha kupanda kwa gharama za uzalishaji huwa ni nishati ya umeme, kisha malighafi na nguvu kazi. Wafanyakazi Tanzania na kwingineko duniani wanatumia sana bidhaa za viwandani iwe ni kutoka ndani au nje. Sisi tuongelee ndani.

Viwanda vingi Tanzania vinatumia gharama kubwa ya nishati ya umeme kwa sababu umeme uliopo haukidhi mahitaji ya viwanda, hali ambayo inaleta competition katika kile kiasi kilichopo cha umeme nchini.

Mataifa yaliyoendelea gharama za umeme ziko chini sana, kwa hiyo kwao gharama za uzalishaji ziko chini kwa kuwa wamewekeza zaidi kwenye umeme wa uhakika unaosaidia nishati katika viwanda. Gharama za usafirishaji kwa maana ya miundombinu zimeboreshwa hivyo kusafirisha bidhaa mbalimbali haihitaji kuhangaika kama katika mataifa yanayoendelea. Ndiyo maana mitumba inaweza kuwa na bei nafuu kuliko nguo mpya inayotoka kwenye kiwanda Cha Tanzania na kuuzwa Tanzania.

Kutokana na hilo kiongozi makini badala ya kuongeza mishahara atahakikisha kuwa anawekeza katika umeme ili baadaye afanikiwe kushusha bei za umeme kwenye viwanda vya bidhaa ambapo itapelekea kupunguza gharama za uzalishaji katika viwanda na tayari mnunuzi ambaye ni mfanyakazi, mkulima atanunua bidhaa kwa bei inayombeba, bei inayomfanya mshahara wake utosheleze nahitaji yake na kuweka akiba kidogo kidogo. Hii ndiyo maana John Magufuli anawekeza kwenye umeme, reli ya Kisasa, usafirishaji wa majini na anga na kupromote ujenzi wa viwanda.

Stieglers ni mwanzo mzuri!

Kuhusu ajira, tangu John P. Magufuli aingie kwenye Urais, ameajiri watanzania wengi, fuatilia National Bureau of Statistics utaona. Lakini Kutokana na uwekezaji unaofanyika ni kwa faida ya taifa kwa miaka 10 hadi 15 ijayo. Mafanikio ya uwekezaji huo kwenye ajira yataonwa na Rais wa Sasa, lakini zaidi Rais wa awamu ya sita ataona zaidi mafanikio ya uwekezaji huu kwa sababu mafanikio yake ni ya muda mrefu na hii ndiyo tabia halisi ya Maendeleo makubwa. Huwezi kuyaona kwa wakati huu ambapo yako katika process nzima lakini jipe muda wa miaka Kama 5 hadi 10 hivi.

Kumekuwa na Walimu wengi ambao hawajaajiriwa, lakini hili Mimi ninalionaje?

Ni kweli ajira za ualimu ni adimu, hasa masomo ya sanaa, Lakini tunafahamu kuwa watu hawa wanaweza kuajiriwa katika kazi zingine pia tofauti na ualimu, swali ni je, tunazo nafasi hizo za kuwaajiri hawa wahitimu wa digrii na shahada za elimu katika kazi ambazo siyo za ualimu?

Bado ni ngumu, kwa sababu idadi iliyopo ya waliohitimu ni kubwa kiasi kwamba watanzania wanaomiliki kampuni zenye uwezo wa kuajiri ni wachache sana, hawawezi ku manage hilo, Kwa upande wa serikali ni kwamba wanaweza wote kuajiriwa kuanzia mwaka 2015 hadi 2019 lakini watalipwa nini?

Bado vyanzo vya mapato ( tax base) ni ndogo kwa Tanzania Kutokana na ajira rasmi kuwa kidogo, kila mtanzania anaruhusiwa kuanzisha biashara za kuajiri wengine, tunapopata wafanyabiashara wengi hapo ndipo tunakuwa na nguvu ya kutatua changamoto za jamii Kama vile ukosefu wa ajira. Lakini sasa hawapo, kila mtu Yuko mtaani anasaka ajira au mwingine ameajiriwa!!

Suala la ajira ni mtambuka. Suala la ajira linaweza kutatuliwa endapo hizi juhudi zinazofanywa na Rais Magufuli za uwekezaji zitaungwa mkono na watanzania wote bila kujali vyama vyetu vya siasa. Kwa sababu uwekezaji huu ukikamilika utaleta mapato mengi zaidi na yatatumika kuwaajiri Vijana wa kitanzania katika nchi yao.

Employment opportunities hupatikana Kutokana na uwekezaji katika viwanda nk, hata hivyo huwezi kuwa na viwanda vingi bila kuwa na nishati ya umeme. Ndiyo maana unaona viongozi makini huwekeza katika Mambo hayo. Hapa Magufuli ni mfano hai, huku ndiko anakoelekea.

Suala la ajira za walimu, katika uongozi wa Kikwete ndani ya miaka 10 ya Kikwete, walimu wengi sana walizalishwa kwani katika kipindi hicho Serikali ililegeza masharti ya kwenda chuo kikuu, udahili ukaongezeka kwa kasi, wanafunzi wengi wakamaliza vyuo, Rais Kikwete aliajiri sana kuanzia miaka ya 2012+ kwani walimu wengi sana walikuwa wanazalishwa kutoka vyuoni.

Serikali katika awamu ya nne ilitoa kipaumbele kutoa Mikopo kwa watu wanaosoma degree ya elimu. Kadri siku zilivyokwenda walimu walikuwa wengi mno hasa masomo ya Sanaa hadi Rais Kikwete mwenywe akasema mwaka 2015 mwanzoni kwamba, tunakoelekea sasa walimu wa degree watapangwa kwenye vituo vya elimu ya msingi kwa sababu wamekuwa wengi sana na ndo dunia inakoelekea.

Utaratibu huo uliendelea watu wakawa wengi, Rais Kikwete kidogo sana alitaka kuahirisha kuajiri mwaka 2015 kwani ilikuwa kawaida waliomaliza vyuo mwaka mmoja nyuma kuajiriwa mwaka unaofuata tena mwezi wa March, lakini mwaka huo alitoa ajira mwezi wa May 2015, watu walisubiri ajira hadi kiwewe kikawajaa.

Sera kuhusu utoaji wa Mikopo iliyoanzishwa na serikali ya awamu ya nne haikuchungwa sana na wala hawakujua kuwa kungekuwa na mafuriko ya walimu nchini kiasi hiki hasa wa Sanaa.

Hivi sasa Shule za Sekondari zina ziada ya walimu zaidi ya maelfu ambao wapo mashuleni wanagawana vipindi kwenye SoMo moja tena darasa moja na wengine wamehamishiwa shule ya msingi!

Hata Kama ni wewe huwezi kuajiri wakati walimu unao wengi wa ziada mashuleni, haya ni matokeo ya sera mbovu za bodi ya mikopo ya miaka hiyo, ya kutoa Mikopo zaidi kwa walimu kitu ambacho wengi walivutwa na kujikuta wanaingia mtegoni.

Kwa Sasa tuwe tolerant tu ili serikali iwawekee mazingira ya walimu kuajiriwa kwenye shule za serikali.

Ni wakati Sasa wa kuamka kifikra, don't wait for employment, the government is preparing a conducive environment for you to survive in employment industry but this should not make you idle waiting for employment
 
Zipo shule nyingi za primary ambazo waalimu niwachache sana ingekuwa vizuri Mwalimu wa degree akafundishe primary ,,,sioni umuhimu wa mtu kuwa Mwalimu kwa level ya certificate au diploma.
 
Tangu mlipoingia madarakani mpaka mwaka huu wenu wa mwisho, visingizio mlivyotoa hata 10 vinafika! Mara uhakiki, mara tunanunua ndege, mara tunajenga stiglers gorge! na sasa mnakuja na kisingizio kingine.

Cha kushangaza, kama sababu ya kutopandisha mshahara ni hiyo uliyoitaja! Vipi na kuhusu kushindwa kuwapandisha watumishi wa umma madaraja yao kwa wakati? Yaani kutoka miaka 3 mpaka 5 plus!

Hopeless kabisa.
 
Mwanzoni ulianza kwa kuchambua vizuri sana lakini ulipofika kwenye ajira umetumia sana mrengu wa kichama na kusifia kwenye suala linalogusa maisha ya watu.

Unasema kwamba walimu mtaani ni wengi na pia shuleni ni wengi mpaka wanagawana vipindi, je, kwa nini waendelee kudahiliwa kwa wingi wakati stock ipo ya kutosha na nyingine bado haijatumika?

Je, ni mkakati/ mpango upi serikali imefanya kutatatua tatizo angalau hata kwa muda mfupi( short term solution)?

Unasema kuwa walimu ni wengi kutokana na kulegezwa masharti ya kujiunga vyuo vikuu katika awamu iliyopita, sasa serikali ilifanya hatua gani kudhibiti hilo suala? Na Tanzania ukiilinganisha na nchi nyingine za chini ya jangwa la Sahara waliofika vyuo vikuu ni wengi kiasi cha kuwabania wengine wasifike?

Unao uhakika kuwa walimu ni wengi Tanzania nzima kiasi cha kugawana vipindi? Umeenda huko vijijini ukaona? Mimi naona walimu hawatoshi iwe wa Sanaa au sayansi na badala yake serikali haina pesa za kuwalipa endapo watawaajiri au Moods mnasemaje?

Pia, umesema kuwa kuongeza mishahara ni kusababisha mfumko wa bei, sasa kwa nini serikali isiwaambie watumishi kuwa hawataongeza kabisa kuliko kuwadanganya.

Kama serikali inajua mshahara hautoshi na haina mpango wa kuongeza kwa nini wameamua kuweka makato ya 15% ya HESLB? Kwa hiyo hawajui kuwa wanaoumia ni wananchi wao na wapiga kura wao?

Mwisho kama serikali inajua kabisa kuwa hawawezi kuwaajiri wahitimu kwa kuwa tax base ni ndogo na miradi ni mingi basi ni vema wakawafutia madeni yote ya bodi ya mikopo kwa kuwa walichokisomea/ kusababisha kukopa hakijaleta tija na wao hawakusomea ujasiriamali na kujiajiri na badala yake walisomea kuwahudumia wananchi kupitia taaluma zao kitu ambacho hakipo.

Suala la ajira & mishahara litaisumbua sana serikali kwenye kampeni za mwaka huu ingawa yapo mengi sana mazuri yaliyofanywa na awamu hii.
 
Hoja yako ni nzuri sana. Ila kuna haja ya ku-strike balance kwa vitu viwili.
Chanzo kimoja toka Kenya kinaonesha Kenya ina wafanyakazi toka sekta rasmi kama 2.5mil.
Ukipima mchango wao kwenye sekta ya fedha utakutana na matokeo yafuatayo kwa context ya Tanzania.

20% ya mshahara unakwenda PPF, GEPF, PSPF, LAPF ambayo sasa ni PSSSF na NSSF (muajiri akichangia 10% na muajiriwa 10%)
6% inakwenda bima ya afya (miajiri 3% na muajiriwa 3%)
Kuna kodi ya mshahara PAYE
Kuna malipo ya kodi ya nyumba (kama anaishi nyumba ya serikali)
Uwezekano wa kukopesheka bank kwa kufanyia lolote lile (iwe kujenga nyumba, kusoma, kununua gari, kuwekeza)
Makato ya kutunziwa fedha bank na makato ya kutoa fedha bank.
VAT deductions kwa manunuzi ya bidhaa na huduma za taasisi za serikali au sekta binafsi

Ukipima unakuta sekta rasmi (both public and private) ziko more stable kukua na zina access kubwa kutengeneza mzunguko wa fedha huku Revenue authorities zikiwa stable pia kwa makato ya VAT, PAYE na Corporate taxes.

Ila hao waliobaki ambao ni zaidi ya 90% ukipita effect yao haiko predictable. Kwa maana nyingine, kuna haja ya ubia wa serikali kujenga mazingira wezeshi ikiwamo ku-laverage ili biashara/viwanda vianzishwe ili kupunguza kunua nje ya nchi kwa Wananchi kununua kinachozalishwa na local industries.

Sekta za huduma kama Walimu ni either kuajiriwa serikalini au shule binafsi. Ila ni ngumu sana walimu kujiajiri na wakata sustainable. Angalia Covid ilivyokuja na changamoto kwa baadhi ya shule binafsi; imagine mwl wa kujitegema kama yupo.

Ni vem tukawa na business/investment models ambazo zinaweza kuikuza sekta rasmi. Kuna fikra mbadala hapa chini.

Rais atavunja Bunge la JMT mwezi Juni. Tuko wapi na tunafika lini nchi ya asali na maziwa?

Fred
 
Hi hoja imeandikwa na mtu mwenye zero idea ya concept ya uchumi hasa money circulation na value of money.


Kenya ni mfugaji wa ngombe anayekamua ngombe wake maziwa na kuwapeleka malishoni kula nyasi nzuri.

Tanzania ni mfugaji anayekamua ngombe na asubuhi yake anampeleka kulima shamba.

Ukitaka uchumi uwe stable na ukuwe hakikisha pesa inakuwa katika mzunguko.

Unalipa watu mishahara vizuri kumbuka na wao wanadependants. Wanapokuwa na pesa hata uchumi wa secta binafsi nao unakuwa.

Mtoa mada nakushauri tafta resources ujifunze zaidi juu ya hizi concept.

1. Value of money.
2. Economic growth and development.
3. Money circulation.


Yani hizi concept zinaendana. Huwezi ongelea maendeleo bila kugusia value of money na money circulation.

Tanzania ngombe anakamuliwa ila halishwi. Kitakachotokea baada ya hapo ni mdororo wa uchumi.


Ukielewa vizuri hata huu uzi utatamani uufute.
 
H
Anaandika John Sm Mgejwa

Kuna kipindi nchini Kenya hasa mwaka 2009/10 kwenye mapato yaliyokuwa yanakusanywa kwa mwaka, 47.3% ya Fedha zilizokusanywa zilikuwa zinatumika kulipa mishahara ya watumishi, kiwango hiki lilikuwa juu ya kile Cha kimataifa ambacho ni 35% ya makusanyo yote. Hii ina maana kuwa 52.7% ya makusanyo yote ndo ilikwenda kwenye Maendeleo na matumizi mengine ya serikali ya Kenya.https://www.ieakenya.or.ke/downloads.php…

Katika mwaka wa fedha 2011/12 kiwango hicho kiliongezeka na kufikia 48.1% na kufikia mwaka 2012/2013 kiwango hicho kiliongezeka hadi 55% ya makusanyo yote ya mwaka huo yaani 45% zikisalia kwa ajili ya maendeleo na matumizi mengine mengine ya serikali.

Kenya ilikuwa na watumishi wa umma 700,000 kwa 2014 wakati taifa hilo lina watu zaidi ya Milioni 40. Hii Ina maana kwamba asilimia 55% ya mapato yaliyokusanywa kwa mwaka yalikuwa yanakwenda kwa watumishi ambao hawafiki hata 1% ya watu milioni 40 Kutokana na mishahara mikubwa na marupurupu ya kufa mtu😃😃. Hapo ina maana kuwa 45% ndo ilikuwa inakwenda kwenye Maendeleo ya watu wanaofikia 99.51% ukiondoa watumishi ambao ni 0.48%. Maendeleo ya watu wengi zaidi ambao siyo watumishi yanakuwa chini kwa sababu lazima tu kiasi kinachoweza kwenda katika miradi ya Maendeleo kama hospital, shule nk ni kidogo.

Suluhisho la tatizo hili ambalo kwa Tanzania nitafuatilia pia kujua hali ikoje, ni kutambua kuwa kupandisha mishahara ni kuwapa moyo watumishi kwa muda mfupi tu, baada ya hapo wataendelea na maisha ya kuhangaika tu kwa sababu inflation au mfumko wa bei bado unakuwa pale pale na watumishi watakutana nao wakiwa na mishahara mikubwa, wataitumia hiyo mishahara na kujikuta ikiisha kwa haraka sababu ya mfumko wa bei.

Nimegusia kidogo Kenya ila point yangu kuu ni kumsapoti Magufuli 😋👇👇

Ukifuatilia utakuta kwamba bidhaa huwa zinapanda bei kwa SABABU mbili ambazo ni muhimu zaidi.

1. Gharama za uzalishaji na usafirishaji

2. Mzunguko mkubwa wa pesa mitaani.

Kwa kiongozi makini katika serikali yoyote duniani, anapaswa kuwa na mikakati ya kupunguza mfumko wa bei ili thamani ya pesa za watumishi hata kama ni kiasi kidogo ziwe na thamani kubwa katika ununuaji wa bidhaa.

Unawezaje kupunguza inflation katika nchi ili kuwabeba watumishi?

Unahakikisha unakuwa na Mipango ya kupunguza gharama za uzalishaji viwandani.
Unachopaswa kukifanya ni kutambua chanzo kikuu cha kupanda kwa gharama za uzalishaji nchini.

Chanzo kikuu cha kupanda kwa gharama za uzalishaji huwa ni nishati ya umeme, kisha malighafi na nguvu kazi. Wafanyakazi Tanzania na kwingineko duniani wanatumia sana bidhaa za viwandani iwe ni kutoka ndani au nje. Sisi tuongelee ndani.

Viwanda vingi Tanzania vinatumia gharama kubwa ya nishati ya umeme kwa sababu umeme uliopo haukidhi mahitaji ya viwanda, hali ambayo inaleta competition katika kile kiasi kilichopo cha umeme nchini.

Mataifa yaliyoendelea gharama za umeme ziko chini sana, kwa hiyo kwao gharama za uzalishaji ziko chini kwa kuwa wamewekeza zaidi kwenye umeme wa uhakika unaosaidia nishati katika viwanda. Gharama za usafirishaji kwa maana ya miundombinu zimeboreshwa hivyo kusafirisha bidhaa mbalimbali haihitaji kuhangaika kama katika mataifa yanayoendelea. Ndiyo maana mitumba inaweza kuwa na bei nafuu kuliko nguo mpya inayotoka kwenye kiwanda Cha Tanzania na kuuzwa Tanzania.

Kutokana na hilo kiongozi makini badala ya kuongeza mishahara atahakikisha kuwa anawekeza katika umeme ili baadaye afanikiwe kushusha bei za umeme kwenye viwanda vya bidhaa ambapo itapelekea kupunguza gharama za uzalishaji katika viwanda na tayari mnunuzi ambaye ni mfanyakazi, mkulima atanunua bidhaa kwa bei inayombeba, bei inayomfanya mshahara wake utosheleze nahitaji yake na kuweka akiba kidogo kidogo. Hii ndiyo maana John Magufuli anawekeza kwenye umeme, reli ya Kisasa, usafirishaji wa majini na anga na kupromote ujenzi wa viwanda.

Stieglers ni mwanzo mzuri!

Kuhusu ajira, tangu John P. Magufuli aingie kwenye Urais, ameajiri watanzania wengi, fuatilia National Bureau of Statistics utaona. Lakini Kutokana na uwekezaji unaofanyika ni kwa faida ya taifa kwa miaka 10 hadi 15 ijayo. Mafanikio ya uwekezaji huo kwenye ajira yataonwa na Rais wa Sasa, lakini zaidi Rais wa awamu ya sita ataona zaidi mafanikio ya uwekezaji huu kwa sababu mafanikio yake ni ya muda mrefu na hii ndiyo tabia halisi ya Maendeleo makubwa. Huwezi kuyaona kwa wakati huu ambapo yako katika process nzima lakini jipe muda wa miaka Kama 5 hadi 10 hivi.

Kumekuwa na Walimu wengi ambao hawajaajiriwa, lakini hili Mimi ninalionaje?

Ni kweli ajira za ualimu ni adimu, hasa masomo ya sanaa, Lakini tunafahamu kuwa watu hawa wanaweza kuajiriwa katika kazi zingine pia tofauti na ualimu, swali ni je, tunazo nafasi hizo za kuwaajiri hawa wahitimu wa digrii na shahada za elimu katika kazi ambazo siyo za ualimu?

Bado ni ngumu, kwa sababu idadi iliyopo ya waliohitimu ni kubwa kiasi kwamba watanzania wanaomiliki kampuni zenye uwezo wa kuajiri ni wachache sana, hawawezi ku manage hilo, Kwa upande wa serikali ni kwamba wanaweza wote kuajiriwa kuanzia mwaka 2015 hadi 2019 lakini watalipwa nini?

Bado vyanzo vya mapato ( tax base) ni ndogo kwa Tanzania Kutokana na ajira rasmi kuwa kidogo, kila mtanzania anaruhusiwa kuanzisha biashara za kuajiri wengine, tunapopata wafanyabiashara wengi hapo ndipo tunakuwa na nguvu ya kutatua changamoto za jamii Kama vile ukosefu wa ajira. Lakini sasa hawapo, kila mtu Yuko mtaani anasaka ajira au mwingine ameajiriwa!!

Suala la ajira ni mtambuka. Suala la ajira linaweza kutatuliwa endapo hizi juhudi zinazofanywa na Rais Magufuli za uwekezaji zitaungwa mkono na watanzania wote bila kujali vyama vyetu vya siasa. Kwa sababu uwekezaji huu ukikamilika utaleta mapato mengi zaidi na yatatumika kuwaajiri Vijana wa kitanzania katika nchi yao.

Employment opportunities hupatikana Kutokana na uwekezaji katika viwanda nk, hata hivyo huwezi kuwa na viwanda vingi bila kuwa na nishati ya umeme. Ndiyo maana unaona viongozi makini huwekeza katika Mambo hayo. Hapa Magufuli ni mfano hai, huku ndiko anakoelekea.

Suala la ajira za walimu, katika uongozi wa Kikwete ndani ya miaka 10 ya Kikwete, walimu wengi sana walizalishwa kwani katika kipindi hicho Serikali ililegeza masharti ya kwenda chuo kikuu, udahili ukaongezeka kwa kasi, wanafunzi wengi wakamaliza vyuo, Rais Kikwete aliajiri sana kuanzia miaka ya 2012+ kwani walimu wengi sana walikuwa wanazalishwa kutoka vyuoni.

Serikali katika awamu ya nne ilitoa kipaumbele kutoa Mikopo kwa watu wanaosoma degree ya elimu. Kadri siku zilivyokwenda walimu walikuwa wengi mno hasa masomo ya Sanaa hadi Rais Kikwete mwenywe akasema mwaka 2015 mwanzoni kwamba, tunakoelekea sasa walimu wa degree watapangwa kwenye vituo vya elimu ya msingi kwa sababu wamekuwa wengi sana na ndo dunia inakoelekea.

Utaratibu huo uliendelea watu wakawa wengi, Rais Kikwete kidogo sana alitaka kuahirisha kuajiri mwaka 2015 kwani ilikuwa kawaida waliomaliza vyuo mwaka mmoja nyuma kuajiriwa mwaka unaofuata tena mwezi wa March, lakini mwaka huo alitoa ajira mwezi wa May 2015, watu walisubiri ajira hadi kiwewe kikawajaa.

Sera kuhusu utoaji wa Mikopo iliyoanzishwa na serikali ya awamu ya nne haikuchungwa sana na wala hawakujua kuwa kungekuwa na mafuriko ya walimu nchini kiasi hiki hasa wa Sanaa.

Hivi sasa Shule za Sekondari zina ziada ya walimu zaidi ya maelfu ambao wapo mashuleni wanagawana vipindi kwenye SoMo moja tena darasa moja na wengine wamehamishiwa shule ya msingi!

Hata Kama ni wewe huwezi kuajiri wakati walimu unao wengi wa ziada mashuleni, haya ni matokeo ya sera mbovu za bodi ya mikopo ya miaka hiyo, ya kutoa Mikopo zaidi kwa walimu kitu ambacho wengi walivutwa na kujikuta wanaingia mtegoni.

Kwa Sasa tuwe tolerant tu ili serikali iwawekee mazingira ya walimu kuajiriwa kwenye shule za serikali.

Ni wakati Sasa wa kuamka kifikra, don't wait for employment, the government is preparing a conducive environment for you to survive in employment industry but this should not make you idle waiting for employment

Mwenzangu ni muandishi mwanasiasa mzuri sana, kwa maana ulipoandika juu ya Kenya ulitoa takwimu nzuri sana, na ulipoeleza juu ya Tanzania pakawa maelezo tu bila takwimu. Kulikoni? Unaficha nini?

Maandiko haya yalinivutia kusoma uzi wako.. Uliandika takwimu hizi..
"Kuna kipindi nchini Kenya hasa mwaka 2009/10 kwenye mapato yaliyokuwa yanakusanywa kwa mwaka, 47.3% ya Fedha zilizokusanywa zilikuwa zinatumika kulipa mishahara ya watumishi, kiwango hiki lilikuwa juu ya kile Cha kimataifa ambacho ni 35% ya makusanyo yote. Hii ina maana kuwa 52.7% ya makusanyo yote ndo ilikwenda kwenye Maendeleo na matumizi mengine ya serikali ya Kenya.https://www.ieakenya.or.ke/downloads.php…

Katika mwaka wa fedha 2011/12 kiwango hicho kiliongezeka na kufikia 48.1% na kufikia mwaka 2012/2013 kiwango hicho kiliongezeka hadi 55% ya makusanyo yote ya mwaka huo yaani 45% zikisalia kwa ajili ya maendeleo na matumizi mengine mengine ya serikali."


Ulipoandika juu ya Tanzania hata takwimu moja hakuna, ilikuwa bahati mbaya au makusudi ya kuficha ukweli? Kwanini uliandika takwimu za Kenya? Zinanisaidia nini mimi msomaji kama sina cha kulinganisha na Nchi yangu Tanzania.
 
Anaandika John Sm Mgejwa

Kuna kipindi nchini Kenya hasa mwaka 2009/10 kwenye mapato yaliyokuwa yanakusanywa kwa mwaka, 47.3% ya Fedha zilizokusanywa zilikuwa zinatumika kulipa mishahara ya watumishi, kiwango hiki lilikuwa juu ya kile Cha kimataifa ambacho ni 35% ya makusanyo yote. Hii ina maana kuwa 52.7% ya makusanyo yote ndo ilikwenda kwenye Maendeleo na matumizi mengine ya serikali ya Kenya.https://www.ieakenya.or.ke/downloads.php…

Katika mwaka wa fedha 2011/12 kiwango hicho kiliongezeka na kufikia 48.1% na kufikia mwaka 2012/2013 kiwango hicho kiliongezeka hadi 55% ya makusanyo yote ya mwaka huo yaani 45% zikisalia kwa ajili ya maendeleo na matumizi mengine mengine ya serikali.

Kenya ilikuwa na watumishi wa umma 700,000 kwa 2014 wakati taifa hilo lina watu zaidi ya Milioni 40. Hii Ina maana kwamba asilimia 55% ya mapato yaliyokusanywa kwa mwaka yalikuwa yanakwenda kwa watumishi ambao hawafiki hata 1% ya watu milioni 40 Kutokana na mishahara mikubwa na marupurupu ya kufa mtu😃😃. Hapo ina maana kuwa 45% ndo ilikuwa inakwenda kwenye Maendeleo ya watu wanaofikia 99.51% ukiondoa watumishi ambao ni 0.48%. Maendeleo ya watu wengi zaidi ambao siyo watumishi yanakuwa chini kwa sababu lazima tu kiasi kinachoweza kwenda katika miradi ya Maendeleo kama hospital, shule nk ni kidogo.

Suluhisho la tatizo hili ambalo kwa Tanzania nitafuatilia pia kujua hali ikoje, ni kutambua kuwa kupandisha mishahara ni kuwapa moyo watumishi kwa muda mfupi tu, baada ya hapo wataendelea na maisha ya kuhangaika tu kwa sababu inflation au mfumko wa bei bado unakuwa pale pale na watumishi watakutana nao wakiwa na mishahara mikubwa, wataitumia hiyo mishahara na kujikuta ikiisha kwa haraka sababu ya mfumko wa bei.

Nimegusia kidogo Kenya ila point yangu kuu ni kumsapoti Magufuli 😋👇👇

Ukifuatilia utakuta kwamba bidhaa huwa zinapanda bei kwa SABABU mbili ambazo ni muhimu zaidi.

1. Gharama za uzalishaji na usafirishaji

2. Mzunguko mkubwa wa pesa mitaani.

Kwa kiongozi makini katika serikali yoyote duniani, anapaswa kuwa na mikakati ya kupunguza mfumko wa bei ili thamani ya pesa za watumishi hata kama ni kiasi kidogo ziwe na thamani kubwa katika ununuaji wa bidhaa.

Unawezaje kupunguza inflation katika nchi ili kuwabeba watumishi?

Unahakikisha unakuwa na Mipango ya kupunguza gharama za uzalishaji viwandani.
Unachopaswa kukifanya ni kutambua chanzo kikuu cha kupanda kwa gharama za uzalishaji nchini.

Chanzo kikuu cha kupanda kwa gharama za uzalishaji huwa ni nishati ya umeme, kisha malighafi na nguvu kazi. Wafanyakazi Tanzania na kwingineko duniani wanatumia sana bidhaa za viwandani iwe ni kutoka ndani au nje. Sisi tuongelee ndani.

Viwanda vingi Tanzania vinatumia gharama kubwa ya nishati ya umeme kwa sababu umeme uliopo haukidhi mahitaji ya viwanda, hali ambayo inaleta competition katika kile kiasi kilichopo cha umeme nchini.

Mataifa yaliyoendelea gharama za umeme ziko chini sana, kwa hiyo kwao gharama za uzalishaji ziko chini kwa kuwa wamewekeza zaidi kwenye umeme wa uhakika unaosaidia nishati katika viwanda. Gharama za usafirishaji kwa maana ya miundombinu zimeboreshwa hivyo kusafirisha bidhaa mbalimbali haihitaji kuhangaika kama katika mataifa yanayoendelea. Ndiyo maana mitumba inaweza kuwa na bei nafuu kuliko nguo mpya inayotoka kwenye kiwanda Cha Tanzania na kuuzwa Tanzania.

Kutokana na hilo kiongozi makini badala ya kuongeza mishahara atahakikisha kuwa anawekeza katika umeme ili baadaye afanikiwe kushusha bei za umeme kwenye viwanda vya bidhaa ambapo itapelekea kupunguza gharama za uzalishaji katika viwanda na tayari mnunuzi ambaye ni mfanyakazi, mkulima atanunua bidhaa kwa bei inayombeba, bei inayomfanya mshahara wake utosheleze nahitaji yake na kuweka akiba kidogo kidogo. Hii ndiyo maana John Magufuli anawekeza kwenye umeme, reli ya Kisasa, usafirishaji wa majini na anga na kupromote ujenzi wa viwanda.

Stieglers ni mwanzo mzuri!

Kuhusu ajira, tangu John P. Magufuli aingie kwenye Urais, ameajiri watanzania wengi, fuatilia National Bureau of Statistics utaona. Lakini Kutokana na uwekezaji unaofanyika ni kwa faida ya taifa kwa miaka 10 hadi 15 ijayo. Mafanikio ya uwekezaji huo kwenye ajira yataonwa na Rais wa Sasa, lakini zaidi Rais wa awamu ya sita ataona zaidi mafanikio ya uwekezaji huu kwa sababu mafanikio yake ni ya muda mrefu na hii ndiyo tabia halisi ya Maendeleo makubwa. Huwezi kuyaona kwa wakati huu ambapo yako katika process nzima lakini jipe muda wa miaka Kama 5 hadi 10 hivi.

Kumekuwa na Walimu wengi ambao hawajaajiriwa, lakini hili Mimi ninalionaje?

Ni kweli ajira za ualimu ni adimu, hasa masomo ya sanaa, Lakini tunafahamu kuwa watu hawa wanaweza kuajiriwa katika kazi zingine pia tofauti na ualimu, swali ni je, tunazo nafasi hizo za kuwaajiri hawa wahitimu wa digrii na shahada za elimu katika kazi ambazo siyo za ualimu?

Bado ni ngumu, kwa sababu idadi iliyopo ya waliohitimu ni kubwa kiasi kwamba watanzania wanaomiliki kampuni zenye uwezo wa kuajiri ni wachache sana, hawawezi ku manage hilo, Kwa upande wa serikali ni kwamba wanaweza wote kuajiriwa kuanzia mwaka 2015 hadi 2019 lakini watalipwa nini?

Bado vyanzo vya mapato ( tax base) ni ndogo kwa Tanzania Kutokana na ajira rasmi kuwa kidogo, kila mtanzania anaruhusiwa kuanzisha biashara za kuajiri wengine, tunapopata wafanyabiashara wengi hapo ndipo tunakuwa na nguvu ya kutatua changamoto za jamii Kama vile ukosefu wa ajira. Lakini sasa hawapo, kila mtu Yuko mtaani anasaka ajira au mwingine ameajiriwa!!

Suala la ajira ni mtambuka. Suala la ajira linaweza kutatuliwa endapo hizi juhudi zinazofanywa na Rais Magufuli za uwekezaji zitaungwa mkono na watanzania wote bila kujali vyama vyetu vya siasa. Kwa sababu uwekezaji huu ukikamilika utaleta mapato mengi zaidi na yatatumika kuwaajiri Vijana wa kitanzania katika nchi yao.

Employment opportunities hupatikana Kutokana na uwekezaji katika viwanda nk, hata hivyo huwezi kuwa na viwanda vingi bila kuwa na nishati ya umeme. Ndiyo maana unaona viongozi makini huwekeza katika Mambo hayo. Hapa Magufuli ni mfano hai, huku ndiko anakoelekea.

Suala la ajira za walimu, katika uongozi wa Kikwete ndani ya miaka 10 ya Kikwete, walimu wengi sana walizalishwa kwani katika kipindi hicho Serikali ililegeza masharti ya kwenda chuo kikuu, udahili ukaongezeka kwa kasi, wanafunzi wengi wakamaliza vyuo, Rais Kikwete aliajiri sana kuanzia miaka ya 2012+ kwani walimu wengi sana walikuwa wanazalishwa kutoka vyuoni.

Serikali katika awamu ya nne ilitoa kipaumbele kutoa Mikopo kwa watu wanaosoma degree ya elimu. Kadri siku zilivyokwenda walimu walikuwa wengi mno hasa masomo ya Sanaa hadi Rais Kikwete mwenywe akasema mwaka 2015 mwanzoni kwamba, tunakoelekea sasa walimu wa degree watapangwa kwenye vituo vya elimu ya msingi kwa sababu wamekuwa wengi sana na ndo dunia inakoelekea.

Utaratibu huo uliendelea watu wakawa wengi, Rais Kikwete kidogo sana alitaka kuahirisha kuajiri mwaka 2015 kwani ilikuwa kawaida waliomaliza vyuo mwaka mmoja nyuma kuajiriwa mwaka unaofuata tena mwezi wa March, lakini mwaka huo alitoa ajira mwezi wa May 2015, watu walisubiri ajira hadi kiwewe kikawajaa.

Sera kuhusu utoaji wa Mikopo iliyoanzishwa na serikali ya awamu ya nne haikuchungwa sana na wala hawakujua kuwa kungekuwa na mafuriko ya walimu nchini kiasi hiki hasa wa Sanaa.

Hivi sasa Shule za Sekondari zina ziada ya walimu zaidi ya maelfu ambao wapo mashuleni wanagawana vipindi kwenye SoMo moja tena darasa moja na wengine wamehamishiwa shule ya msingi!

Hata Kama ni wewe huwezi kuajiri wakati walimu unao wengi wa ziada mashuleni, haya ni matokeo ya sera mbovu za bodi ya mikopo ya miaka hiyo, ya kutoa Mikopo zaidi kwa walimu kitu ambacho wengi walivutwa na kujikuta wanaingia mtegoni.

Kwa Sasa tuwe tolerant tu ili serikali iwawekee mazingira ya walimu kuajiriwa kwenye shule za serikali.

Ni wakati Sasa wa kuamka kifikra, don't wait for employment, the government is preparing a conducive environment for you to survive in employment industry but this should not make you idle waiting for employment
Shule za sec zina ziada ya waalimu?huu ni mhemko ili upewe teuzi.

Total Crap!
 
Back
Top Bottom