Uchumi unakua, takwimu hazidanganyi

Yaani tatizo kubwa la nchi hii ni maCCM. Sasa cheki huyu ameokoteza maneno ya kisiasa na kuja kutuaminisha hapa kwamba uchumi unakua pasi kutumia data hata moja kuthibitisha maelezo yake. Yaani wenyewe bado wanaamini kwamba kizazi cha sasa ni sawa na kile walichokuwa wanakiburuza enzi za mamlaka mikoani (1972).
 
Mbona hii maneno yako inakinzana na taarifa ya BOT; y akwamba uchumi wetu una-shrink.

Anybody out there labda sijui kimombo; shrink = kukua? Nilidhani taarifa za BOT ndiyo sahihi au zenu ninyi wanasiasa?
Leo unakubaliana na BOT. Kipindi cha Nyuma ulikuwa unabishana na takwimu za BOT.
Sasa ueleweke vipi?
 
HEBU TUMPE MUDA MAGUFULI AFANYE MAMBO YAKE ILI TUNEEMEKE WOTE,MUDA MCHACHE SANA BADO ANAPANGA JINSI YA KUTEKELEZA NA MENGINE KATEKELEZA TAYARI.
MAGUFULI JUU JUU JUU ZAIDI
 
Hizi blaa blaa zote ni fine,but if they don't end up to increased bread on the table,it's useless.Mzee ambaye hajapata pension yake,mfanyabiashara ambaye anafirisika kwa kuwa walaji hawana fedha na mkulima ambaya bei ya mazao yake ni ndogo kwa kuwa soko la nje limefungwa hawezi kukuelewa kabisa.To him or her you are a day dreamer.
 

Unajua demokrasia au unabwabwaja tu, au unadhani demokrasia ni kufanya uchaguzi tu? rudi shule ukasome uraia
 
Ndiyo matatizo yenu hayo. Wewe hata hujaisoma na hujui mini kimeandilwa humo ndani. Mimi mishaisoma muda sasa, Hanna kitu Kama hicho.

Nina wasiwasi na uelewa wako. Report imeelezea kila kitu.
Uchumi umeporomoka na siku sio nyingi wananchi watanza kulia na kusaga meno.
 
mmmh huyu Tandale one mbona haileleweki?....BoT wanasema uchumi umedorora yyeye anasema umekuwa!!!!!....kivipi??!!!
 
Hatuna tatizo na ukuaji wa uchumi, tatizo letu ni kuchezewa kwa katiba
Kila siku hamkosi sababu. Tumepiga kelele kuhusi uchumi weeee, uchumi unaenda vizuri sasa tunarukia katiba. Kwa nini tusiwe na msimamo kuhusu kitu kimoja na tuendelee kushauriana na serikali namna bora zaidi ya kuboresha uchumi. Katiba imefanyaje sasa ?? Inahusianaje na uchumi kukua au kutokua? ? Tusiwe wajinga makamanda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…