Uchumba wa muda mrefu umenichosha


Hamna kitu hapo, utakutwa na menopause bure na jamaa atakamata kifaa cha 22yrs old maisha yanaendelea, akili kumkichwa!
 
Hapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri
Sasa kama hivyo vyote unapata na una title ya mke wewe shida yako ni nini?? Ndoa itakusaidia nini hapo??

Kwamba akikuoa kuna vitu vitaongezeka zaidi ya hivyo??
 
Hapana. Ninapata huduma zote kama mke na mpaka kuna baadhi ya ndugu zangu anawasomesha. Ni mtu anayeniheshimu sana.
Tunaishi pamoja na huenda hilo ndilo linalomtia jeuri

Kuna mahali umesema ulipunguzwa kazi na jiwe kwa vyeti feki na maisha magumu sana na una 42y hapa hautupangi kweli?
 
 
mlifanyaje mpaka ndoa zenu zikafungwa mapema?
mkalishe kikao mwambie nachohitaji mpe mwaka mzima kwamba ndani ya mwaka huu natarajia hili na umwambie mwaka ukiisha tu halijatokea ntaona sio riziki yangu nitaaga mashindano mwambie kwa utu na utulivu ila kwa kumaanisha na huo mwaka ukiisha achana nae si wako huyo akirudi kuomba mrudiane mwambie apeleke washenga home yani wewe uitwe home uulizwe tupokee posa au tusipokee pale ndo msamaha wako. haya kaa humo ushauri kama huu canada tunawatoza laki nne za kibongo
 
Asante sana, nitafanya hivo
 
Huyu ni muislam ndoa kwake ni heshima na inamuepusha na zinaa ndio maana anauliza maswali km hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…