Uchumba kuvunjika ...kisa HARUSI

Uchumba kuvunjika ...kisa HARUSI

Huyo mzee wake namkubali kwa 100%

Kuhangaika na sherehe za harusi Hakuna Maana Wala mantiki yoyote, Ni uupuzi tu kwangu!!

Hata Mimi nikifika hatua ya kuoa Basi sitahangaika na upuuzi wa sherehe

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Unatakiwa ukatae hizo pilika pilika kwa sababu huzipendi sio kwa sababu akiba haitoshi
 
Ukute mwenzie kasubiri ndoa na alikua anaipigia picha ndoa flani hiviii halafu Leo umwambie hamna sherehe weeeee.


Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mawazo au hali ya kupenda vitu vya gharama/vya show off sijui kwa nini mara nyingi huwa wanakuwa nayo watu ambao hata vipato vyao ni vya kulenga kwa manati.
 
Huyo mzee wake namkubali kwa 100%

Kuhangaika na sherehe za harusi Hakuna Maana Wala mantiki yoyote, Ni uupuzi tu kwangu!!

Hata Mimi nikifika hatua ya kuoa Basi sitahangaika na upuuzi wa sherehe

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Mimi nilioa mwaka jana nikaulizwa unataka kuoa vipi nikajibu nataka kufunga ndoa hizo mbwembwe nyingine sizitaki wanandugu walinilaumu sana kwamba kwanini sitaki harusi ila nilisimamia msimamo wangu na ndoa ilipita na tuna ani nzuri sana na mke wangu, mwakani kuna dogo anaoa hapa watu ndo wanakumbuka umsimamo wangu maana hiyo kazi ya kupiga simu kukumbushia michango plus mizunguko wenye shughuli wanajuta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mzee wake namkubali kwa 100%

Kuhangaika na sherehe za harusi Hakuna Maana Wala mantiki yoyote, Ni uupuzi tu kwangu!!

Hata Mimi nikifika hatua ya kuoa Basi sitahangaika na upuuzi wa sherehe

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Omba upate mwenye akili kama zako, mama yako kama yupo akuelewe, ndugu zako wakuelewe na upande wa mke waelewe. Hata mm naona ni upuuzi kufanya sherehe.
 
Mkuu tusiwashambulie mabinti tuu ...wako wanaume pia hi kitu wanaipenda...yaani harusi,kwani hujasikia kuhusu beg party (sijui Kama nimepatia,)

Sent using Jamii Forums mobile app
Beg party ni tofauti na harusi, mzee.

Ila siongelei habit ya kushereh, naongelea hali ya kuthamin event ya siku moja kuliko agano la maisha.

Kuna girls shida yao watoe gundu tu, wavae shela, but hawapo ktk uhitaji wa agano lenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaweza kuwa uoifanya vyema Kama ulimpa nafasi ya kuelewa matakwa yako

Sent using Jamii Forums mobile app
Alijua kabisa maana ilishapita ya kwanza akalilia nikamwelezea kuwa sipend na hainahaja ya party nikamwambia tuta toka diner na ikaisha

Sasa iliofata ikawa kero yan akaanza kufananisha mahusiano ya wengine na yetu kuwa mbona wakina nan walifanya sijui wakina walifanya ahhh nikamwambia kwendraaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom