Uchumba kuvunjika ...kisa HARUSI

Uchumba kuvunjika ...kisa HARUSI

CarloJesus, Huyo mzee wake namkubali kwa 100%

Kuhangaika na sherehe za harusi Hakuna Maana Wala mantiki yoyote, Ni uupuzi tu kwangu!!

Hata Mimi nikifika hatua ya kuoa Basi sitahangaika na upuuzi wa sherehe

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
Hata Mimi mwana Suaso nategemea kuoa bila harusi au sherehe yeyote Ile .
 
Back
Top Bottom