Uchumba kuvunjika ...kisa HARUSI

Uchumba kuvunjika ...kisa HARUSI

Tuache utani, yeye kama anapenda show off, afanyiwe kwao kitchen part na send off kubwa ya kukatia ngebe....... Ili kwenye kufunga ndoa awe mpole.
 
Mkuu mshkaji afanyaje?amteme mchumba wake au?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakubaliane wafuate mawazi ya Mzee, mimi pia siafiki sherehe, zinagharimu sana na kulazimisha watu wakuchangie, mnabaki na madeni kibao, hivi inashindikana kwenda kanisani na baada ya hapo chakula cha jioni nyumbani au mahari Fulani bila sherehe kiasi hicho! Ingekuwa Mimi akikataa nampiga chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo Mzee namuelewa sana! Ndoa nyingi za kifahari zimevunjika siku chache tu baada ya kutoka fungate so huyo kijana afuate mawazo ya Mzee wake
Ndoa hajakataliwa...mzee kasema Yupo radhi ifanyike hata jumuiyani nyumbani kwao,na habari ya chakula atasimamia kifamilia anavyojua yeye kama yeye,anajivuna atachinja hata ng'ombe

Ila Kama wanataka pia wanaweza kufunga wao peke yao bill watu wengi ye atafanya arrangements na paroko...anasema fahari Ni USHETANI na kujikweza na laana huanzia hapo kwa sababu muda huo Kuna wengi wanateseka,hataki hayo yamkute kijana wake,na jamaa Ni daddy's boy...mzee kafikia Hadi ku point ndoa kadhaa zilizovunjika Kama mfano hai kwa mshikaji

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Furaha gani unayotaka kulinganisha na mpira, kazi au kahawa? Furaha kwani alijua kama ataolewa afanye sherehe? Hizo ni mbwembwe za kutaka kuingiza madeni na gharama kwa familia ya kijana!
Halafu ieleweke harusi ni ya mwanaume sasa how mwanamke alazimishe sherehe as if yeye ndie anaeoa?
Mkuu lakini si wote,Kuna wengine hili tuu ndo furaha yao...Kama wengine football,kahawa,kazi(workholic) nk

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam

Iko hivi ...Ni rafiki wa karibu wa familia yetu,ameajiriwa na taasisi ya fedha mwaka wa tatu huu Yuko kwenye mahusiano na mdada waliekutana chuo...Ni muda kiasi tunamuita shemeji yetu

Jamaa anataka kutoa mahari,lakini mwanamke amegoma anasema mpaka jamaa akubali sharti la kufanyika harusi

Familia ya jamaa yetu,Ni watu wenye uwezo wao kiasi,ila mzee wao Ni mtu wa kuchukia Sana Sherehe na harusi,anasema atachangia misiba na majanga mengine sio mambo ambayo mtu anayapanga mwenyewe halafu anasumbua watu kwa michango,ndivyo anavyishi

Dada za mshikaji wameozwa Tena kwa mahari ndogo,harusi hakuhudhuria,ila baada ya hapo aliwapa kiasi Fulani (kikubwa) Kama Cha kuanzia maisha,imekua utaratibu wake

Na mwaka Jana Kaka yake mshikaji kaoa kwa mtindo huo huo...alienda half day jmos...akatoka kuwaambia staff wenzie naenda funga ndoa ,hawakuamini,lakini jamaa alifunya ndoa,na home walikuja watu wachache tuu kwa ajili ya evening dinner

Jamaa anasema sio kuwa Hana uwezo,ila Ni namna Anaona atamhuzunisha mzee wake ..mzee wake kamwambia mikosi na mambo ya shetani huanzia kwenye tafrija/Sherehe...anasema Ni kujikweza...jamaa atanye Nini tukivaa viatu vyake?

Sent using Jamii Forums mobile app
I wish huyu mzee angekuwa baba yangu, tungeelewana sana aisei.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom