Uchomaji wa kadi za CCM

2020 ni kasheshe Kura zitatoka chattle tu!!!!
 
Pumbuf
 
Leo unafikiria kama nyani....

Akili zako mfuko WA kalioni wewe ushakula left over za wahindi huko ulipo huwezi jua njaa za wenzio pumbafu zako
 

Attachments

Sasa hivi wana kaupepo ka Njaa
Baada ya Saa8
Nako katapotea

Awamu hii Kick zitafukuliwa mpaka wachoke wenyewe
Jamaa ndio habadiliki kabisaa
!!
Yaani ngoma wapige wao
Nakuicheza wao!!!
MAGU KAZA KAZA BABA
Pumbafu
 
Report kamili kutolewa serikali ikisha hamia dodoma.
Vipi, ile operesheni choma kadi za uanachama wa CCM imefikia/ imeishia wapi?

Ni kadi ngapi zilichomwa?

Naona kalikuwa ni kaupepo tu ambako kameshapita na kwenda zake huko[emoji23] [emoji23]
 
1. Tatizo Ni Mfumo Siyo Mtu

2.Magufuli Anatekeleza Sera Zetu

3.Magufuli Hajui Kiingereza

4.PhD

5.Magufuli Safiri Nenda Nje Ya Nchi

6.Bunge Live

7.Mikutano Ya Siasa

8.Naibu Spika

9.Ukuta

10.Ben Saanane + Miili Ya Pugu

11. Lema

12. Njaa ( Hili Nalo Litapita )
 
...and still counting!
 
Wakati hatukuwa na ndege zetu watu waliilaumu serikali ya CCM.

Magu kaingia na kuanza kununua ndege, watu wanailaumi serikali ya CCM na kudai ndege si kipaumbele.

Haki ya nani sisi hatujitambui kabisa.

Tupo tupo tu ka misukule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…