huu ni upuuzi kabisa.
Ujinga kama huu ndio unaosababisha vyama vingine kikiwemo ccm kuzidi kuporomoka.
hoja hamziwezi mlichobakia nacho ni kutafuta maneno ya chokochoko,
na wananchi wameshawaelewa wala hawawsikilizi tena.
Ukiona watu wanachochewa na wanakubali ujue wanampenda mchochezi
Ukizisoma comments zote za post hii, siyo rahisi kumuona Mkigoma, Ritz, Rejao, nguu097 ,Nape na wengineo.
Ukizisoma comments zote za post hii, siyo rahisi kumuona Mkigoma, Ritz, Rejao, nguu097 ,Nape na wengineo.
Ha ha ha ha ha ha mimi nshakusoma kitambo UDA unajua fasihi siku hizi ni tatizo bongo watu wanataka uwe direct!great thinkers fungukeni!mbona mwaniangusha?
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!
Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!
Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!
Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!
Mbona una panic mkuu! Jaribu kutafakari utaelewa
cdm wamechochea makarani wa sensa kutolipwa pesa zao!
Huu ni mtazamo wa wavvu wa kufikiri, na umethbitisha hapa jamvini kuwa ww n mvivu wa kufikiri Mwalimu tangu 2007 walitishia kugoma, madaktar tangu 2001 wanagoma. Je ilikuwa ni chadema au kwa sababu chadema wamevunja ngome za magamba. Au n wafanyakazi kuchoka dhuluma kwa sababu wakubwa wanafaidika wao wanaumia.