'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

Duuuuuuuuu. Hawa CDM noma wamechochea serikali ianze kukopa mishahara ya watumishi kutoka benk binafsi, wamechochea mabilioni kufichwa uswiswi. Yaani nomaaa, wamechochea NSSF kuanza kufilisika, wamechochea elimu ya tanzania kushuka hadi mwanaasha kazungusha......
 
hawa chadema wamechochea hadi maisha yakawa magumu.Kama haitoshi wakchochea chenge akwapue hela ya radawakachochea watu wachukue hela za epawakachochea "mwenye nyumba" achukue suti 5 ili auza eneo la ngorongorowaka chochea hadi rada ya jnia haifanyi kaziwaka cyhochea dk ulimboka mabwepandewaka chochea hadi dowans/richmond waje wachukue mabilionwaka chochea mgao feki wa umemewaka chochea adi twiga waka toroshwa hawa chadema bana sijui ni vipi
 
Dig deep politics and then you will understand that your altitude is to shallow
 
Huyu mtoa uzi atakuwa anatania tu.
Maana wamehubiri daima kuwa CDM ni cha Wakristu, leo iweje waislamu wakisikilize hadi kiwachochee?
 
wamewaingiza familia za watoto wa vigogo kwenye NEC ya ccm..wamesababisha wakuu wa masjeshi kujilimbikia mijiela kwa njia isiyo halali..
 
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!

mimi TLP na mh.MREMA wangu,mtajibeba!
 
Cdm ni shida kweli wamechochea mpaka lema akavuliwa ubunge a. Town... I hate them. Teh teh teh... Wapi zomba?
 
hawa chadema wamechochea hadi maisha yakawa magumu.Kama haitoshi wakchochea chenge akwapue hela ya radawakachochea watu wachukue hela za epawakachochea "mwenye nyumba" achukue suti 5 ili auza eneo la ngorongorowaka chochea hadi rada ya jnia haifanyi kaziwaka cyhochea dk ulimboka mabwepandewaka chochea hadi dowans/richmond waje wachukue mabilionwaka chochea mgao feki wa umemewaka chochea adi twiga waka toroshwa hawa chadema bana sijui ni vipi

Wamechochea pia mgao wa umeme, Mgogoro ya ziwa nyasa, dawa bandia . . .
 
Huku Tabora nasikia nako CHADEMA wamewashawishi TUME YA KUKUSANYA MAONI isifike baadhi ya maeneo (kata) kisa kuna watu wengi wenye uelewa hivyo watasababisha kupinduliwa kwa mkuu wa kaya. maeneo hayo ni pamoja na kata ya Ipuli ambayo ina wastaafu wengi ambao si wazawa wa Tabora.
 
Back
Top Bottom