JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Chadema wakasema liwalo na liwe, wakasema hawataki kura za wafanyakazi, wakasema wanafunzi wanapewa mimba kwa kiherehere chao, wakasema hawajui kwanini tz ni masikini, na hawakuishia hapo wakasema wafanyakazi wakigoma au kuandamana watashuhulikiwa na ikibidi wagawane majengo ya serikali yani moi muimbili na kwa kova central au segerea Chadema Wana chafua Hali ya ccm hawana Hata huruma Dah
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!
Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!