'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

Hivi hawa CHADEMA wanataka nini????!!! Wamemchochea Dr. Ulimboka mpaka kaiumbua serikali yetu tukufu kwa kulifungia gazeti la MWANAHARISI.
 
Kumbe Chadema balaa, mpaka ponda ananaswa kwenye mitego yao!!!!
 
Mfa maji haachi kutapatapa.imewashika pabaya chadema mtaisoma number we baki na madai yako tu eti oooh chadema mnahamasisha migomo usisahau kwenda kwa nape upate malipo yako ya wikiend.
 
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!

CDM wamechochea mtoto kukojolea Quran tukufu
CDM wamechochea waislamu kuchoma makanisa Mbagala
CDM wamechochea UAMUSHO kumchinja Polisi ZNZ
CDM wamechochea kuuwawa kwa RPC Barlow huko MZA
CDM wamechochea BAKWATA kuuza kiwanja cha wakfu
CDM wamechochea Sheikh Ponda kutiwa nguvuni
CDM wanaichochea Radio Imani kuwakashifu Wakristu na Ukiristo
CDM wamewachochea UAMUSHO kuchoma masikani za CCM huko Unguja
CDM walichochea kuuwawa kwa Daud Mwangosi na kitu kizito!
 
Kwa kweli hata mimi hawa chadema wamenishinda... Wamechochea wamechochea ... Mpaka waziri mkuu mstaafu sumaye na huyu kusila wa enzi za nyerere wanalalamika ccm inanuka kwa rushwa..
Yani walimchochea kimbisa hapa dodoma duuuuuuuu akamwaga hela ya kufa mtu ... Dr silah ndo nasikia alimpa milioni miatatu watu wakamchagua bana...

Halafu watu tutaichagua chadema 2015 wakati mmeaona kabisa hata huku ngazi ndogo za uongozi wa ccm wameweza kuwachochea viongozi waingie kwa rushwa madarakani ... Je huko 2015 si ndio tuta saini per diem kwenda kuchagua viongozi...
 
Cdm noumaaaaaa......wamechochea waislamu kufanya uhalifu wa makanisa na mali za wakristo.....walaaniwe cdm jamani
 
wamechochea meli yenye miaka 100 ya mv liemba isisitishe huduma na kuifanya iwe accident waiting to happen
 
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!

Unapoandika kitu kama hiki lazima uwe na kumbukumbu za nyuma. Mlisema CHADEMA ni chama cha Wakristu sasa inakuwaje leo hii wawe CHADEMA hao hao ndio wawachochee waislamu wafanye fujo kam hizo ulizosema? Ukiwa unafikiri cm 50 usiwe unaongea vitu vya cm 200.
 
Hawa chadema hawa! Wamechochoa uamsho! Na nimesikia wana undugu na Al Shabab na Boko Haram!
 
na wewe siku ukikorofishana na mumeo kwa kumnyima kitumbua usisahau kusema wachochezi ni cdm.
 
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita m4c...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!


kuchoma makanisa mbagala & zanzibar === chadema?????????????

Acha kukalili mheshimiwa.
 
Wakati wanachochea serikali ilikuwa wapi?!.Na kama wangechochea hawa waislam wangeipinga CHADEMA na kuiita ni ya Kikristo?!.CCM imefanya hivi kwa kutembeza pesa misikiti ili kuhakikisha wanakamata dola milele.Ujue kila jambo lina mwisho wake,wanaoleta vurugu hizi ni kundi la watu wachache sana,wananchi wameshagundua mbinu za CCM kuwachanganya ili waendelee kutawala.Mimi naamini katika MUNGU,kwamba akihamua hamna mtu anayeweza kupinga.Soma biblia jinsi Waisraeli walivyookolewa kutoka katika mikono ya Pharao,hata kwetu anaweza!.
 
Kwakweli cdm kama wanaushawishi/uchochezi wa mambo yote hayo migomo,waislamu kuchoma makanisa,maisha magumu kwa kila mtanzania ,ziara za mkuu wa nchi kuvumbua nchi za nje 'like' vasco dagama na mengineyo mengi basi magamba wajiandae kufunga virago 2015
 
Uda
mashukuru kwa kuleta mada yako hii, ingawaje ni yakijinga sana, ila imesaidia kuhamisha mjadala kutoko kwenye udini ambao ulishamiri hapa jamvini jana na juzi. sasa tupo busy tunachangia huu ujinga wako hapa. asante sana
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!
 
Unapoandika kitu kama hiki lazima uwe na kumbukumbu za nyuma. Mlisema CHADEMA ni chama cha Wakristu sasa inakuwaje leo hii wawe CHADEMA hao hao ndio wawachochee waislamu wafanye fujo kam hizo ulizosema? Ukiwa unafikiri cm 50 usiwe unaongea vitu vya cm 200.

Inawezekana hujamuelewa vizuri au mimi ndo sijamuelewa vizuri mwenye thread,hajamaanisha unachokihoji.
 
Back
Top Bottom