great thinkers fungukeni!mbona mwaniangusha?
inaonesha una hamu ya mjarabati....ila huweki wazi...........
great thinkers fungukeni!mbona mwaniangusha?
hawa chadema wamechochea hadi maisha yakawa magumu.
Kama haitoshi wakchochea chenge akwapue hela ya rada
wakachochea watu wachukue hela za epa
wakachochea "mwenye nyumba" achukue suti 5 ili auza eneo la ngorongoro
waka chochea hadi rada ya jnia haifanyi kazi
waka cyhochea dk ulimboka mabwepande
waka chochea hadi dowans/richmond waje wachukue mabilion
waka chochea mgao feki wa umeme
waka chochea adi twiga waka toroshwa
hawa chadema bana sijui ni vipi<
wamekupuuza kwasababu uliyoongea kwa mtu mwenye akili zake anajua wewe umechochewa na mme wako anaye fanya kazi ccm. umekuja kupotosha umma tu hapa.bahati nzuri watanzania siku hizi wanajua mchele ni upi na pumba ni zipi.
umesahau wamechochea mpaka Ulimboka akatekwa
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!
Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!
Huyu mtoa uzi atakuwa anatania tu.
Maana wamehubiri daima kuwa CDM ni cha Wakristu, leo iweje waislamu wakisikilize hadi kiwachochee?
Uctake ncheke mie.na nyie wachocheeni wasiende ktk mikutano ya cdm.
Wadau naomba tusaidiane kwenye hili,kwa muda sasa nimekua nikifuatilia vurugu nyingi zinapotokea ama zitakua ni za wafuasi wa chadema au wafuasi(baadhi)wa dini ya kiislam,vurugu ambazo inaonekana kana kwamba ni za kuifanya nchi hiii isitawalike.Naomba tujiulize tatizo liko wapi?kama tatizo liko kwenye makundi hayo niliyoyataja basi tuwasaidie na kama tatizo lipo serikali basi nayo ijirekebishe,lakini kwanza tujadiliane tatizo la waslam na chadema mpaka kufikia kufanya vurugu kama lipo ni lipi?
Nawasilisha kwa nini wafuasi wa chadema na waislam ndio kila mara wamekua wakionekana chanzo cha vurugu na kuifanya nchi isitawalike?
vurugu ni vurugu tu hebu tiririkeni sababu sitaki utetezi nataka tupate sababu kama tatizo liko kwao tuwasaidie kama ni serikali basi nayo iwajibikeNdugu yangu sina hakika sana na ufuatiliaji wako ulikuwa unatunia nini! Kama kweli wewe ni mtu unayefanya uchunguzi utagundua kuwa CDM huwa haifanyia vurugu bali inanyang'anywa haki yake kimabavu. Waislamu wanabeba virungu, nondo, mapanga, fimbo, hata petrol za kuchomea watu na mali zao, Swali kwako, Je, ulishawahi kusikia Chadema wamekamatwa na siraha ya aina yoyote ile?
Hebu rudi kwanza kwa aliyekutuma akupe details upya naona hapa umeleta pumba tu.
Wadau naomba tusaidiane kwenye hili,kwa muda sasa nimekua nikifuatilia vurugu nyingi zinapotokea ama zitakua ni za wafuasi wa chadema au wafuasi(baadhi)wa dini ya kiislam,vurugu ambazo inaonekana kana kwamba ni za kuifanya nchi hiii isitawalike.Naomba tujiulize tatizo liko wapi?kama tatizo liko kwenye makundi hayo niliyoyataja basi tuwasaidie na kama tatizo lipo serikali basi nayo ijirekebishe,lakini kwanza tujadiliane tatizo la waslam na chadema mpaka kufikia kufanya vurugu kama lipo ni lipi?
Nawasilisha kwa nini wafuasi wa chadema na waislam ndio kila mara wamekua wakionekana chanzo cha vurugu na kuifanya nchi isitawalike?
Mkuu be straight forward,petrol za kuchomea makanisa!!
hata petrol za kuchomea watu na mali zao, .
Wadau naomba tusaidiane kwenye hili,kwa muda sasa nimekua nikifuatilia vurugu nyingi zinapotokea ama zitakua ni za wafuasi wa chadema au wafuasi(baadhi)wa dini ya kiislam,vurugu ambazo inaonekana kana kwamba ni za kuifanya nchi hiii isitawalike.Naomba tujiulize tatizo liko wapi?kama tatizo liko kwenye makundi hayo niliyoyataja basi tuwasaidie na kama tatizo lipo serikali basi nayo ijirekebishe,lakini kwanza tujadiliane tatizo la waslam na chadema mpaka kufikia kufanya vurugu kama lipo ni lipi?
Nawasilisha kwa nini wafuasi wa chadema na waislam ndio kila mara wamekua wakionekana chanzo cha vurugu na kuifanya nchi isitawalike?
Aliyekuziba pua au kukukaba koo usipumue ni nani? acha vipropaganda vya kitoto.mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!
Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!
Wadau naomba tusaidiane kwenye hili,kwa muda sasa nimekua nikifuatilia vurugu nyingi zinapotokea ama zitakua ni za wafuasi wa chadema au wafuasi(baadhi)wa dini ya kiislam,vurugu ambazo inaonekana kana kwamba ni za kuifanya nchi hiii isitawalike.Naomba tujiulize tatizo liko wapi?kama tatizo liko kwenye makundi hayo niliyoyataja basi tuwasaidie na kama tatizo lipo serikali basi nayo ijirekebishe,lakini kwanza tujadiliane tatizo la waslam na chadema mpaka kufikia kufanya vurugu kama lipo ni lipi?
Nawasilisha kwa nini wafuasi wa chadema na waislam ndio kila mara wamekua wakionekana chanzo cha vurugu na kuifanya nchi isitawalike?