'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

'Uchochezi' wa CHADEMA umefikia kubaya...

Na ni hivi juzi Mnyika kachochea eti muswada wa marekebisho ya penseni usiletwe bungeni, wanaosubiria wafie mbali. CHADEMA hii haifai
 
asante kaka!kuna mijibaba imetokwa na jasho humu.
dada cdm wamekuchochea wewe utiwe mimba na mwl wako,kisha wamekuchochea ujikondeshe ili upendeze,wamekuchochea uvae katani kichwani ili uonekane mzungu, najua walikuchochea uchukue waume za watu
TULIZANA DADA MKO WANGAPI KWA YULE MZEE WA TRA ALIYEKUJENGEA NYUMBA,
cdm walimchochoe liyumba akununulie gari jekundu
cdm bwana mbona wana mambo
 
'mlichochea' kina mgaya yakapita
'mkachochea' wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
'mkachochea' wamachinga wa mbeya mkayamaliza
'mmechochea' wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa 'kuchochea' waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita m4c...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!

Hebu ona sasa haya ya uamsho na shekh ponda!

mimi nawaita chademonstrations....!!
 
Wasomi wa jamii forum bana bora hata muuza mchicha tandale

hapa ndio utapata picha kwa nini hatuwezi kuendelea.
Mtu akiona maandishi mwili unamsisimuka kama kaona nyuki,hasomi,hatafakari!
 
dada cdm wamekuchochea wewe utiwe mimba na mwl wako,kisha wamekuchochea ujikondeshe ili upendeze,wamekuchochea uvae katani kichwani ili uonekane mzungu, najua walikuchochea uchukue waume za watu
TULIZANA DADA MKO WANGAPI KWA YULE MZEE WA TRA ALIYEKUJENGEA NYUMBA,
cdm walimchochoe liyumba akununulie gari jekundu
cdm bwana mbona wana mambo
et cetera et cetera!na mengine ambayo hujayataja.lol
 
kote huku mkono wa chadema!
UDA..UDA...UDA...KWANINI LAKINI? MBONA MTOTO UNA MANENO MENGI KIASI HICHO? Ofisi za CDM ziko wapi kule Malawi? Klia kitu Chadema!!!
Mwishowe hat zile chokochoko zako kule ndani na "honey" wako utaisingizia CHADEMA.......haya bana CDM ndani ya Malawi.
 
'mlichochea' kina mgaya yakapita
'mkachochea' wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
'mkachochea' wamachinga wa mbeya mkayamaliza
'mmechochea' wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa 'kuchochea' waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!

Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!

hebu ona sasa haya ya uamsho na shekh Ponda!
Kilichobaki ni kuchocheana tu.
 
naona propaganda ya uchochezi imekwama sasa tumehamia kwenye vitisho vya 'chadema kufa'
kweli ccm maji ya shingo.
 
Nafikiri kuna Mambo mengine mengi ambayo yemechochewa na Chadema na mleta uzi hajayataja mfano: "Mipasuko na makundi ndani ya CCM, Ufisadi na wizi wa kutisha ndani ya CCM, na kila aina ya migogoro unayoweza kutaja bila ya kujalisha imetokea wapi na kwa nini". Nafikiri magamba mtafurahi sana kunisikia nikisema hivi maana hata uwezo wa kufikiri kujua kama mtu anamaanisha nini anapozungumza hamnao.
 
Yaani huu uzi nimekumbuka sana baada ya kuanza kuona baadhi ya magamba wakihusisha CDM na vurugu za mtwara. hivyo muendelezo wetu unaendelea
 
Yaani huu uzi nimekumbuka sana baada ya kuanza kuona baadhi ya magamba wakihusisha CDM na vurugu za mtwara. hivyo muendelezo wetu unaendelea

Na leo CHADEMA wamemchochea Ndugai aikandamize hoja ya Mbatia afu wakamchochea Mbatia na wapinzani watoke nje, jana wamechochea boti kuzama Nungwi, afu wanachochea kimbunga kilete mvua za maafa kwa mikoa ya pwani ya kusini kuanzia kesho. CHADEMA wanachochea kila kitu ili NCHI ISITAWALIKE
 
Chadema bwana!wamechochea twiga wetu kuuzwa nje,wamechochea watu kuchukua ela kwenye account ya madeni ya nje(EPA),wamechochea rais wetu kusafiri sana,wamechochea jamaa m1 kupga pcha na Beckam,50 cent,kupga pcha kwenye bembea jamaica,chadema wachochez sana!
 
Chadema bwana!wamechochea twiga wetu kuuzwa nje,wamechochea watu kuchukua ela kwenye account ya madeni ya nje(EPA),wamechochea rais wetu kusafiri sana,wamechochea jamaa m1 kupga pcha na Beckam,50 cent,kupga pcha kwenye bembea jamaica,chadema wachochez sana!wanachochea nchi mapaka nchi inaingia mikataba mibov ya madini,,,,,,,,
 
Ila kweli, Chadema wanamchochea JK aongeze safari za nje,wanamchochea Kinana awe Jangili,hawa majamaa wachochezi kweli.
 
....kuna aliyeapa kwamba nchi haitatawalika, wthout deadline, (mbegu mbaya hii) hivyo ye yote atakayekuwa madarakani yatamkuta, si CDM, NCCR, CUF, wala nani, na sitegemei mabadiliko yanaweza kufanyika ndani ya muda mfupi, wananchi hawatakuwa wavumilivu wala subira na machafuko yataendelea
 
Anasema Mwenye enzi Mungu "Enyi viumbe mimi nimejiharamishia kudhulumu, Ikisha nikajaalia baina yenu haramu kudhulumiana", Msifanye kabisa vitendo vya kudhulumiana. Na huku kudhulumiana kuko kwa aina nyingi na mbolea yake kubwa ya Mti huu wa dhuluma ni Uongo na Mateso, Waweza kumdhulumu mtu kwa kumdanganya na kuchukua Mali yake, waweza bure ukamsingizia mambo ya uongo au ukampiga ukachukua kilicho chake, Na pia unaweza kuleta visingizio vya ajabu na sababu zisizohusu ili mradi malengo yako yatimie,pengine kulinda maslahi yako na hilo ni dhambi kubwa yenye madhara kwa nchi yetu na kwa kila mtanzania mmoja mmoja.
 
Chadema bwana, yaani hawaeleweki na ni hatari sana:

Wamechochea mpaka Kinana anauwa tembo wetu pasipo huruma
Wamechochea mpaka bandari isiyokuwa na tija kujengwa Bagamoyo
Wamechochea mpaka shule za kata hazifanyi vizuri
Wamechochea hadi deni la taifa linapanda
Wamechochea mpaka intellejensia inashindwa kufanya kazi yake
wame......yaani si mchezo ... wamechochea!!!!

Big up mtoa mada!!!!
 
Back
Top Bottom