make your point clear!otherwise hamuwezi kukwepa lawama za 'uchochezi'
tena wamechochea ari mpya, kasi mpya maisha bora kwa watanzania.
tena wamedisclose udhaifu wa nani hii !!!!!!!!! aka baba mwana asha
tena walichochea kutaka kumtoa waziri mkubwa kuliko wote mwanawani.
tena wamechochea kulihuisha bunge la tanzania lililokuwa usingizini kwa miaka 50 ya uhuru.
UCHOCHEZI MKUBWA KULIKO MENGINE NA AMBAO UTAINGIA KTK HISTORIA NI KUPIGANIA MAISHA YA WANYONGE WATANZANIA KUTOKA KTK UTAWALA WA MAFISADI